masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,409
- 14,116
- Thread starter
- #61
Mkuu kama ule mfuoa wa barabara za Tukuyu unatafunwa, huu wa doble way Mbeya utafanyika tu.Ninavyojua ni Kuwa Population ya Mbeya kwa Vyombo vya Usafiri hata binadamu ni Kubwa Kuliko Moshi, Iringa na Pengine Hata Arusha, Lakini note huko wamewekew Double road.
Na nijuavyo najua hata hiyo ByPass itajengwe wakati wa Kupitisha Barabara Kuu itakayoendelea Toka Igawa kuelekea Tunduma, sasa nadhani hapo ndipo ilikuwa nafasi ya Utanua hata Barabara ili iwe na Njia nne!
Lakini kwaajili ya Chuki na Mbeya, Trust me hawatafanya hivyo ili kuwakomoa.
Ndo maana nasema its a matter of time.