mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 94,074
- 132,540
NI KWELI....LAKINI WATUPIE GARAMA ZA SAFARI ZAO TUZIJUEBado siku 9 tu, Mungu azibariki sana ndege zetu watanzania tuzifurahie na huduma nzuri.
OVA
NI KWELI....LAKINI WATUPIE GARAMA ZA SAFARI ZAO TUZIJUEBado siku 9 tu, Mungu azibariki sana ndege zetu watanzania tuzifurahie na huduma nzuri.
Dar-Kigoma,Dar-Mtwara,Dar-Mwanza,Dar-Arusha..Return to which route?
Kweli website haiko poa kabisa. Hebu anzisha uzi mkuuNi habari nzuri. Lakini hii tovuti yao mbona ina kigugumizi sana? Kwanini wasiitengeneze ifanye kazi vizuri na iwe update? In erros nyingi sana. Air Tanzania : Flights from Dar es Salaam, Kilimanjaro, Zanzibar.
TUWEKEE GARAMA YA NAULI BASIAnayeshabikia Chadema ya Lowasa na kuacha ccm ya Magufuli akapimwe akili.
High level of intution.Anayeshabikia Chadema ya Lowasa na kuacha ccm ya Magufuli akapimwe akili.
TUPE GARAMA YA USAFIRI BASI KWA KILA ROUTE.....Safi sana, fahamu zimekurudia sasa
Hakuna offer?Shirika letu la Ndege ATCL limetangaza kuwa Ndege zetu mpya Bombardier Q400 kuanza kuruka rasmi tarehe 15 mwezi huu wa October 2016.
View attachment 413469
View attachment 413442

Ndege za ATCL zinatarajiwa kuanza kusafirisha kuanzia Oktoba 15 mwaka huu.
ATCL ambayo ina ndege tatu sasa hivi zitaanza safari za Mwanza, Arusha, Zanzibar, Kigoma, Tabora, Mbeya, Mtwara, Kilimanjaro, Bukoba, Dodoma na Mpanda.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na shirika hilo pia ndege hizo zitafanya safari kwenda Comoro, Nairobi na Entebbe.
Chanzo:Mwananchi
Hizi ni dharau Mkuu.Route ya kwenda/kupita Mpanda sijui watakuwa wanapanda wangapi na kushuka wangapi.
Tusubiri.
Naamini hiyo route iko kwenye majaribio ila subiri uone.Hizi ni dharau Mkuu.
Du!Ndege za ATCL zinatarajiwa kuanza kusafirisha kuanzia Oktoba 15 mwaka huu.
ATCL ambayo ina ndege tatu sasa hivi zitaanza safari za Mwanza, Arusha, Zanzibar, Kigoma, Tabora, Mbeya, Mtwara, Kilimanjaro, Bukoba, Dodoma na Mpanda.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na shirika hilo pia ndege hizo zitafanya safari kwenda Comoro, Nairobi na Entebbe.
Chanzo:Mwananchi