Nchi za Kiarabu zitusaidie Kutujengea Misikiti Mikubwa na Madrasa huku Tanzania

Nchi za Kiarabu zitusaidie Kutujengea Misikiti Mikubwa na Madrasa huku Tanzania

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
11,163
Reaction score
22,739
Huu ndo wito wangu kwa nchi za Kiarabu. Watusaidie sisi waumini wao na ndugu zao kutujengea Misikiti Mikubwa kila Wilaya na Tarafa.

Pia watujengee na Madrasa nyingi za kutosha tuwafundishe watoto kushika Dini yao. Kila baada ya angalau kilometre 2 kuwe na Msikiti na Madrasa. Hii itasaidia sana kueneza Dini yetu.

Kama hawatajali pia wakati wa Ramadhani washirikiane na Serikali jamani tupate tende bure au kwa kuchangia kidogo. Tende ni nzuri jamani huwa zinatusaidia sana hasa wakati wa mfungo. Na maziwa ya Ngamia. Wallah hapo itakuwa Sunna nzuri kwetu na ibada pia.

Saidieni nanyi mtabarkiwa sana sisi mahitaji yetu makubwa ni hayo tu. Tende, Misikiti, Madrasa,maziwa ya ngamia na kama hamtajali na kanzu zenu huwa ni quality sana na vilemba. Hivyo msiache kutusogezea na makobazi. Allah atawabarikia sana.
 
Huu ndo wito wangu kwa nchi za Kiarabu. Watusaidie sisi waumini wao na ndugu zao kutujengea Misikiti Mikubwa kila Wilaya na Tarafa.

Pia watujengee na Madrasa nyingi za kutosha tuwafundishe watoto kushika Dini yao. Kila baada ya angalau kilometre 2 kuwe na Msikiti na Madrasa. Hii itasaidia sana kueneza Dini yetu.

Kama hawatajali pia wakati wa Ramadhani washirikiane na Serikali jamani tupate tende bure au kwa kuchangia kidogo. Tende ni nzuri jamani huwa zinatusaidia sana hasa wakati wa mfungo. Na maziwa ya Ngamia. Wallah hapo itakuwa Sunna nzuri kwetu na ibada pia.

Saidieni nanyi mtabarkiwa sana sisi mahitaji yetu makubwa ni hayo tu. Tende, Misikiti, Madrasa,maziwa ya ngamia na kama hamtajali na kanzu zenu huwa ni quality sana na vilemba. Hivyo msiache kutusogezea na makobazi. Allah atawabarikia sana.
Unataka tuwe kama Somalia eti? Unataka wakristo wavamiwe makanisani wachinjwe eti?
 
Huu ndo wito wangu kwa nchi za Kiarabu. Watusaidie sisi waumini wao na ndugu zao kutujengea Misikiti Mikubwa kila Wilaya na Tarafa.

Pia watujengee na Madrasa nyingi za kutosha tuwafundishe watoto kushika Dini yao. Kila baada ya angalau kilometre 2 kuwe na Msikiti na Madrasa. Hii itasaidia sana kueneza Dini yetu.

Kama hawatajali pia wakati wa Ramadhani washirikiane na Serikali jamani tupate tende bure au kwa kuchangia kidogo. Tende ni nzuri jamani huwa zinatusaidia sana hasa wakati wa mfungo. Na maziwa ya Ngamia. Wallah hapo itakuwa Sunna nzuri kwetu na ibada pia.

Saidieni nanyi mtabarkiwa sana sisi mahitaji yetu makubwa ni hayo tu. Tende, Misikiti, Madrasa,maziwa ya ngamia na kama hamtajali na kanzu zenu huwa ni quality sana na vilemba. Hivyo msiache kutusogezea na makobazi. Allah atawabarikia sana.
Jaribu kuwa na mapenzi ya kusoma shule, usome ili uelimike uje kuwa mtu kati ya watu. Hizi dini za watu zisizokuhusu zinakusaidia nini wewe na watanzania wenzako wasiojitambua? Hatutaki misikiti hapa Tanzania wala madrasa, tunataka shule za maana na hospitali.
 
Unataka tuwe kama Somalia eti? Unataka wakristo wavamiwe makanisani wachinjwe eti?
Wapuuzi hawa, wanataka nchi iwe ya kijinga, wananchi wasielimike waendelee kukariri upuuzi tu huku CCM ikiendelea kuliibia taifa. Angalia nchi za Afrika Magharibi zinazoendekeza Uislam, zimetawaliwa na wajinga pamoja na magaidi.
 
Huu ndo wito wangu kwa nchi za Kiarabu. Watusaidie sisi waumini wao na ndugu zao kutujengea Misikiti Mikubwa kila Wilaya na Tarafa.

Pia watujengee na Madrasa nyingi za kutosha tuwafundishe watoto kushika Dini yao. Kila baada ya angalau kilometre 2 kuwe na Msikiti na Madrasa. Hii itasaidia sana kueneza Dini yetu.

Kama hawatajali pia wakati wa Ramadhani washirikiane na Serikali jamani tupate tende bure au kwa kuchangia kidogo. Tende ni nzuri jamani huwa zinatusaidia sana hasa wakati wa mfungo. Na maziwa ya Ngamia. Wallah hapo itakuwa Sunna nzuri kwetu na ibada pia.

