Ndala (malapa) Zinauwa Nguvu za Kiume!

Kijakazi

JF-Expert Member
Jun 26, 2007
6,429
8,921
Wanasayansi tumegundua kwamba Ndala zilizotengenezwa na Plastiki zinasababisha upungufu na matokeo yake kuuwa kabisa nguvu za Kiume, hivyo Kama wewe ni Mwanaume TAFADHALI kuanzia leo usivae tena NDALA(malapa) zilizotengenezwa na Plastiki, tafuta ndala nyingine hasa za ngozi...

Sasa nimejua kwa nini Wanawake TZ wanalalamika sana kwamba Wanaume siku hizi hawasimamishi UUme Vizuri, na kila siku utasikia Mke wa Mtu kafumaniwa hapa kashikwa pale, sababu ndiyo hiyo, mnavaa sana Ndala za Plastiki!


SIYO Utani ni kweli KABISA Chukua Hatua...

 
Upuuzi...hakuna maelezo ya utafiti uliopelekea hiyo conclusion

Upuuzi mtupu
 
Wanasayansi tumegundua kwamba Ndala zilizotengenezwa na Plastiki zinasababisha upungufu na matokeo yake kuuwa kabisa nguvu za Kiume, hivyo Kama wewe ni Mwanaume TAFADHALI kuanzia leo usivae tena NDALA(malapa) zilizotengenezwa na Plastiki, tafuta ndala nyingine hasa za ngozi...

Sasa nimejua kwa nini Wanawake TZ wanalalamika sana kwamba Wanaume siku hizi hawasimamishi UUme Vizuri, na kila siku utasikia Mke wa Mtu kafumaniwa hapa kashikwa pale, sababu ndiyo hiyo, mnavaa sana Ndala za Plastiki!


SIYO Utani ni kweli KABISA Chukua Hatua...


vp jf nayo haipunguz nguvu za kiume?........................ wanawake zenu hawajatulia sabubu ya kula kuku wa wk 2 ata uwe unanguvu kama samson akiamua kuchepuka ana chepuka acha mambo ya ajabu
 
Lakini ndala sizinatumika kuogea tu! Kwani kuna wanaume bado wanavaa ndala kwaajili ya kujisitiri?
 
Wanasayansi tumegundua kwamba Ndala zilizotengenezwa na Plastiki zinasababisha upungufu na matokeo yake kuuwa kabisa nguvu za Kiume, hivyo Kama wewe ni Mwanaume TAFADHALI kuanzia leo usivae tena NDALA(malapa) zilizotengenezwa na Plastiki, tafuta ndala nyingine hasa za ngozi...

Sasa nimejua kwa nini Wanawake TZ wanalalamika sana kwamba Wanaume siku hizi hawasimamishi UUme Vizuri, na kila siku utasikia Mke wa Mtu kafumaniwa hapa kashikwa pale, sababu ndiyo hiyo, mnavaa sana Ndala za Plastiki!


SIYO Utani ni kweli KABISA Chukua Hatua...

Chunga ulimi wako, kwa kuwa viwanda vya kandambili vinaweza kukushitaki kwa kuwasababishia hasara kubwa, kutokana na story yako uliyoi-frame.

Kumbuka ile principal inayosema, no research nó right of speech.
 
Wanasayansi tumegundua kwamba Ndala zilizotengenezwa na Plastiki zinasababisha upungufu na matokeo yake kuuwa kabisa nguvu za Kiume, hivyo Kama wewe ni Mwanaume TAFADHALI kuanzia leo usivae tena NDALA(malapa) zilizotengenezwa na Plastiki, tafuta ndala nyingine hasa za ngozi...

Sasa nimejua kwa nini Wanawake TZ wanalalamika sana kwamba Wanaume siku hizi hawasimamishi UUme Vizuri, na kila siku utasikia Mke wa Mtu kafumaniwa hapa kashikwa pale, sababu ndiyo hiyo, mnavaa sana Ndala za Plastiki!


SIYO Utani ni kweli KABISA Chukua Hatua...


Great thinkers wanahitaji kujua chanzo cha habari hii ili waone authenticity na credibility. Kama ni utafiti wako mwenyewe tujulishe ili tuhoji
 
Sio kweli kuwa Mtu akivuta bangi ndio anaweza kuandika huu utumbo.

Ila ukinywa bangi na kisha ukanywa maji ya choo akili ndio inaweza kukutuma kuandika huu utumbo.



Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums wireless internet.
 
Taja source ya hii habari yako basi ama ni porojo zako?????? Utafiti unaambatana na vielelezo vya vitendea kazi....enea ulilolifanyia utafiti....idadi ya washiriki waliohusishwa kwenye utafiti wako na vitendea kazi ulivyovitumia. Sema pia matokeo ya utafiti wako yananaje ama kutifautiana na matokea ya tafiti nyingine ambazo tayari zimeshafanyika........watanzania bana
.......penda porojo sana na hadithi za watoto.
 
Tafiti mara nyingi zinatoa ukweli kwa njia ya picha, ninaweza kukubaliana na utafiti wako, wanaume wanaovaa ndala kujistili wanamatatizo hayo.
Sababu ya msingi ikiwa ugonjwa huo unasababishwa na stress katika mwili yenye athali katika kiungo hicho m.f.
Msongo katika mwili: maumivu ya kiuno au mgongo.
Msongo wenye athali kwenye mizania ya kemikali za mwilini, m.f. Baadhi ya vyakula huchochea homoni za kike kuwa nyingi zaidi ya uhitaji, ambazo zinapelekea ugonjwa tajwa hapo awali.

Sasa cha ajabu ubongo bila kutaraji unaweza kusababisha mabadiliko ya uwiano wa kemikali hizo kwa vigezo vilivyo nje ya mwili. M.f ubunifu wa mwenza unaweza kushusha uwezo wa mhusika mpaka akajihisi mgonjwa, kitu hiki kimeripotiwa na wenye msongo wa mawazo pia.

Nikirudi kwenye utafiti wako, mtu avaae ndala muda mrefu anadondokea
katika kundi lipi? Nafikiri lenye msongo wa mawazo kwa kutokuwa na pesa 'ana uwezo mdogo wa kununua viatu' labda na chakula (usipokula vema nalo ni tatizo), hajalipa karo ya mtoto mwenye uniform iliyochanika, mwenye wadogo wa 3 wenye matatizo kama hayo wenye mama anayelalamika hajanunuliwa kanga mwaka wa tatu, aliyesahau nyumbani mlo ni mmoja, na mwenye nyumba anawadai kodi. Usijeshangaa anayevaa ndala anaongea peke yake njiani.
Kwa ufupi msongo wa mawazo ndio tatizo, unaotokana na ukosefu wa huduma muhimu katika familia kwa kukosa pesa ndio tatizo lengwa linalo wakilishwa na picha ya ndala kwenye utafiti wako.

Ila shukran mkuu, kesho naanza kuvaa yeboyebo nafikiri nyumba haitayumba tena.
 
jamani mvae ndala za ngozi!! kweli jamani ngozi ukaogee!!?? hiyo harufu yake ikianza kuoza si itakuwa hapatoshi, bora mbaki hamna nguvu kuliko kuleteana maharufu ya ajabu ajabu nyumbani
 
Wakati mwingine jaman kabla ya kutumia hayo madude muwe mnakula kwanza halafu unapata muda wa kutosha wa kupumzika halafu mnaanza kuyatumia,hapo angalau unakuwa na mawazo ya maana ya kuleta mbele ya wanaume wenzio,mi navaaga sana malapa lakin mbona nacmamia show za maana tu
 
Back
Top Bottom