jameson567
JF-Expert Member
- Mar 14, 2018
- 581
- 3,456
Nchi iliyoshindwa hata kudhibiti silaha ndo unasema ina uongozi mzuri kuliko Tanzania!?, unajua South Africa unaweza ukasimamishwa na gari ya Polisi kumbe ni wakabaji wana gari la Polisi na uniform!?.., wewe ndo mtupu ila hujui kama ni mtupu.Wewe ni mtupu sana. Umewekewa na link ambayo hata kama una akili ndogo ungeweza kusoma na kuelewa vigezo vilivyotumika. Hawa watafiti hawakurupuki kama unavyofanya wewe, kuropoka tu kuwa Tanzania inaongozwa vizuri kuliko South Afrika.

