Ndani ya daladala moja na Mshana Jr..

Ndani ya daladala moja na Mshana Jr..

Ufafanuzi
Huyo jamaa si mimi japo pia nilishawahi kufananishwa naye zaidi ya mara moja nje ya Jamiiforums
Mimi sio kibonge nina kilo 120 tu... Wajihi wangu ni cheusi tii...
Sehemu ambazo nishadaiwa kuonekana ni Mbeya, Kigoma Bukoba Mwanza kahama Arusha na Sumbawanga
Asiwadanganye hayupo hata hiyo bongo ndo maana mnamwona saa 8 usiku. Mwenzenu yupo anapiga nondo nimeshatoneshwa na mtu wake. cc: mshana jr.
 
Mshana apande dala dala na umugundue??

Atakuwa mzembe wa mwaka na kitu ambacho hakiwezi kutokea
 
na
Ufafanuzi
Huyo jamaa si mimi japo pia nilishawahi kufananishwa naye zaidi ya mara moja nje ya Jamiiforums
Mimi sio kibonge nina kilo 120 tu... Wajihi wangu ni cheusi tii...
Sehemu ambazo nishadaiwa kuonekana ni Mbeya, Kigoma Bukoba Mwanza kahama Arusha na Sumbawanga
Umesahau Makutano Mabibo
 
Ufafanuzi
Huyo jamaa si mimi japo pia nilishawahi kufananishwa naye zaidi ya mara moja nje ya Jamiiforums
Mimi sio kibonge nina kilo 120 tu... Wajihi wangu ni cheusi tii...
Sehemu ambazo nishadaiwa kuonekana ni Mbeya, Kigoma Bukoba Mwanza kahama Arusha na Sumbawanga
Mshana jr toa ufafanuz mm binafsi nataman kukuona na kukujua
Hamna shida ngoja nirejee nchini tutaonana
 
Back
Top Bottom