Nchi ya Uturuki (Turkey)

Nchi ya Uturuki (Turkey)

Nimeishi huko takribani mwaka mmoja ni sehemu nzuri mno.....changamoto ni pale utakapokutana na watu wasiojua kiingereza .itabidi ujifunze lugha yao. Safari njema mkuu
shukrani mkuu jau jau.
 
Dah!kweli asee mkuu unanipa upeo mpana kuhusu life la turkey...so teaching language ni turkish? and itachukua mda gani kwa mtu mwenye uelewa mpana kujua turkish? Likizo kwa ajili ya kurudi nyumbani zipoje?
language inategemea na chuo utakachoomba. kama ni scholarsbip then chuo utakachopangiwa. kuna lugha almost zote kubwa kutegemea na chuo. infact ukikaa miezi 3-6 unaweza ku communicate na watu bila shida japo hautakuwa fluent. ila baada ya miezi 6 unakuwa comfortable zaidi. ila uipende lugha yenyewe na uwe tyr kutaka kujifunza. wapo watu wanaishi kule miaka kibao bado language yao mbovu. kurudi home ni ww tu maana kama ni mwanafunzi chuo kinafungwa June hadi October katikati au mwishoni. kuna ndege ya direct from Istanbul mpaka Dar au la unaweza kukata Ethiopian airlines ambayo ni cheap ila ina vituo vingi sana. ila likizo pia unaweza kuomba kufanya kazi States ambapo kuna Visa unapewa ni spesho kwa ajili ya kwenda kufanya kazi tu na ni kwa ajili ya wanafunzi tu.
 
Yap!Dadangu kuna ka fursa nataka nikachangamkie huko
Hongera.
Kama uko mkoani, ukija Dar ili kujiandaa kwenda na huna ndugu, karibu ufikie kwangu huku ukiendelea na utaratibu.
ila kama uko Dar tayari....nakutakia kila la kheri na safari njema.
 
language inategemea na chuo utakachoomba. kama ni scholarsbip then chuo utakachopangiwa. kuna lugha almost zote kubwa kutegemea na chuo. infact ukikaa miezi 3-6 unaweza ku communicate na watu bila shida japo hautakuwa fluent. ila baada ya miezi 6 unakuwa comfortable zaidi. ila uipende lugha yenyewe na uwe tyr kutaka kujifunza. wapo watu wanaishi kule miaka kibao bado language yao mbovu. kurudi home ni ww tu maana kama ni mwanafunzi chuo kinafungwa June hadi October katikati au mwishoni. kuna ndege ya direct from Istanbul mpaka Dar au la unaweza kukata Ethiopian airlines ambayo ni cheap ila ina vituo vingi sana. ila likizo pia unaweza kuomba kufanya kazi States ambapo kuna Visa unapewa ni spesho kwa ajili ya kwenda kufanya kazi tu na ni kwa ajili ya wanafunzi tu.
shukrani sana mkuu!
 
Hongera.
Kama uko mkoani, ukija Dar ili kujiandaa kwenda na huna ndugu, karibu ufikie kwangu huku ukiendelea na utaratibu.
ila kama uko Dar tayari....nakutakia kila la kheri na safari njema.
Usijali nitafikia hapo.
 
mimi nimeishi Uturuki miaka almost 6 nimesoma chuo kinaitwa University of Instanbul. infact kwa Elimu wanajaitahidi sana ila kwa maisha pako very tight. kupata kazi za vibarua kama UK au States ni almost impossible njia rahisi ni uwe mmachinga. nchi ipo so crowded, Istanbul alone ina watu zaidi ya 20 milion. na hii inaifanya ajira kuwa ngumu kidogo. upande wa chakula wapo vzr wana aina nyingi sana za vyakula na wanajua haswa kupika. ubaguzi upo kiasi especially pembezoni mwa miji. kuna mabinti wazuri sana na wanapenda sana wanaume weusi ahida kaka zao wanakuwaga na wivu sana kwenye hili unaweza kupigwa. upande wa maisha yapo expensive kidogo kupangisha aprtment inabidi ujiweze sisi tulikuwa tunaishi wanne nyumba moja ila ofcourse tulikuwa wanafunzi. gharama za simu zipo juu nadhani ndio inaongoza dunia nzima. ukiwa mwanafunzi lakini unapeta kuna ofa kibao za mitandao yote. upande wa transportation kuna ferry boat inayotoka European side kwenda Asian side, kuna mabasi kama haya ya mwendokasi kule wanaita Metrobus, kuna Tram ambayo ni nzuri sana kuna mabasi ya kawaida na Metro ya underground. mavazi ni moja ya eneo ambalo wapo vzr sana wana nguo kali na bei ya chini. Industry hiyo kule nahisi ni one of the best in the World. vivutio vya utalii ni vingi kuna maeneo ambayo yametajwa kwenye Quran na Bible ya zama hizo. In general naiweka katika nchi ambazo unatakiwa utembelee kabla hujafa. Its a really interesting Country. Hope nimetoa information ulizokuwa unazihitaji. kama kuna la ziada utaniuliza.
Sasa unashaurije kwa msagalami kama huyu anayetaka kwenda kutafuta maisha,aende?
Na je huo umachinga unatakiwa uwe na vibali gani?
 
