Hapo umepinga kwasababu umepinga, lakini Waziri huko sahihi. Siku zote mmekuwa mkilalamika elimu inashuka. Sasa anataka kuirudisha kwenye mstari, unapinga. Alternative hautoi. Aaaaghh!Hivi waziri anaweza kuwa proud kuwa ametengeneza mazingira mazuri kwa shule ZOTE kuwezesha watoto wenye sifa wafaulu sekondari?
Hivi waziri anaweza kututhibitishia kuwa maelfu ya wahutimu waliopitia mfumo wa o-level, - certificate - diploma - degree wana elimu duni kuliko waliopitia form V/VI?
Hivi waziri anaweza kututhibitishia kuwa mabadiliko haya anayotaka kuyaleta yapo supported na tafiti za kitaalamu?
Watafakari nini sasa kusoma 5&6?Elimu inarudisha heshima..
Wenye Diploma na Cheti na walikuwa na mawazo ya kutafuta Shahada wanajitafakari upya....
Eti.jamani ngumu sanaaaDaaah!! Yan nirudie mtihani na utu uzima wangu huu nipate credit nikavae sare nyeupe niingie darasan na watoto!! Doooooh!!!!
Kweli unachosema 100%Hapa kuna shida kidogo. Angekuwa sawa kama angesema wanazuia mtu aliefeli form four kuendelea mpaka arudie mtihani na afaulu. lakini having equivalent of form six ni acceptable dunia nzima. Nadhani wakati umefika baadhi ya mambo ya elimu yaingizwe kwenye katiba ili watu wasiweze kuyabadili kirahisi namna hii jamani
Uko sahihi kabisa mkuuNi sawa na kusema people don't deserve a second chance in life: Huyu mama ni majanga kupitiliza kwakweli mtazamo wake wa knowledge ni finyu mno to think Phd yake ni ya maswala ya elimu.
Unataja vyuo vya uchochoroni. UK hata vyeti feki vipoNchi zilizo ondelea kama mfano uk ,unaweza kujiunga na elimu ya juu bila ya kuwa na leaving certificate.
Ukishajua kusoma na ku andika ikiwa upo over 18 unajiunga na college, una anza na foundation mwaka mmoja, baadae level 1 kwenda 2,3 baadae degree, level hizi ni diploma.
Maelekezo zaidi angalieni mfano East Ham college