Kwa hili naunga mkono 100%, Degree za CBE zilikuwa zinaongezeka. Bado la mafunzo ya ualimu kuwa chini ya Nacte, wataalamu wa elimu ya ualimu hawajawahi kuona ualimu kama technical education.Labda mie niliandaliwa vibaya ila mwenye maarifa na hili anielimishe.