Ze Heby
JF-Expert Member
- Jun 22, 2011
- 5,253
- 5,321
Weka video yote mleta mada.Mama anakataa mambo ya kufanya zile foundation course za mtu asiye na sifa ya kujiunga elimu ya juu(Hana diploma wala principal passes za A Level)
Maana yake ni kuwa kama upo kazini unataka kujiendeleza chuo kikuu huria,kama huna sifa huwezi kujiunga tofauti na zamani za foundation course
Maana yake ni kuwa kama upo kazini unataka kujiendeleza chuo kikuu huria,kama huna sifa huwezi kujiunga tofauti na zamani za foundation course