Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,410
- 271,879
Tusichokipenda ni kumuabudu mwanadamu anayetekeleza wajibu wake kwa kudhani kwamba anatoa hela mfukoni mwake , kitu ambacho si kweli hata chembe , huyu Masopakyindi nilishamuonya sana kuhusu huu ujinga wake lakini bahati mbaya haelewi tu .Hatupendi habari kama hizi