Ndaga, Malafyale Magufuli

Ndaga, Malafyale Magufuli

Unapo ahidi wananchi, ustaarabu ni kutekeleza.
Pamoja na kuahidi kila kampeni ya urais kama ilani ya chama, sina kumbukumbu marais wetu ingakao kufika huko makwetu.

Magufuli aliahidi, sasa anatekeleza.
Ndaga Magufuli.
Kumbuka walijengewa barabara mbadara iliwaweze kupita wakati daraja kama la Mkapa MTO rufiji, daraja na umoja MTO ruvuma, daraja la mto malagalasi, na ujenzi Wa Barbara za lami kuunganisha makao makuu ya mikoa
 
Unapo ahidi wananchi, ustaarabu ni kutekeleza.
Pamoja na kuahidi kila kampeni ya urais kama ilani ya chama, sina kumbukumbu marais wetu ingakao kufika huko makwetu.

Magufuli aliahidi, sasa anatekeleza.
Ndaga Magufuli.
Hivi unafikiri Magufuli atatimiza yote aliyoahidi?
 
Mungu Ni Mwema Wakati Wote
Maendeleo Hayana Chama Fanya Kazi
 
Usiongee sana, ungesubiri ijengwe kwanza. Tunaelekea 2020 lolote laweza kusemwa
Nimewiwa kumpongeza sana Malafyale Rais, Dr John Pombe Joseph Magufuli kwa kukata kiu ya muda mrefu sana, ya ujenzi wa barabara za Katumba~Masebe~Lwangwa~Mbambo~Masoko~Tukuyu.

Nimepigiwa simu sasa hivi na mdogo wangu aliyeko Busokelo, akiwa amechanganyikiwa kwa furaha, kuwa ni Rais Magufuli aliye weka jiwe la msingi kufungua ujenzi wa barabara hiyo.
Hii imemtia simanzi kwa furaha.

Tukumbuke kuwa maraisi toka Mwinyi, Mkapa, Kikwete wote waliahidi kujenga barabara hizo lakini hawakuweza kutekeleza.

Hivyo kwa kutekeleza yale yeye mwenyewe alivyo ahidi, pamoja na ahadi za waliomtangulia, nasema Ndaga fijo na ubarikiwe sana Malafyale Dr John Pombe Joseph Magufuli.
 
Ulendosi kange ukaja nkafu...sawa tumpongeze lakini tuache kufulu, kusema eti wengine walishindwa kutekeleza huku ukijua fika kuwa kila jambo ni mpango ni kufulu. Mbona hao wengine huwapongezi kwa kupeleka umeme, MAJI na simu vijiji vya ndani kule Busokelo?
 
Bavicha mlisema Magufuli haipendi Mbeya sasa ameamua kuhamia kabisa Mbeya,wiki na nusu yuko Mbeya kwa ziara ya mafanikio.
 
Ulendosi kange ukaja nkafu...sawa tumpongeze lakini tuache kufulu, kusema eti wengine walishindwa kutekeleza huku ukijua fika kuwa kila jambo ni mpango ni kufulu. Mbona hao wengine huwapongezi kwa kupeleka umeme, MAJI na simu vijiji vya ndani kule Busokelo?
Wewe anzisha uzi wapongeze hao.
 
Ni kweli pongezi za pekee kwa Rais Magufuli.
Nami najiuliza nini kiliwashinda Marais Mwinyi, Mkapa na Kikwete?

Wana JF(CHADEMA) kimya chenu
kimewaumbua!

cc Ndikwega, Mzito Kabwela, Ileje, Green City,Une Joune, Utukufu Mwanjisi, Mwakibingatky......
Mkuu Lole Gwakisa, katika hili Nampongeza saana Magufuli, Ila haliwezi kunitoa Ufahamu eti ndiyo niseme CCM Imeanza Uzuri ghafla. Walikuwa wapi Muda wote huo uliyopita? Na hatutakiwi Kusahaua Kuwa Juhudi za Mwandosya pia Zimesaidia.

Ndagha Fijo Mwaisa, loli Jiwe akamundu Nnunu Fijo, ni Jambo la muda tu utaelewa Malafyale. Masopakyindi, Lusungo,Green City.
 
Ulendosi kange ukaja nkafu...sawa tumpongeze lakini tuache kufulu, kusema eti wengine walishindwa kutekeleza huku ukijua fika kuwa kila jambo ni mpango ni kufulu. Mbona hao wengine huwapongezi kwa kupeleka umeme, MAJI na simu vijiji vya ndani kule Busokelo?
Mkuu wewe wapongeze kwa uliyoyaina, sisi tunampongeza Magufuli kwa barabara hizi zilizotutesa miaka nenda rudi.
Nakumbuka ndugu zetu waliofariki basi zima kwenye kilima kile baada ya kijiji cha Suma.
Basi la Mwambipile liliua watu karibia 30.

Lile genge basi lilipopinduka ni zaidi ya Kitonga, wengi wenu hamjapita njia hiyo, Rais kapita kajionea.
Ndiyo maana mzee Mwandosya alipo muomba, hakusita kukubaliana kujenga barabara hiyo.
 
Kuna watu wameumbuka!
Mkuu ana Mkakati gani wa Kuondoa Foleni Jijini Mbeya? Nipe japo dodoso maana wewe ni Kada Mtiifu mnajua hata ya Sirini, Juzi kwenye Kwenye Hotuba yake hapo CCM hakuliongelea kabisa zaidi ya Kuzungumzia ByPass itakayopita Sambamba na Tazama kupitia Ivumwe!
 
Mkuu wewe wapongeze kwa uliyoyaina, sisi tunampongeza Magufuli kwa barabara hizi zilizotutesa miaka nenda rudi.
Nakumbuka ndugu zetu waliofariki basi zima kwenye kilima kile baada ya kijiji cha Suma.
Basi la Mwambipile liliua watu karibia 30.

Lile genge basi lilipopinduka ni zaidi ya Kitonga, wengi wenu hamjapita njia hiyo, Rais kapita kajionea.
Ndiyo maana mzee Mwandosya alipo muomba, hakusita kukubaliana kujenga barabara hiyo.
Kwahilo hatukatai ila haibadilishi Uhalisia Kuwa Akamundu Nnunu, Indumbula jake nyali fijo.
 
Licha ya maneno maneno mengi, ati Magufuli hakanyagi Mbeya, na aidha Mbeya wanamchukia, ilikuwa uongo mtupu.

Waliokuwa na nia mbaya wameumbuka, Magufuli amefanya ziara yenye mafanikio na amepokewa na wananchi wengi sana haijapata kuonekana Mbeya.
Ziara ya Magufuli imewaacha bavicha na vilio vikali sana.
 
Back
Top Bottom