Ndege hii ya nyalandu: kashfa nyingine mbaya

Ndege hii ya nyalandu: kashfa nyingine mbaya

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
361,165
Reaction score
831,910
1418190521056.jpg 1418190538107.jpg
Haikuwa mpya bali ilipakwa rangi upya
Ilikuwa inatumika Kenya
Ilikuwa chakavu kiasi cha kukosa hadhi ya kuruka tena
Mpaka inakabidhiwa kwa nyalandu ilikuwa na usajili was Kenya
Ndio imeua mapilot wetu wane wiki moja baada ya kutoka Kenya kubadilishwa usajili

Chanzo: gazeti la Jamhuri
 
Bongolala. Ndiyo mfadhili wa wendawazimu huyo. Bila shaka alipewa twiga mzima aende naye Kama zawadi. I feel ashamed to be called Tanzanian under Chinese Prof. President.
 
ukishidwa kula hela tz hutakula popote dunia hii
_maana ukiiba kuna watetezi kibao toka kwenye chama na serekali
 
Subirini wakuu, mkuu wa nchi very soon atatoa majibu ya uhozo huu wote, soon tegemeeni baraza jipya la mawaziri, nyalandu out
 
ukishidwa kula hela tz hutakula popote dunia hii
_maana ukiiba kuna watetezi kibao toka kwenye chama na serekali

Hata magazeti yatakuja na vijora kibao kwa vile nayo ni dili. Waandishi wetu ni aibu, Watanzania wanakufa kwa kukosa maarifa na viongozi waadilifu.
ImageUploadedByJamiiForums1418218671.298933.jpg
 
Nyalandu yuko pale strategically. Ni mpango maalumu wa kikwete.
Analinda maslahi ya rais. Bahati mbaya rais wetu halindi na hana maslahi
kwa taifa
 
Wakati inauzwa walifunika namba nini. Hii ni nchi bwana jamaa, waliokuwa wanapigania gesi kubaki Mtwara ili na wao watoke majuzi walikwenda kwa katibu tawala kudai uchapakazi wa Bwana jamaa
 
Ilisemwa sana haifai na hao watu nao bado wakakubali kwenda kuijaribu......mnaua jamaa zetu jamani
 
bei yake ilikuwa ngapi,maana kuna thread mwaka jana au juzi ililetwa humu kuna ndege imeuzwa bongo na kununuliwa sh laki tano.
 
bei yake ilikuwa ngapi,maana kuna thread mwaka jana au juzi ililetwa humu kuna ndege imeuzwa bongo na kununuliwa sh laki tano.

USD laki 498, freight usd 4000 total usd laki 502/=
 
Mkuu anasubiri uchunguzi unaofanywa na miraji pamoja ridhiwani ndio atoe tamko

Nyerere yule mzee alikuwa na maoni ya mbali mno alitahadharisha kwamba jamaa hafai kuwa rais
 
View attachment 209547View attachment 209548
Haikuwa mpya bali ilipakwa rangi upya
Ilikuwa inatumika Kenya
Ilikuwa chakavu kiasi cha kukosa hadhi ya kuruka tena
Mpaka inakabidhiwa kwa nyalandu ilikuwa na usajili was Kenya
Ndio imeua mapilot wetu wane wiki moja baada ya kutoka Kenya kubadilishwa usajili

Chanzo: gazeti la Jamhuri
Ndege Sio mama gari ukiendesha Collolla na Mercedes utaweza, muse wasomi kaulizieni TCAA mama mnawajua!
 
Back
Top Bottom