Nchi za magharibi ni zipi?

Nchi za magharibi ni zipi?

Kiongozi, hata sifahamu ninajichanganya wapi!

labda nisaidie kwa nini Tanzania,Kenya,Uganda, Somalia, Zanzibar zipo Afrika Mashariki?

wakati Msumbiji,Malawi,Zambia,DRC,Burundi,Rwanda,CAR,Sudan (N&S),Ethiopia zipo Central Africa?

Au kwa nini kuna nchi za Afrika Magharibi? Au nchi za Far east? au Central Asia?

Ama angalia kuna nchi za Central Amerika, Southern Amerika na Northern Amerika?

Hivyo nadhani kuna a centre point ambayo ina-determine kwa nini hapa ni kaskazini ama kusini? ila kwa mfano wa hapahapa kwetu Tz - why wanasema Dodoma ni katikati ya nchi (Tanzania)? what are the reference point? au unasikia watu wanasema mikoa ya kusini - hivi ni wapi huko kusini, kwa Jacob Zuma?

Kwa maelezo na maswali hayo hapo juu nina amini kuwa kuna Ulaya Mashariki na Ulaya Magharibi (kijiografia), na kwa upande wa kimkakati nakubaliana na wewe kuwa hizi nchi za Ulaya Magharibi chimbuko lao ni wakati wa vita II ya dunia - wakati USSR ikikua kiuchumi na sera za ukomunisti ikiwa na nchi za Ulaya Mashariki, kwa upande wa pili nchi za Ulaya Magharibi (kijiografia na kimkakati)ziliibuka katika block ya kiuchumi,kisiasa, nk ambazo (Ulaya Magharibi) ndizo zimekuja na umoja wa ulaya "European Union" na Nato (ulinzi)ya sasa kwa mfumo wa kibepari.

Suala la mkakati hili halijalishi unaishi wapi kijiografia - ndio maana Marekani ni mwanachama wa NATO ili hali hayupo Ulaya Magharibi ama Mashariki (wakati hata baadhi ya nchi ambazo zipo Ulaya Mashariki kijiografia pia ni wanachama), pia ukiangalia Jumuiya yetu ya Afrika Mashariki - kuna Burundi na Rwanda ambazo zipo Afrika ya Kati.

Kwa hio bado naamini kabisa sijajichanganya, na wala sipendi uchanganyikiwe isipokuwa ni uelewa tu, ila kwa reference zaidi jaribu kupitia hizi link:
https://www.google.co.tz/search?q=w...&ei=kZgdU4ecJcWKhQeLoYHIBg&sqi=2&ved=0CDUQsAQ

What are the countries of Western Europe? - Yahoo Answers
What Countries Make up Western Europe - Ask.com
http://www.nato.int/cps/en/natolive/nato_countries.htm
Kaka nimekupata, lakini nadhani unajichanganya kidogo

sehemu yoyote ya Dunia utakayosimama lazima itakuwa na East, West, Sud na Nord, sasa kwa hizo nchi ulizozicategorize kama za East na West hapo kwenye bandiko lako juu, zingine zinaonekana kabisa zipo tofauti kigeographia kama unavyosema, mfano hebu linganisha Poland au Czhecslovacia na nchi kama Sweden ama Finland

kwenye Bandiko lako unaziweka Poland na Czech kama ziko East Kigeographia na Sweden na Finland kama West Kigeographia wakati sio kweli, Poland na Czech ziko Magahribi ya Sweden na Finland, kwa maana Nyingine Sweden na Finland ziko East zaidi ya Poland na Czech

Hivyo East Europa na West Europa pamoja na kuangalia Geopgraphy kwa uchache wake, kigezo kikubwa kilikuwa ni political wings, Capitalist West na Socialist/Communist East
 
Kiongozi, hata sifahamu ninajichanganya wapi!

labda nisaidie kwa nini Tanzania,Kenya,Uganda, Somalia, Zanzibar zipo Afrika Mashariki?

wakati Msumbiji,Malawi,Zambia,DRC,Burundi,Rwanda,CAR,Sudan (N&S),Ethiopia zipo Central Africa?

Au kwa nini kuna nchi za Afrika Magharibi? Au nchi za Far east? au Central Asia?

Ama angalia kuna nchi za Central Amerika, Southern Amerika na Northern Amerika?

Hivyo nadhani kuna a centre point ambayo ina-determine kwa nini hapa ni kaskazini ama kusini? ila kwa mfano wa hapahapa kwetu Tz - why wanasema Dodoma ni katikati ya nchi (Tanzania)? what are the reference point? au unasikia watu wanasema mikoa ya kusini - hivi ni wapi huko kusini, kwa Jacob Zuma?

