NDEGE inayobeba Treni

NDEGE inayobeba Treni

Ni Antonov ya Russia hiyo!!!! Nadhani Antonov ndo the biggest aircraft carrier!!! I mean, dege kubwa la mizigo!!!


Sent from my iPhone using JamiiForums app
2691-military_uss_john_c__stennis_wallpaper.jpg 2691-military_uss_john_c__stennis_wallpaper.jpg 2691-military_uss_john_c__stennis_wallpaper.jpg 83003743Carrier.jpg 2691-military_uss_john_c__stennis_wallpaper.jpg 2691-military_uss_john_c__stennis_wallpaper.jpg hizi ndio military air craft carier
i
 
Niliona moja Mwanza ilikuja imebeba chakula cha wakimbizi 1994!Niliona Scania na tela yake imeingia naikageuka nilishika mdomo kwakuwa mwaka huo ilikuwa mara yakwanza kuona ndege kubwa kama hiyo!
 
Niliona moja Mwanza ilikuja imebeba chakula cha wakimbizi 1994!Niliona Scania na tela yake imeingia naikageuka nilishika mdomo kwakuwa mwaka huo ilikuwa mara yakwanza kuona ndege kubwa kama hiyo!

Acha uongo wewe!!!
 
Acha uongo wewe!!!
inawezekana,kwani tanzania tunazo nne,moja ziwa victoria ipo base ya mwanza,nyingine ziwa nyasa ndio maana wamalawi waligwaya wakakurupuka kwenda kununua boti nne zilizomkaanga Banda kwenye uchaguz wa urais. nyingine ziwa Danganyika na bahari ya hindi,hii inawatisha AL SHABAAB pia.tupo imara kwel kwel.yaan namaanisha aircraft carier,hapo nili overlook
 
inawezekana,kwani tanzania tunazo nne,moja ziwa victoria ipo base ya mwanza,nyingine ziwa nyasa ndio maana wamalawi waligwaya wakakurupuka kwenda kununua boti nne zilizomkaanga Banda kwenye uchaguz wa urais. nyingine ziwa Danganyika na bahari ya hindi,hii inawatisha AL SHABAAB pia.tupo imara kwel kwel.yaan namaanisha aircraft carier,hapo nili overlook

Ziwa danganyika ndo ziwa gani hilo??


Alafu mbona ulivyoelezea cjaelewa mie nasemea ndege af ww unasema mambo mengne mbona unapenda ujinga ww??
 
inawezekana,kwani tanzania tunazo nne,moja ziwa victoria ipo base ya mwanza,nyingine ziwa nyasa ndio maana wamalawi waligwaya wakakurupuka kwenda kununua boti nne zilizomkaanga Banda kwenye uchaguz wa urais. nyingine ziwa Danganyika na bahari ya hindi,hii inawatisha AL SHABAAB pia.tupo imara kwel kwel.yaan namaanisha aircraft carier,hapo nili overlook

Wabongo kwa kujipa ujiko, hata toroli la kubeba taka tunasubiri mpaka wajapani watoe msaada mtaweza kununua vitu kama hivyo. Kwa maisha ya Tanzania hata ambulance watu wanaiona anasa, acha masihara wewe.
 
mwambie ,wamezoea kukaririshwa mambo.me kwetu tumekaririswa kuwa aircraft carrier ni lile dude kubwa linalopita juu ya maji kama meli vile eti?likitumika kubeba wanamaji,na vifaa vya kivita,kama vile vifaru,magari ya deraya ,midege kibao ya kivita likiwa na eneo maalumu ya kurukia na kutua kwa midege hiyo sijui ndio manowari kwa lugha yetu,military aircraft carier.
Nadhani hadi sasa aircraft carrier kubwa kuliko zote ni ile ya USA, George Washington
 
Back
Top Bottom