Nchimbi anaibua Mazuri ya Serikali dhidi ya Mabaya Machache, Makonda anaibua Mabaya Mengi dhidi ya Mazuri machache kati yao nani Bingwa wa Siasa?

Master Legendary

JF-Expert Member
Apr 28, 2013
550
786
Wanajamvi nimefuatilia kwa karibu Ziara zote mbili za Chama cha Mapinduzi zilizofanyika hivi karibuni,ya kwanza ni ile ya Mwenezi Mstaafu Makonda peke yake akiwa na Serikali aliyoita Back to Back na ya pili hii ya Nchimbi akiwa na Sekretarieti ya Chama.

Nilichokiona Binafsi Ziara ya kwanza ya Makonda iliyotawaliwa na Populism iliibua Mabaya mengi sana ya Serikali na kujenga Taswira kwamba Serikali haipo na hakuna inachokifanya,katika Ziara hii upande wa pili wa Mema ya Serikali au utekelezaji wa Ilani haukunadiwa kama yalivyonadiwa Madudu.

Kiuhalisia Kero haziishi popote hata kwenye Ngazi ya Familia bado zipo mtu akiamua kuibua anaweza kukutana na Familia ikaibuliwa kero ya chakula kibaya,baba kuchelewa kurudi n.k,Naamini hata yeye akikaa Miaka 10 Arusha akija Kiongozi wa Kariba yake kutoka juu anaweza kusikiliza Kero na akazipata akamfanyia kama alivyofanyia wenzake kwa tafsiri kwamba hata alivyokuwa Dar hakumaliza Kero.

Kwa Upande wa Ziara ya pili ya kina Nchimbi naona iko tofauti inaonyesha upande wa Pili wa Serikali kwamba kuna Mema na Mazuri yamefanyika mengi kuliko mabaya hivyo inastahili kupewa nafasi nyingine kuendeleza yale mazuri.

Kwa Wataalamu na Weledi wa Kisiasa hebu tusaidieni kudadavua,kisiasa hapa nani Bingwa na nani anafanya vizuri?Zingatia neno KISIASA.

Povu Ruksa.
 
Wote hao ni wolf tuu!
Ni wa kuwapuuza kwani ni hatari kwa future ya watoto wako na watoto wao.
IMG-20240419-WA0015.jpg


Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Ungesema hivi huyo wa kwanza anaibua mazuri dhidi ya mabaya mengi na sio mabaya machache.

Wewe fikiria katika hali ya kawaida unayemlalamikia ndiye huyo unaambiwa akakusikilize! Au wanadhani kwanini watu huwa wanabeba mabango mbele ya viongozi wa juu?
 
Wanajamvi nimefuatilia kwa karibu Ziara zote mbili za Chama cha Mapinduzi zilizofanyika hivi karibuni,ya kwanza ni ile ya Mwenezi Mstaafu Makonda peke yake akiwa na Serikali aliyoita Back to Back na ya pili hii ya Nchimbi akiwa na Sekretarieti ya Chama.

Nilichokiona Binafsi Ziara ya kwanza ya Makonda iliyotawaliwa na Populism iliibua Mabaya mengi sana ya Serikali na kujenga Taswira kwamba Serikali haipo na hakuna inachokifanya,katika Ziara hii upande wa pili wa Mema ya Serikali au utekelezaji wa Ilani haukunadiwa kama yalivyonadiwa Madudu.

Kiuhalisia Kero haziishi popote hata kwenye Ngazi ya Familia bado zipo mtu akiamua kuibua anaweza kukutana na Familia ikaibuliwa kero ya chakula kibaya,baba kuchelewa kurudi n.k,Naamini hata yeye akikaa Miaka 10 Arusha akija Kiongozi wa Kariba yake kutoka juu anaweza kusikiliza Kero na akazipata akamfanyia kama alivyofanyia wenzake kwa tafsiri kwamba hata alivyokuwa Dar hakumaliza Kero.

Kwa Upande wa Ziara ya pili ya kina Nchimbi naona iko tofauti inaonyesha upande wa Pili wa Serikali kwamba kuna Mema na Mazuri yamefanyika mengi kuliko mabaya hivyo inastahili kupewa nafasi nyingine kuendeleza yale mazuri.

Kwa Wataalamu na Weledi wa Kisiasa hebu tusaidieni kudadavua,kisiasa hapa nani Bingwa na nani anafanya vizuri?Zingatia neno KISIASA.

