Ndaga, Malafyale Magufuli

Ndaga, Malafyale Magufuli

Hatupendi habari kama hizi
Tusichokipenda ni kumuabudu mwanadamu anayetekeleza wajibu wake kwa kudhani kwamba anatoa hela mfukoni mwake , kitu ambacho si kweli hata chembe , huyu Masopakyindi nilishamuonya sana kuhusu huu ujinga wake lakini bahati mbaya haelewi tu .
 
Mkuu ana Mkakati gani wa Kuondoa Foleni Jijini Mbeya? Nipe japo dodoso maana wewe ni Kada Mtiifu mnajua hata ya Sirini, Juzi kwenye Kwenye Hotuba yake hapo CCM hakuliongelea kabisa zaidi ya Kuzungumzia ByPass itakayopita Sambamba na Tazama kupitia Ivumwe!
Ile bypass ni tiba tosha kabisa.
Tusichokipenda ni kumuabudu mwanadamu anayetekeleza wajibu wake kwa kudhani kwamba anatoa hela mfukoni mwake , kitu ambacho si kweli hata chembe , huyu Masopakyindi nilishamuonya sana kuhusu huu ujinga wake lakini bahati mbaya haelewi tu .
Una roho ya korosho.
Binadamu ukitendewa mema ustaarabu ni kushukuru.
 
Ziara ya magufuli imewaacha bavicha na vilio vikali sana.
Mkuu hilo ni kweli kabisa, Mbeya bado ni ngome ya CCM.
KUNA wanafiki hata ndani ya CCM wameumbuka walisema Mbeya kuna ukabila, ati wanamchukia Magufuli!
Nyomi iliyojitokeza kumpokea Magufuli imewaumbua vibaya.
 
kuba mambo JPM anayafanya kwa kweli anastahili pongezi....sema kuna wakat plan zake zinakuwa out of track....
 
Punguza chuki na ukabila wewe,mbona wazungu magovi lakini wanakupa misaada na unatumia simu yao kuwaponda wanyakyusa,shut up u know.
Watu wenye chuki wapo wengi sana huyo GUSSIE ni mshamba Fulani hivi.
Hapendi maendeleo ya huko alikozidiwaa ujanja, hao ndo wachonganishi ati mahalafulani kuna ukabila!!!
Wachonganishi wahedi!
 
Kumbuka walijengewa barabara mbadara iliwaweze kupita wakati daraja kama la Mkapa MTO rufiji, daraja na umoja MTO ruvuma, daraja la mto malagalasi, na ujenzi Wa Barbara za lami kuunganisha makao makuu ya mikoa
Unakazaana kufifisha taa ya mwenzio.
 
nami nampongeza ka hilo, nimeitumia sana hiyo barabara! naam sasa ni wakati mwafaka. nadhani ni kwa vile inaunganisha wilaya. busokelo na rungwe! tuwashukuru pia waliohimiza usiku mchana kujengwa kwa hiyo barabara
 
Licha ya maneno maneno mengi, ati Magufuli hakanyagi Mbeya, na aidha Mbeya wanamchukia, ilikuwa uongo mtupu.

Waliokuwa na nia mbaya wameumbuka, Magufuli amefanya ziara yenye mafanikio na amepokewa na wananchi wengi sana haijapata kuonekana Mbeya.
Aione Ethr
bavicha mlisema jpm haipendi mbeya sasa ameamua kuhamia kabisa mbeya,wiki na nusu yuko mbeya kwa ziara ya mafanikio.
Aione Erythrocytes
 
Sasa nimeelewa kwanini Mbeya walikua wanatamani sana Rais afanye ziara huko.

Awamu ya tano ni ya kuahidi na kutekeleza.
 
Sio roho ya korosho bali tunawapa uhalisia Wa trend za ujenzi Wa Barabara hapa nchini. Na kwa sasa kutokana na issue ya ziwa Nyasa, huo ukanda ni strategic zone.
Kwa hiyo wale marais walioahidi hizo barabara na hawakujenga walikuwa wanadanganya tu?
 
True , hii is just a matter of time.
Ninavyojua ni Kuwa Population ya Mbeya kwa Vyombo vya Usafiri hata binadamu ni Kubwa Kuliko Moshi, Iringa na Pengine Hata Arusha, Lakini note huko wamewekew Double road.
Na nijuavyo najua hata hiyo ByPass itajengwe wakati wa Kupitisha Barabara Kuu itakayoendelea Toka Igawa kuelekea Tunduma, sasa nadhani hapo ndipo ilikuwa nafasi ya Utanua hata Barabara ili iwe na Njia nne!
Lakini kwaajili ya Chuki na Mbeya, Trust me hawatafanya hivyo ili kuwakomoa.
 
Back
Top Bottom