Saidieni nanyi mtabarkiwa sana sisi mahitaji yetu makubwa ni hayo tu. Tende, Misikiti, Madrasa,maziwa ya ngamia na kama hamtajali na kanzu zenu huwa ni quality sana na vilemba. Hivyo msiache kutusogezea na makobazi. Allah atawabarikia sana.

Sijui nyie mbona sisi wakatoliki tunajenga wenyewe! Misaada ni mahospitali na shule
 
Huu ndo wito wangu kwa nchi za Kiarabu. Watusaidie sisi waumini wao na ndugu zao kutujengea Misikiti Mikubwa kila Wilaya na Tarafa.

Pia watujengee na Madrasa nyingi za kutosha tuwafundishe watoto kushika Dini yao. Kila baada ya angalau kilometre 2 kuwe na Msikiti na Madrasa. Hii itasaidia sana kueneza Dini yetu.

Kama hawatajali pia wakati wa Ramadhani washirikiane na Serikali jamani tupate tende bure au kwa kuchangia kidogo. Tende ni nzuri jamani huwa zinatusaidia sana hasa wakati wa mfungo. Na maziwa ya Ngamia. Wallah hapo itakuwa Sunna nzuri kwetu na ibada pia.

Saidieni nanyi mtabarkiwa sana sisi mahitaji yetu makubwa ni hayo tu. Tende, Misikiti, Madrasa,maziwa ya ngamia na kama hamtajali na kanzu zenu huwa ni quality sana na vilemba. Hivyo msiache kutusogezea na makobazi. Allah atawabarikia sana.
Mijitu mingine uzwazwa. Badala ya kujitegemea na kupangilia mambo ya muhimu eti misikiti!! Halafu ikiachwa nyuma kielimu inalalamika inabaguliwa mara udini wakati ni uzwazwa. Kwanini si hospitali na vyuo vya veta na badala yake mtujazie misikiti? Ingekuwa amri yangu makanisa na misikiti yote ningevitoza kodi ili kuondoa uvivu na utapeli wa kijinga. Eti ndugu na zao na waumini wao. Akili au matope mwanangu. Kwa wanaohitaji misikiti si waende huko huko Arabuni wakione cha moto.
 
Huu ndo wito wangu kwa nchi za Kiarabu. Watusaidie sisi waumini wao na ndugu zao kutujengea Misikiti Mikubwa kila Wilaya na Tarafa.

Pia watujengee na Madrasa nyingi za kutosha tuwafundishe watoto kushika Dini yao. Kila baada ya angalau kilometre 2 kuwe na Msikiti na Madrasa. Hii itasaidia sana kueneza Dini yetu.

Kama hawatajali pia wakati wa Ramadhani washirikiane na Serikali jamani tupate tende bure au kwa kuchangia kidogo. Tende ni nzuri jamani huwa zinatusaidia sana hasa wakati wa mfungo. Na maziwa ya Ngamia. Wallah hapo itakuwa Sunna nzuri kwetu na ibada pia.

Saidieni nanyi mtabarkiwa sana sisi mahitaji yetu makubwa ni hayo tu. Tende, Misikiti, Madrasa,maziwa ya ngamia na kama hamtajali na kanzu zenu huwa ni quality sana na vilemba. Hivyo msiache kutusogezea na makobazi. Allah atawabarikia sana.
Ukisikia ujinga wa kujitakia ndiyo huu, yaani wewe miaka yote hii toka ukuwe mpaka hapa ulipofika huoni kuwa Misikiti na madrasa ndiyo iliyokulostisha? Unaacha kuwaza maendeleo na vitu vya maana eti unafikiria misikiti na madrasa, vitakusaidia nini maishani mwako?
 
Ukisikia ujinga wa kujitakia ndiyo huu, yaani wewe miaka yote hii toka ukuwe mpaka hapa ulipofika huoni kuwa Misikiti na madrasa ndiyo iliyokulostisha? Unaacha kuwaza maendeleo na vitu vya maana eti unafikiria misikiti na madrasa, vitakusaidia nini maishani mwako?
Waambie waelewe.
 
Watu wote tuna matatizo ya akili, ni suala la muda tuu Ila kwa Waislamu ni kama vile matatizo yao ya akili yamefikia point of no return
 
Huu ndo wito wangu kwa nchi za Kiarabu. Watusaidie sisi waumini wao na ndugu zao kutujengea Misikiti Mikubwa kila Wilaya na Tarafa.

Pia watujengee na Madrasa nyingi za kutosha tuwafundishe watoto kushika Dini yao. Kila baada ya angalau kilometre 2 kuwe na Msikiti na Madrasa. Hii itasaidia sana kueneza Dini yetu.

Kama hawatajali pia wakati wa Ramadhani washirikiane na Serikali jamani tupate tende bure au kwa kuchangia kidogo. Tende ni nzuri jamani huwa zinatusaidia sana hasa wakati wa mfungo. Na maziwa ya Ngamia. Wallah hapo itakuwa Sunna nzuri kwetu na ibada pia.

Saidieni nanyi mtabarkiwa sana sisi mahitaji yetu makubwa ni hayo tu. Tende, Misikiti, Madrasa,maziwa ya ngamia na kama hamtajali na kanzu zenu huwa ni quality sana na vilemba. Hivyo msiache kutusogezea na makobazi. Allah atawabarikia sana.
Mkuu kwanini unatumia kilemba cha uislamu kusemea mahitaji wasiyokutuma hali ya kuwa wewe si muislamu. Au ndo mambo ya islamophobia...
 
Back
Top Bottom