Nikilewa mniache
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 19,294
- 51,915
Kumbe wewe hujui vitu vizuri eehhhaahahah ule uso wa duara duara hahahaahahah, uwiii mbavu zangu mie weee aretasludovick

Kumbe wewe hujui vitu vizuri eehhhaahahah ule uso wa duara duara hahahaahahah, uwiii mbavu zangu mie weee aretasludovick

Au labda ni mchawi! maana kuna kabibi tunasali nako Jumuiya (mie ni katoliki) eti siku hiyo kakaniomba niwe rafiki yake, nasikia kanakuja hapo home nikiwa kazini kananiulizia eti wakimwambia sipo anawaachia ujumbe kuwa mwambieni ni "shoga yake" naitwa Ng'wanaIgongola. hahahahah. kuna majirani wananionya kuwa huyo bibi si mtu mzuri asinizoee, but mie nawajibu kuwa ni tatizo la huku kanda ya ziwa kila bibi au babu anaitwa mchawi😀😀hahahahaha, kwa mjini sijui, lakini sie vijijini ndio tulikuwa tunafanya hivyo na kama bundi aliyetumwa harudi tena, kama ni ndege wa kawaida atarudi, ila hawa wadudu kumkuta ambae hana mahusiano na binadamu ni nadra sana
hahahahaahah mie kwa kelele zake za jana nimemchukia hadi hiyo face yake hahahahahahaahahahKumbe wewe hujui vitu vizuri eeh![]()
![]()
Ungetoka tu nje umshtue angeondoka. Unamlaumu bure wakati yeye hakujua kama kuna mtu ndanihahahahaahah mie kwa kelele zake za jana nimemchukia hadi hiyo face yake hahahahahahaahahah
wewweweeee aretasludovick, siwezi kuthubutu kutoka nje usiku, uwiiiiii, nikakutana na wazee washika chuma si itakuwa kama vile nimewafungulia mlango mie mwenyewe! kutoka nje usiku inatisha sanaUngetoka tu nje umshtue angeondoka. Unamlaumu bure wakati yeye hakujua kama kuna mtu ndani
Ameeen tena AMINA KUBWAPunguza Imani potofu sio YOTE ni uchawi
Uogope kutoka nje ya nyumba yako kweli? Aisee wewe inaonekana ni muoga sanawewweweeee aretasludovick, siwezi kuthubutu kutoka nje usiku, uwiiiiii, nikakutana na wazee washika chuma si itakuwa kama vile nimewafungulia mlango mie mwenyewe! kutoka nje usiku inatisha sana
Hata mie nikiwa kijijini kwetu ninatoka hata saa za usiku sana! Kule kijijini kuna wanyama ambao madhara yao sio makubwa sana tofauti na huku mjini mnyama binadamu ni tishio bora ukutane na mbwa mwitu kuliko mnyama binadamu!Uogope kutoka nje ya nyumba yako kweli? Aisee wewe inaonekana ni muoga sana![]()
Mimi iwe kijijini kwenye maporipori huko au mjini, muda wowote natoka nje nikihitaji
Ni imani mbaya tu ambazo ukizichukulia kweli zinakuharibu kisaikolojiaMitaa inasema bundi huleta mambo mabaya.
ashindwe katika jina la Yesu!Mitaa inasema bundi huleta mambo mabaya.
Hata mie nikiwa kijijini kwetu ninatoka hata saa za usiku sana! Kule kijijini kuna wanyama ambao madhara yao sio makubwa sana tofauti na huku mjini mnyama binadamu ni tishio bora ukutane na mbwa mwitu kuliko mnyama binadamu!
wewe utakuwa ni tajiri wewe!

hahahahah ni kweli mie ni tajiri wa afya japo sina pesa![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
wewe utakuwa ni tajiri wewe!
Nitakutafuta![]()
![]()
![]()
Kwa mtazamo wako mafarisayoo unadhan nimebakiza kama siku ngapi hivi za kuishi hapa duniani? hahahaukiona hivyo ujue siku zako za kuishi zimebaki chache saana
sauti yakeUlijuaje kama ni bundi na wewe hukutoka kutazama?
Hahahahahahahah ni kweli mie ni tajiri wa afya japo sina pesa