Nchi za Afrika zinazoongozwa vizuri

Nchi za Afrika zinazoongozwa vizuri

Sisi tuna amani ila faida haipo unajua hatq kampuni ya mtu inatakiwa ilete.maendeleo.sio. kwenye kampuni bali hata kwa wafanyakazi so kwa ccm bado haijatatua shida za wananchi na wala haijaleta maendeleo hata kwa wanaccm wote ni baadhi tu kutokana na viwadhifa wanazozishika
 
Wewe ni mjinga kwa sababu unaropoka badala ya kutoa hoja.

Mnaochangia msiropoke, zingatieni vigezo vilivyotazamwa katika kupima good governance:

The cornerstone of effective governance globally lies in embracing principles such as transparency, accountability, inclusivity, and adherence to the rule of law.

Kwa vigezo hivyo, ndiyo unaweza kuelewa kwa nini Tanzania ambayo hata mahakama zake hazipo huru, haiwezi kuwa miongoni mwa nchi zinazoongozwa vyema. Kukosekana kwa uhuru wa mahakama kwa Tanzania, ni jambo dhahiri, ndiyo maana hakuna mwekezaji yeyote mkubwa ambaye yupo Tanzania aliwahi kukubali mgogoro wowote baina yake na Serikali utatuliwe na mahakama za Tanzania.

Hata Rostam aliwahi kueleza kuwa hakuna mwekezaji anayeweza kukubali kuwa mgogoro uamliwe na mahakama za Tanzania, mahakama ambazo wakuu wa Serikali hutoa maelekezo kwa majaji kabla ya hukumu.
hayo ni maoni, mtazamo na gubu zako dhidi ya mihimili ya dola ya Tz 🐒

but the fact is,
Tz ni kisiwa cha Amani kwasabb independent organs of the state and other public institutions are free to discharge their functions, duties and responsibilities without intimidations, pressure or interference from an individual personal, internal or external group of people. They are performing their duties arconding to the law🐒

na kwahivyo, utawala wa sheria, utawala bora, uhuru, haki, usawa, uwazi na uwajibikaji vinazingatiwa mno na sarikali ya Tanzania huenda kuliko nchi yoyote barani Africa 🐒
 
Sisi tuna amani ila faida haipo unajua hatq kampuni ya mtu inatakiwa ilete.maendeleo.sio. kwenye kampuni bali hata kwa wafanyakazi so kwa ccm bado haijatatua shida za wananchi na wala haijaleta maendeleo hata kwa wanaccm wote ni baadhi tu kutokana na viwadhifa wanazozishika

Michango ya baadhi ya watu inadhihirisha ufinyu wa fikra na uelewa. Mtu anasema tu kuwa eti Tanzaniaina better governance kuliko South Africa. Huyo si atakuwa kichaa?

Vigezo muhimu:

Transparency- hivi Tanzania inaizidi South Africa? Hawa wajinga hawajui kuwa Serikali ya Tanzania wakati wa utawala wa awamu ya 5, ilijiondoa kwenye Serikali zinazozingatia transparency Duniani.

Rule of Law - Tanzania inaizidi South Africa? Hawa wajinga hawajui kuwa mahakama ya South iliweza hata kumhukumu Rais wa nchi. Hilo linaweza kutokea Tanzania?

Na yawezekana huyo mjinga anayesema Tanzania inaizidi South, naye yupo kwenye uongozi. Mtu mjinga kama huyo ataisaidia nini nchi?
 
hayo ni maoni, mtazamo na gubu zako dhidi ya mihimili ya dola ya Tz

but the fact is,
Tz ni kisiwa cha Amani kwasabb independent organs of the state and other public institutions are free to discharge their functions, duties and responsibilities without intimidations, pressure or interference from an individual personal, internal or external group of people. They are performing their duties arconding to the law

na kwahivyo, utawala wa sheria, utawala bora, uhuru, haki, usawa, uwazi na uwajibikaji vinazingatiwa mno na sarikali ya Tanzania huenda kuliko nchi yoyote barani Africa

Report haizungumzii kisiwa cha amani wala mlima wa jehanamu. Inaongelea utawala mzuri. Ni vigezo vyake vikuu ni:

Uwazi wa serikali - Tanzania kwenye hilo ni zero score, kwa sababu serikali ilijiondoa.

Utawala wa sheria - Tanzania ni zero, ndiyo maana watawala wanaweza kuvunja katiba na sheria, na wasifanywe chochote.

Usawa mbele ya sheria - kwaTanzania, viongozi na waongozwa hawapo sawa mbele ya sheria, ndiyo maana kuna watu ambao hata wafanye uovu kiasi gani, hawawezi kushtakiwa. Na mahakama zetu pia hazipo huru.
 
Tanzania inaendeshwa vizuri kuliko South Africa...

Burkina Faso utalinganisha na Tanzania?

Kwamba Seychelles inaendeshwa vibaya kulinganisha na Burkina Faso na South Africa?

