Ted2012
Member
- Mar 10, 2012
- 82
- 39
Kazi ipo. Maana yake ni kwamba hata ule mpango wa kutambua taaluma nje ya mfumo rasmi unazikwa! RPL=Recognition of Prior LearningHivi waziri anaweza kuwa proud kuwa ametengeneza mazingira mazuri kwa shule ZOTE kuwezesha watoto wenye sifa wafaulu sekondari?
Hivi waziri anaweza kututhibitishia kuwa maelfu ya wahutimu waliopitia mfumo wa o-level, - certificate - diploma - degree wana elimu duni kuliko waliopitia form V/VI?
Hivi waziri anaweza kututhibitishia kuwa mabadiliko haya anayotaka kuyaleta yapo supported na tafiti za kitaalamu?