inawezekana,kwani tanzania tunazo nne,moja ziwa victoria ipo base ya mwanza,nyingine ziwa nyasa ndio maana wamalawi waligwaya wakakurupuka kwenda kununua boti nne zilizomkaanga Banda kwenye uchaguz wa urais. nyingine ziwa Danganyika na bahari ya hindi,hii inawatisha AL SHABAAB pia.tupo imara kwel kwel.yaan namaanisha aircraft carier,hapo nili overlook