MD25
JF-Expert Member
- Jan 28, 2012
- 3,074
- 1,018
Mkuu Omutwale
umegonga Ikulu,,,
Lakini ukiangalia kwa jicho la tatu utagundua kuwa Zitto anawatumia tu
hawa vijana lakini tamaa yake iko kwenye gesi ya Mtwara. Hebu fikiria
ile Thread ya TUNTEMEKE ya Barua ya watu wa kusini kwa Zitto inayohusu
gesi, then nenda kwenye maelezo ya Kafulila kuwa Zitto ndio atatengeneza
sera ya gesi ya CHAUMMA na maandiko yake mengi ambayo Zitto huwa
anayatoa kuhusu gesi... Huyu dogo ni hatari sana kwa usalama na ustawi
wa Taifa letu, na kwa kuwa anajilinda kishirikina anakuwa anajiamini
kupita kiasi
Zito ni mshirikina kupita maelezo. Ukitaka habari kamili muulize Mudhihiri Mudhihiri, alivyokatika mkono hule hule aliomnyooshea Zito Matunguli bungeni.... Alimwabia "kaa chini" kwa ukali, kumbe kigagula Zito alimindi...