SGR inawasaidia nini watu wa mkuranga?Inatusaidia kitu gani sisi wakulima wa tumbaku huku kariua?
Unatumia akili kweli wewe?
SGR ni mradi mzuri na utawasaidia watu wengi zaidi tatizo ni hizo Dreamliners.SGR inawasaidia nini watu wa mkuranga?
SGR inawasaidia nini watu wa mkuranga?
SGR ni mradi mzuri na utawasaidia watu wengi zaidi tatizo ni hizo Dreamliners.
Ni kweli usemayo Lakini kuna vyama Vina umri wa miaka 25 sasa na vinapokea ruzuku ua zaidi ya 300 mil Lakini Bado ofisi kuu hawana... Hawa nao wataweza kweli?Pongezi sana kwa serikali, ila tukumbushane tu chama chochote kikishika madaraka kinaweza kufanya hivi vitu vidogo vidogo vya kutumia asilimia 0.06% ya bajeti
Kichwa chako ni kizito sana kuelewa. Ukijibu hilo swali automatically huwez kuja na swali lako hilo.Nimeongelea ndege wacha kujitoa akili
Kichwa chako ni kizito sana kuelewa. Ukijibu hilo swali automatically huwez kuja na swali lako hilo.
Anaweza vaa tuWacha kumvisha paka tai wewe
Anaweza vaa tu
ukipewa masaa 24kukata mti tumia masaa 20 kulinoa panga......ukijiongeza utajua nachomaanishaNi kweli usemayo Lakini kuna vyama Vina umri wa miaka 25 sasa na vinapokea ruzuku ua zaidi ya 300 mil Lakini Bado ofisi kuu hawana... Hawa nao wataweza kweli?
Charity begins at home
Na we ni mchochezi kweli kwa nini unakosa uzalendo ws nchi yako.Hayo mandege ukiyaambia waipeleke canada wanakuita mchochezi
bila kusahau mipasho yao watakapokuwa wanapokeaKwahiyo tutegemee serikali kuwa Airport hii December?