Povu Ruksa.
Mnajaribu kumtengenezea attention lakini jamaa hauziki!!

Jiandae kisaikolojia, Nchimbi anatemwa soon
 
Wanajamvi nimefuatilia kwa karibu Ziara zote mbili za Chama cha Mapinduzi zilizofanyika hivi karibuni,ya kwanza ni ile ya Mwenezi Mstaafu Makonda peke yake akiwa na Serikali aliyoita Back to Back na ya pili hii ya Nchimbi akiwa na Sekretarieti ya Chama.

Nilichokiona Binafsi Ziara ya kwanza ya Makonda iliyotawaliwa na Populism iliibua Mabaya mengi sana ya Serikali na kujenga Taswira kwamba Serikali haipo na hakuna inachokifanya,katika Ziara hii upande wa pili wa Mema ya Serikali au utekelezaji wa Ilani haukunadiwa kama yalivyonadiwa Madudu.

Kiuhalisia Kero haziishi popote hata kwenye Ngazi ya Familia bado zipo mtu akiamua kuibua anaweza kukutana na Familia ikaibuliwa kero ya chakula kibaya,baba kuchelewa kurudi n.k,Naamini hata yeye akikaa Miaka 10 Arusha akija Kiongozi wa Kariba yake kutoka juu anaweza kusikiliza Kero na akazipata akamfanyia kama alivyofanyia wenzake kwa tafsiri kwamba hata alivyokuwa Dar hakumaliza Kero.

Kwa Upande wa Ziara ya pili ya kina Nchimbi naona iko tofauti inaonyesha upande wa Pili wa Serikali kwamba kuna Mema na Mazuri yamefanyika mengi kuliko mabaya hivyo inastahili kupewa nafasi nyingine kuendeleza yale mazuri.

Kwa Wataalamu na Weledi wa Kisiasa hebu tusaidieni kudadavua,kisiasa hapa nani Bingwa na nani anafanya vizuri?Zingatia neno KISIASA.

Povu Ruksa.
Spid ya Makonda ilikuwa kuibua mabaya na kuyatafutia ufumbuzi. Sasa kama unayafinya. Tutakwenda kwenye usemi wa, wazanaki. Kuwa, anayeficha maradhi kilio kimfichua.
 
Hapo ni kufanya Balance and Fair! Wote wako vizuri!
Nadhani hiyo ndiyo Political Science!
 
Mnajaribu kumtengenezea attention lakini jamaa hauziki!!

Jiandae kisaikolojia, Nchimbi anatemwa soon
Nikusaidie tu kidogo ni hivi; CCM ni mwenyekiti na Mwenyekiti ndiye CCM. Umaarufu wa CCM humtegemea mwenyekiti wake nje ya hapo hata umlete Yesu hutafua dafu.
 
Anayeibua mazuri ya serikali dhidi ya mabaya machache anafurahisha watawala na anayeibua mabaya mengi dhidi ya mazuri machache anafurahisha wananchi walio wengi kisiasa na aina ya siasa zinazopendwa na watanzania Makonda ni bingwa
 
Wanajamvi nimefuatilia kwa karibu Ziara zote mbili za Chama cha Mapinduzi zilizofanyika hivi karibuni,ya kwanza ni ile ya Mwenezi Mstaafu Makonda peke yake akiwa na Serikali aliyoita Back to Back na ya pili hii ya Nchimbi akiwa na Sekretarieti ya Chama.

Nilichokiona Binafsi Ziara ya kwanza ya Makonda iliyotawaliwa na Populism iliibua Mabaya mengi sana ya Serikali na kujenga Taswira kwamba Serikali haipo na hakuna inachokifanya,katika Ziara hii upande wa pili wa Mema ya Serikali au utekelezaji wa Ilani haukunadiwa kama yalivyonadiwa Madudu.

Kiuhalisia Kero haziishi popote hata kwenye Ngazi ya Familia bado zipo mtu akiamua kuibua anaweza kukutana na Familia ikaibuliwa kero ya chakula kibaya,baba kuchelewa kurudi n.k,Naamini hata yeye akikaa Miaka 10 Arusha akija Kiongozi wa Kariba yake kutoka juu anaweza kusikiliza Kero na akazipata akamfanyia kama alivyofanyia wenzake kwa tafsiri kwamba hata alivyokuwa Dar hakumaliza Kero.