Another on-line trash list
Na wewe fanya research ulete matokeo hapa. Otherwise, hata kama una Nia njema, unaonekana ni mvivu wa kufikiri
 
Report haizungumzii kisiwa cha amani wala mlima wa jehanamu. Inaongelea utawala mzuri. Ni vigezo vyake vikuu ni:

Uwazi wa serikali - Tanzania kwenye hilo ni zero score, kwa sababu serikali ilijiondoa.

Utawala wa sheria - Tanzania ni zero, ndiyo maana watawala wanaweza kuvunja katiba na sheria, na wasifanywe chochote.

Usawa mbele ya sheria - kwaTanzania, viongozi na waongozwa hawapo sawa mbele ya sheria, ndiyo maana kuna watu ambao hata wafanye uovu kiasi gani, hawawezi kushtakiwa. Na mahakama zetu pia hazipo huru.
zero kwasabb umeshindwa vibaya kila uchaguzi 🐒

zero kwasabb umekataliwa na wanainchi na chama chako 🐒

zero kwasabb kila kesi mahakamani unashindwa 🤣

zero kwasabb mmekumbwa na unakata wa fedha wew na chama chako 🐒

zero kwasabb hamna sera, hoja, mipango wala mikakati inayokubalika kwa wanainchi 🐒

zero kwasabb hamuelewani wapinzani kwa wapinzani, hampendani, mnaoneana wivu huku CCM ikipeta kwa kishindo ktka kila uchaguzi 🐒
 
Michango ya baadhi ya watu inadhihirisha ufinyu wa fikra na uelewa. Mtu anasema tu kuwa eti Tanzaniaina better governance kuliko South Africa. Huyo si atakuwa kichaa?

Vigezo muhimu:

Transparency- hivi Tanzania inaizidi South Africa? Hawa wajinga hawajui kuwa Serikali ya Tanzania wakati wa utawala wa awamu ya 5, ilijiondoa kwenye Serikali zinazozingatia transparency Duniani.

Rule of Law - Tanzania inaizidi South Africa? Hawa wajinga hawajui kuwa mahakama ya South iliweza hata kumhukumu Rais wa nchi. Hilo linaweza kutokea Tanzania?

Na yawezekana huyo mjinga anayesema Tanzania inaizidi South, naye yupo kwenye uongozi. Mtu mjinga kama huyo ataisaidia nini nchi?
Ukiambiwa south kipesa wametuzidi ila amani hawajatuzidi, wala hawajatoka kwenye umaskini chama chao kikuu hawajawatoa kwenye umaskini nafuu tz kweli naakuapia
 
Report haizungumzii kisiwa cha amani wala mlima wa jehanamu. Inaongelea utawala mzuri. Ni vigezo vyake vikuu ni:

Uwazi wa serikali - Tanzania kwenye hilo ni zero score, kwa sababu serikali ilijiondoa.

Utawala wa sheria - Tanzania ni zero, ndiyo maana watawala wanaweza kuvunja katiba na sheria, na wasifanywe chochote.

Usawa mbele ya sheria - kwaTanzania, viongozi na waongozwa hawapo sawa mbele ya sheria, ndiyo maana kuna watu ambao hata wafanye uovu kiasi gani, hawawezi kushtakiwa. Na mahakama zetu pia hazipo huru.
Labda tukuulize swali moja tu, umewahi kuishi kwenye nchi yoyote hata kwa mwezi mmoja katika mojawapo ya nchi kwenye orodha uliyoileta hapa!?,.., Hizo takwimu za kupikwa watu wanaziona sehemu mbali mbali ila wanaziacha hukohuko kutokana na kukosa uhalisia. Umekazana na uhuru wa mahakama, hivi unajua South Africa ukiwa na ela unaua mtu kwa bunduki mchana kweupe na unashinda kesi!?.., Watanzania wangapi wameuawa na waliowaua wapo uraiani na bastola zao!?,kama huna taarifa sahihi kausha upewe data. Kwenye uongozi hakuna nyanja yoyote South Africa, Gambia, Burkina Faso na Senegal zitaizidi Tanzania. Ukiendelea kushupaza shingo unazidi kujionyesha umekazana na links na makaratasi ya mitandaoni, mtafute mtu aliyekaa kwenye hizo nchi atakuelewesha. South Africa ni highway, viwanda,train, madini, biashara na mzunguko wa pesa mkubwa. Basi , kwenye uongozi ni ZERO. Kuanzia police, mahakama, na wizara zote. Corruption iliyo SA ni ya kiwango cha juu sana. Johannesburg unaweza kuchukuliwa mabegi yako na Polisi wenyewe wakihisi kuna mali na wewe sio raia wa hapo. Nakupa mfano wa mwisho, mwaka 2018 walikuja watalii wastaafu SA kutoka Uholanzi watu kama ishirini, walikuwa na ratiba ya kukaa siku 10 kutalii, waliposhuka airport OR Tambo wakapokelewa na basi la kitalii na wenyeji wao, wakiwa kwenye foleni Johannesburg walisimamishwa na gari 3 za police VW na BMW, police wakaingia kwenye basi kumbe ni majambazi kwenye mavazi ya police. Hao watalii wazee wastaafu walipukutishwa kila kitu, simu, wallet na kadi zao za benki vyote waliachiwa mabegi tu yaliyokuwa kwenye kitela kidogo nyuma ya basi. Hao vibaka wakatokomea kusikojulikana. Hao watalii waliishia kurudi airport na kurudi kwao. Matukio ni mengi sana, nchi ya SA imeshindikanika, ila kama unaamini hizo data zako nakuacha tuendelee kuamini.
 