Kwa maelezo na maswali hayo hapo juu nina amini kuwa kuna Ulaya Mashariki na Ulaya Magharibi (kijiografia), na kwa upande wa kimkakati nakubaliana na wewe kuwa hizi nchi za Ulaya Magharibi chimbuko lao ni wakati wa vita II ya dunia - wakati USSR ikikua kiuchumi na sera za ukomunisti ikiwa na nchi za Ulaya Mashariki, kwa upande wa pili nchi za Ulaya Magharibi (kijiografia na kimkakati)ziliibuka katika block ya kiuchumi,kisiasa, nk ambazo (Ulaya Magharibi) ndizo zimekuja na umoja wa ulaya "European Union" na Nato (ulinzi)ya sasa kwa mfumo wa kibepari.

Suala la mkakati hili halijalishi unaishi wapi kijiografia - ndio maana Marekani ni mwanachama wa NATO ili hali hayupo Ulaya Magharibi ama Mashariki (wakati hata baadhi ya nchi ambazo zipo Ulaya Mashariki kijiografia pia ni wanachama), pia ukiangalia Jumuiya yetu ya Afrika Mashariki - kuna Burundi na Rwanda ambazo zipo Afrika ya Kati.

Kwa hio bado naamini kabisa sijajichanganya, na wala sipendi uchanganyikiwe isipokuwa ni uelewa tu, ila kwa reference zaidi jaribu kupitia hizi link:
https://www.google.co.tz/search?q=w...&ei=kZgdU4ecJcWKhQeLoYHIBg&sqi=2&ved=0CDUQsAQ

What are the countries of Western Europe? - Yahoo Answers
What Countries Make up Western Europe - Ask.com
http://www.nato.int/cps/en/natolive/nato_countries.htm


Kaka labda nikufahamishe hivi, Hizo nchi za Europ kuwa East ama West Zilianza na Geoghaphical reference ambayo sio imaginary line bali ni eneo lililogawanywa na kuwa hili ni East na lile ni West (Probably Berlin-East na West German), kisha nchi za West zilifata hiyo siasa ya Ubepari na East siasa ya Ukomonisti, baadae hawakuwa wakifata tena geographical position ya East na West bali walikuwa wanafata ideology ya kisiasa na ndio maana nikakupa mfano wa Poland na Finland, Poland geographicaly hipo East zaidi ya Finland lakini kisiasa ipo WEST na Poland ipo West zaidi ya Finland lakini kisiasa ilikuwa East wings,

Chukulia mfano wa sasa Poland imeingia West na sasa ni West wing politically na socially ina maana walisogeza mstari ili poland iingie West?
 
SWALI ZURI!! na mimi nauliza kwa nini nchi kama Tanzania inaitwa nchi dunia ya tatu "third world country"?? je kuna dunia tatu?? na je "second world countries" ni zipi?

Ukisoma kitabu cha Linguistic Imperialism cha Philipson (1992), huyu mzungu kaeleza hilo jina "third world" lilikuja vipi. Ni kwamba wkt mataifa yanagawanyika kiitikadi, walitokea mabepari (capitalists), wajamaa (Communists) sasa tukabaki akina sisi wafata upepo, ndio tukaitwa "Third World". Yaani itikadi zetu ni za kudandia tu, tupotupo tu.
 
Western Europe - Wikipedia, the free encyclopedia



Western European Union
Western European Union (WEU), association of European countries inaugurated in 1955. The founding members were the United Kingdom, France, Belgium, the Netherlands, and Luxembourg—the countries that established the Brussels Treaty Organization in 1948—and Italy and Germany—the countries that acceded to it in 1954. Portugal and Spain were admitted to full membership in 1990, and Greece in 1995. In 1992 Denmark and Ireland became observer nations (followed in 1995 by Austria, Finland, and Sweden); also in 1992, Iceland, Norway, and Turkey became associate members (followed in 1999 by the Czech Republic, Hungary, and Poland); while in 1994 Bulgaria, Estonia, Latvia, Lithuania, Romania, and Slovakia became associate partners (followed in 1996 by Slovenia). The original aims of the union are set forth in the Brussels Treaty, a 50-year pact providing for “collaboration in economic, social and cultural matters and for collective self-defense”.