Kwa Upande wa Ziara ya pili ya kina Nchimbi naona iko tofauti inaonyesha upande wa Pili wa Serikali kwamba kuna Mema na Mazuri yamefanyika mengi kuliko mabaya hivyo inastahili kupewa nafasi nyingine kuendeleza yale mazuri.

Kwa Wataalamu na Weledi wa Kisiasa hebu tusaidieni kudadavua,kisiasa hapa nani Bingwa na nani anafanya vizuri?Zingatia neno KISIASA.

Povu Ruksa.
Zerobrain Makonda alikuwa anajifanyia PROMO yeye binafsi na siyo CCM. Wenye chama walitambua wakaamua kumtoa
 
Ngoja waendelee kujitekenya na kucheka wenyewe, Nauona Upinzanzi ukiwa na hoja nyingi sana kwenye majukwaa kwenye uchaguzi WA SERIKALI za mitaa, upinzani wapate vijana AMBAO SI machawa 😂😂😂 Wala BANGI MAJI,
MAKONDA alibua Mabaya kwenye Mazuri machache, juu ya wananchi na SI juu serikali
Unaenda Huko MBWINDE wananchi wamebeba mabango tuna kero ya Kituo Cha afya wewe unawambia serikali imejenga Mlogwanzila hospital😀😀( mfano)
 
Wanajamvi nimefuatilia kwa karibu Ziara zote mbili za Chama cha Mapinduzi zilizofanyika hivi karibuni,ya kwanza ni ile ya Mwenezi Mstaafu Makonda peke yake akiwa na Serikali aliyoita Back to Back na ya pili hii ya Nchimbi akiwa na Sekretarieti ya Chama.

Nilichokiona Binafsi Ziara ya kwanza ya Makonda iliyotawaliwa na Populism iliibua Mabaya mengi sana ya Serikali na kujenga Taswira kwamba Serikali haipo na hakuna inachokifanya,katika Ziara hii upande wa pili wa Mema ya Serikali au utekelezaji wa Ilani haukunadiwa kama yalivyonadiwa Madudu.

Kiuhalisia Kero haziishi popote hata kwenye Ngazi ya Familia bado zipo mtu akiamua kuibua anaweza kukutana na Familia ikaibuliwa kero ya chakula kibaya,baba kuchelewa kurudi n.k,Naamini hata yeye akikaa Miaka 10 Arusha akija Kiongozi wa Kariba yake kutoka juu anaweza kusikiliza Kero na akazipata akamfanyia kama alivyofanyia wenzake kwa tafsiri kwamba hata alivyokuwa Dar hakumaliza Kero.

Kwa Upande wa Ziara ya pili ya kina Nchimbi naona iko tofauti inaonyesha upande wa Pili wa Serikali kwamba kuna Mema na Mazuri yamefanyika mengi kuliko mabaya hivyo inastahili kupewa nafasi nyingine kuendeleza yale mazuri.

Kwa Wataalamu na Weledi wa Kisiasa hebu tusaidieni kudadavua,kisiasa hapa nani Bingwa na nani anafanya vizuri?Zingatia neno KISIASA.

Povu Ruksa.
Usimlinganishe yule mwendawazimu muuaji Bashite na wanasiasa waliowiva.

Bashite ni takataka tu
 
nasimama na bashite hao wazee hawana mvuto wowote kazi kusifia Chama wakati huo bashite alisimama kutetea wananchi
 
Ngoja waendelee kujitekenya na kucheka wenyewe, Nauona Upinzanzi ukiwa na hoja nyingi sana kwenye majukwaa kwenye uchaguzi WA SERIKALI za mitaa, upinzani wapate vijana AMBAO SI machawa 😂😂😂 Wala BANGI MAJI,
MAKONDA alibua Mabaya kwenye Mazuri machache, juu ya wananchi na SI juu serikali
Unaenda Huko MBWINDE wananchi wamebeba mabango tuna kero ya Kituo Cha afya wewe unawambia serikali imejenga Mlogwanzila hospital😀😀( mfano)
Kwani shida iko wapi hapo? Hata upinzani ukishinda tatiźo liko wapi? Wewe unataka watanzania wadanganywe na uwongo wa kijinga ili CCM ibakie madarakani?

Kiwango cha fikra kama hizi kinaonyesha namna watamzania wengi walivyo na utopia mlo wa akili.

Kweli Yegoo unakubali usanii wa kuingia na panda na mikokoteni wa Makonda na kusikiliza Kero bila kutatua, unaona ni bora kuliko anachofanya Nchimbi na Makalla??
 
Back
Top Bottom