Ukiambiwa south kipesa wametuzidi ila amani hawajatuzidi, wala hawajatoka kwenye umaskini chama chao kikuu hawajawatoa kwenye umaskini nafuu tz kweli naakuapia
Huyu anasoma takwimu za mitandaoni anazibeba kichwani kama zilivyo. Nimegundua hata watu wengi walalamishi hapa nchini, hawajui wanayoyapitia wananchi wa nchi nyingine. Kuna nchi ikifika saa 2 usiku kama huna gari au chombo chochote Cha moto inabidi ukae ndani au mtaani kwako basi. Na nchi iliyoshindwa kuzuia uharifu tayari Ina uongozi mbovu automatically.
 
Huyu anasoma takwimu za mitandaoni anazibeba kichwani kama zilivyo. Nimegundua hata watu wengi walalamishi hapa nchini, hawajui wanayoyapitia wananchi wa nchi nyingine. Kuna nchi ikifika saa 2 usiku kama huna gari au chombo chochote Cha moto inabidi ukae ndani au mtaani kwako basi. Na nchi iliyoshindwa kuzuia uharifu tayari Ina uongozi mbovu automatically.
Eh kama kenya,south afrika,zimbawe,DRC kongo , somalia wewe jiendee utajua kuimba na singeli yake
 
Tanzania inaendeshwa vizuri kuliko South Africa...

Burkina Faso utalinganisha na Tanzania?

Kwamba Seychelles inaendeshwa vibaya kulinganisha na Burkina Faso na South Africa?

Another on-line trash list
Boss, support your arguments with data, this is how critical people do.
 
Mkiwa mnasoma vitu mahali vitafakari kwa kutumia akili zenu mkigundua ni takataka msivi copy na kuvi paste sehemu nyingine. Umewahi kuishi South Africa hata wiki moja tu!?,hiyo nchi imeoza kwenye kila nyanja. Wazungu wanaoangalia future ya vizazi vyao wanahama Kila siku, kule imebakia maendeleo ya vitu na miundo mbinu basi. Uhalifu upo juu sana, elimu imeshavurugwa. Corruption serikalini ipo kiwango cha SGR, maadili hakuna kabisa. Pamoja na madhaifu ya serikali yetu lakini huwezi kusema tumezidiwa na South Africa, Burkina Faso, Lesotho, Gambia... Never. Hapo wanaotuzidi kiuhalisia ni Botswana, Ghana na Namibia basi. Wengine hakuna lolote.
Weka data kuhusu uhuru wa mahakama za SA na Bongo, halafu tuone.
 
Shida nayoiona Tanzania ni uwajibikaji hafifu wa viongozi hasa wanaojihusisha na vitendo vya rushwa kwa sababu haiingii akilini mtu anatajwa kwenye report ya CAG kwamba amehujumu mali za umma lakini huwezi kumuona amechukuliwa hatua za kisheria hata tu kupelekewa summonce ya kwenda kuhojiwa police.Sasa hapo kuna nchi?
 
Kuna uwezekano mkubwa hizo nchi ziko targeted na mafisadi wa Dunia hii.

Haijalishi.

Yani kwamba kila kitu ni mpaka "Wazungu" au jopo la Wazungu liseme ndio niini nafanya vizuri, ni upunguani.



Haina maana yeyote ile
 
zero kwasabb umeshindwa vibaya kila uchaguzi

zero kwasabb umekataliwa na wanainchi na chama chako

zero kwasabb kila kesi mahakamani unashindwa

zero kwasabb mmekumbwa na unakata wa fedha wew na chama chako

zero kwasabb hamna sera, hoja, mipango wala mikakati inayokubalika kwa wanainchi

zero kwasabb hamuelewani wapinzani kwa wapinzani, hampendani, mnaoneana wivu huku CCM ikipeta kwa kishindo ktka kila uchaguzi

Tunajadiliana na baadhi ya watu ambao ni watupu kabisa vichwani!

Tanzania kwenye transparency ina zero score kwa sababu Serikali ya Tanzania, yenyewe ilijiondoa kwenye orodha ya nchi zenye serikali zinazozingatia transparency. Wewe unakuja na mambo ya uchaguzi. Report imeongelea uchaguzi?
 
Back
Top Bottom