FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,776
sauti yake
Unanikumbusha kisa cha Abunuasi na punda wake.
sauti yake
Ahsante sana pro wa sambuoBundi akilia huwa ndo style yao ya kuitana! Wakati huo jike anakuwa,kwenye joto..Hivyo mkuu usiogope kelele zake hazina utofauti na za jogoo!
Ahsante kwa ushauri wakoBundi ni ndege tu, wala hajui nyunba yako yeye alijua ni juu ya mti, nenda kwa fundi zikutoke gharama