Nchi yangu imekuwa ya Ajabu

Nchi yangu imekuwa ya Ajabu

Watu wamekuwa wa kitekwa toka enzi ya ukoloni,kilichotokea sasahivi ni wimbi la watu kujiteka kutaka umaarufu wa kisiasa.Mbali na hapo kuna vijana walipewa mafunzo ya kigaidi wakijiita red brigade hawa nao wana wateka mabosi wao wa zamani kwakuwa hawakulipwa chochote.
Mpaka mnashindwa kujenga hoja za kujitetea wauwaji wakubwa,mmebaki kuharisha toka jikoni mpaka sebuleni.
 
Watu wamekuwa wa kitekwa toka enzi ya ukoloni,kilichotokea sasahivi ni wimbi la watu kujiteka kutaka umaarufu wa kisiasa.Mbali na hapo kuna vijana walipewa mafunzo ya kigaidi wakijiita red brigade hawa nao wana wateka mabosi wao wa zamani kwakuwa hawakulipwa chochote.
Mkiitwa wapuuzi mnaona mmetukanwa, sasa mtu mwenye akili timamu anaweza kuandika hivi?
 
mmhp
Watu wamekuwa wa kitekwa toka enzi ya ukoloni,kilichotokea sasahivi ni wimbi la watu kujiteka kutaka umaarufu wa kisiasa.Mbali na hapo kuna vijana walipewa mafunzo ya kigaidi wakijiita red brigade hawa nao wana wateka mabosi wao wa zamani kwakuwa hawakulipwa chochote.
 
Bila shaka Kama watu waliofariki wanaweza kuona yanayoendelea Duniani na wakaumizwa au wakafurahia Basi Nina hakika Mwl Nyerere anapita katika maumivu ya ajabu kuliko ugonjwa uliomtoa duniani!

Taifa ambalo aliliacha likiwa na sifa ya utulivu na ustaarabu limekuwa ni Taifa la ajabu Kabisa, imekuwa ni sehemu ya kutekana bila aibu, matukio yanajirudia huku vyombo vya dola vikiishia kutoa sababu za nyepesi kwamba wanakiteka wenyewe. Taifa ambalo Sasa watu wote wanaishi kwa hofu kubwa si wananchi wa kawaida, watumishi wa Serikali, maskini kwa matajiri wanahisi wako kwenye nchi iliyokuwa ya Idi Amini.

Leo wako watu wanaweza kusema wanachotaka hata Kama ni Cha hovyo lakini vyombo vya dola ni Kama haviwasikii, lakini masikio yao yanasikiliza vilio vya wenye haki na hao ndio wanachukuliwa hatua kwa kuusema ukweli!!

Vyombo vya Serikali vinafanya dhuruma mchana kweupe bila aibu!! Msajili wa vyama Sasa ni wazi bila kificho anafanya kazi ya CCM, tume ya uchaguzi ni Kama wanaandaa makaburi ya kuwazikia Watanzania. Wenye hekima hawasemi!!

Waliokuwa wakijinasibu kuwa wanafahamu farsafa za Mwalimu wamezigeuka hekima za Mwalimu, sasa bila aibu wanatumikia matumbo yao kwa hofu zao. Hatukuzoeshwa uhuni huu, Sasa inatugharimu!
Awamu ya tano, awamu ya hovyo.
 
Haha man una weak point. Allegation zako zimekaa kisiasa zaid uliko actual facts. Yes watu walikuwa wakitekwa enzi za ukoloni.. but si kwa speed na sababu hizi ambazo wazi ni za kisiasa.
Kwa sasawatekaj wamekuwa huru sana.. na wako sponsered na chombo flan cha serikal.. ndio maana mpaka sasa hajakamatwa hata mmoja. Why ? Sababu serikali ina. mkono mrefu sana na naviamini vyombo vya usalama. Kama wangekuwa ni watu wa upande mwingine ndio wanafanya mambo haya.. nina uhakika wangekuwa wameshakamatwa.



Usihangaike hata kumjibu mtu km huyo uwezo wake wa kufikiri ni mdooogoooo km jicho la samaki
 
Taifa star imefungwa viongozi wakubwa kabisa wanakwambia ni lishe duni na maumbile madogo wakati hata mtoto mdogo ukimuuliza atakwambia ni ukosefu wa academy kwa watoto wetu, mbona misri, Brazil n.k. maumbile yao ni ya kawaida lakini wanafanya vizuri
Wacha bana, wachezaji wetu wa taifa stars wamegeuka vibamia mara hii?Hatari sana
 
Watu wamekuwa wa kitekwa toka enzi ya ukoloni,kilichotokea sasahivi ni wimbi la watu kujiteka kutaka umaarufu wa kisiasa.Mbali na hapo kuna vijana walipewa mafunzo ya kigaidi wakijiita red brigade hawa nao wana wateka mabosi wao wa zamani kwakuwa hawakulipwa chochote.
Wewe paka shume4jitokeze mitaani uliwe nyama na nduguze Ben saa8. Azory, na kina kanguye
 
Back
Top Bottom