The military functions of the organization are now performed by the North Atlantic Treaty Organization, and most of its economic activities are handled by the European Union. Cultural and social activities were transferred to the Council of Europe in 1960. The main purpose of the WEU in recent decades has been as a forum to harmonize members' views on defense and disarmament, East-West relations, and the Atlantic alliance. The principal organ is the council of the union, consisting of the foreign and defence ministers of the ten member nations; council meetings are usually held twice a year at the ministerial level and twice a month at the ambassadorial level. Assisting the council are several permanent agencies and committees. The WEU has its headquarters in Brussels.

Microsoft ® Encarta ® Encyclopedia 2004. © 1993-2003 Microsoft Corporation. All rights reserved.
 
Naona unataka kunipa lawama mimi, wakati wenye longtude na latidute wapo,
Kaka, kwa mfano wako wa Poland na Finland, mbona hauulizi kwa nini Msumbiji ambayo ipo Mashariki kama Tanzania lakini bado kwa "vigezo vyao" vya kijiografia ipo Afrika ya Kati, Sawa na Burudi na Rwanda - ambazo zipo Magharibi ya Tanzania na kwa vigezo hivyo hivyo zipo Afrika ya kati kama Msumbiji ambayo ipo Mashariki kuliko (Rwanda na Burundi),sasa hilo si kosa langu ila ni vigezo na vipimo vyao ambavyo tulitakiwa kuvifahamu.

Nadhani tusichanganye - geographical position and issue zingine kama miungano ya kisiasa, kiuchumi,kijamii, nk, na kudhani kuwa endapo hii ni jumuiya ya Afrika Mashariki basi lazima nchi zote ziwe zinatoka Afrika Mashariki, jambo ambalo si kweli na ambalo wewe unaona ndio dhana ya ukweli! Maana dhana yako inakataliwa, mfano: Jumuiya Afrika Mashariki inajumuisha nchi zilizopo Afrika Mashariki [Kenya,Tz na UG] na Afrika ya Kati [Rwanda na Burundi]"kijiografia" ila zina maslahi yao ya kiuchumi na kisiasa ama kijamii.

Kwa maana hiyo bara la Ulaya nalo lina mashariki na kaskazini, kusini na Magharibi kama ilivyo Afrika, Hivyo, sishangai Poland ambayo kijiografia ipo Ulaya Mashariki ikawa kwenye Jumuiya ya Ulaya yanye lengo la, Siasa,Uchumi,kijeshi,nk na ina wanachama wengi kutoka nchi za Ulaya Magharibi "kijiografia".

Poland na Finland kuwa karibu kwa kutizama kwa macho kwenye ramani sio issue ya ku-justify na ku-conclude kwamba Poland nayo ipo Ulaya Magharibi ili hali ipo Ulaya Mashariki kijiografia.

Yes/no hata kama hakuna imaginary line that demarcates - west or east Europe, there are still countries which located/found in Eastern or western Europe geographically na wala si kwa sababu hizi zipo huku kwa sababu ni za kikomunisti ama kibepari


Kaka labda nikufahamishe hivi, Hizo nchi za Europ kuwa East ama West Zilianza na Geoghaphical reference ambayo sio imaginary line bali ni eneo lililogawanywa na kuwa hili ni East na lile ni West (Probably Berlin-East na West German), kisha nchi za West zilifata hiyo siasa ya Ubepari na East siasa ya Ukomonisti, baadae hawakuwa wakifata tena geographical position ya East na West bali walikuwa wanafata ideology ya kisiasa na ndio maana nikakupa mfano wa Poland na Finland, Poland geographicaly hipo East zaidi ya Finland lakini kisiasa ipo WEST na Poland ipo West zaidi ya Finland lakini kisiasa ilikuwa East wings,

Chukulia mfano wa sasa Poland imeingia West na sasa ni West wing politically na socially ina maana walisogeza mstari ili poland iingie West?
 
Kaka Shakiri unaweza usiwe sahihi sana hapo unaposema kila kilicho kulia ya Longitudo 0 ni Mashariki au kushoto ni magharibi, kwa maaa hata kitu kilichokuwa kulia ya Longutudo 0 bado kinakuwa na Mashariki na Magharibi, na kilichokua kushoto pia kina Magharibi na Mashariki

Tanzania iko kulia ya huo mstari lakini Tanzania ina Mashariki na Magharibi

Mkuu,
Tufanye watu kumi wamejipanga mstari kama wanavyojipangaga wachezaji ili wapige picha.
Sasa katika hao 10, si kila mmoja ana upande wa kulia na wa kushoto wake?

Lakini ukianzia katikati yao ukawagawa pande mbili, si uatapata kuna walioko upande wa kulia na wa kushoto? ingawaka hao walioko kulia wana individually kulia kwao na kushoto kwao.
 
Back
Top Bottom