Imekwishadhihilika wazi kuwa Nchimbi na Kamala ambao ni naibu waziri na waziri respectively kwenye serikali ya muungwana kuwa hawa jamaa walikuwa na vyeti feki vya doctorate; hii imejionesha pale waliporegister upya na Mzumbe University kusomea shahada hizo. Swali langu ni kwanini vyombo vya habari, yaani magazeti,redio na TV bado wanawaita kuwa hawa jamaa ni "DR". Je inawezekana ikawa ni kwasababu ya uelewa mdogo wa hawa wanahabari wetu/ kuwa na makanjaja wengi? Ni kosa la jinai kutumia title ya uongo ili kujipata kipato!!