language inategemea na chuo utakachoomba. kama ni scholarsbip then chuo utakachopangiwa. kuna lugha almost zote kubwa kutegemea na chuo. infact ukikaa miezi 3-6 unaweza ku communicate na watu bila shida japo hautakuwa fluent. ila baada ya miezi 6 unakuwa comfortable zaidi. ila uipende lugha yenyewe na uwe tyr kutaka kujifunza. wapo watu wanaishi kule miaka kibao bado language yao mbovu. kurudi home ni ww tu maana kama ni mwanafunzi chuo kinafungwa June hadi October katikati au mwishoni. kuna ndege ya direct from Istanbul mpaka Dar au la unaweza kukata Ethiopian airlines ambayo ni cheap ila ina vituo vingi sana. ila likizo pia unaweza kuomba kufanya kazi States ambapo kuna Visa unapewa ni spesho kwa ajili ya kwenda kufanya kazi tu na ni kwa ajili ya wanafunzi tu.
Mkuu nataka nikawe chinga huko utaratibu upo vipi,gharama za usafiri kutoka huku sitimbi(dar) mpaka huko mjini mwema(Turkey), na vitu gani ziada ni nahitaji kuwa navyo??
 
Sasa unashaurije kwa msagalami kama huyu anayetaka kwenda kutafuta maisha,aende?
Na je huo umachinga unatakiwa uwe na vibali gani?
kwenda kutafuta maisha mhh siwezi kukushauri labda kama unapita njia ili uende kwingineko. vibali inategemea na Visa utayaoomba nadhani maelezo mazuri utapewa ubalozini.
 
Mkuu nataka nikawe chinga huko utaratibu upo vipi,gharama za usafiri kutoka huku sitimbi(dar) mpaka huko mjini mwema(Turkey), na vitu gani ziada ni nahitaji kuwa navyo??
ni vema kabla haujaenda ufanye upembuzi yakinifu wa kutosha ili usije kujuta. mm binafsi sishauri sana japo wabongo wapo wengi na wanaishi vzr. kila mtu ana siri yake katika mafanikio ila kuwa mmachinga kule naona kama ni shida kidogo. unavyohitajika kuwa navyo inategemea na aina ya Visa utakayoomba so ubalozini ndio watakupa maelezo mazuri zaidi..
 
yah.. nilikuwa under full scholarship. chuo nilichosoma kilikuwa ni 100% Turkish na ni cha Serikali. vipo vinavyofundisha kwa English, French na German. maisha ya wanafunzi kama utaishi Hostel ni very cheap na ni vema zaidi itasaidia kuijua lugha yao faster. pia vyuo vyote vina canteen ambayo msosi ni bei nafuu sana kuliko kula restaurant ya mtaani. hata kwenye transportation mwanafunzi analipa nauli nusu. na ukilipa nauli ya basi unaweza pia kutumia nauli hiyo hiyo ndani ya 1 hr kupanda kama ni metro au tram au hata ferryboat bila extra charges. na usafiri unafuata muda sana kama muda umefika hata kama abiria ni mmoja gari linatembea. ila hali ya hewa ndio changamoto lazima ukumbuke nyumbani. ikifika winter ni baridi ya kutisha barafu kila kona mpaka shule zinafungwa na kipindi hicho jua linazama saa 9 mchana. na ikifika summer ni joto Dar haioni ndani na jua linazama saa 2 usiku. kama kuna swali la ziada karibu
mkuu ulisoma undergraduate huko au?
 
mimi nimeishi Uturuki miaka almost 6 nimesoma chuo kinaitwa University of Instanbul. infact kwa Elimu wanajaitahidi sana ila kwa maisha pako very tight. kupata kazi za vibarua kama UK au States ni almost impossible njia rahisi ni uwe mmachinga. nchi ipo so crowded, Istanbul alone ina watu zaidi ya 20 milion. na hii inaifanya ajira kuwa ngumu kidogo. upande wa chakula wapo vzr wana aina nyingi sana za vyakula na wanajua haswa kupika. ubaguzi upo kiasi especially pembezoni mwa miji. kuna mabinti wazuri sana na wanapenda sana wanaume weusi ahida kaka zao wanakuwaga na wivu sana kwenye hili unaweza kupigwa. upande wa maisha yapo expensive kidogo kupangisha aprtment inabidi ujiweze sisi tulikuwa tunaishi wanne nyumba moja ila ofcourse tulikuwa wanafunzi. gharama za simu zipo juu nadhani ndio inaongoza dunia nzima. ukiwa mwanafunzi lakini unapeta kuna ofa kibao za mitandao yote. upande wa transportation kuna ferry boat inayotoka European side kwenda Asian side, kuna mabasi kama haya ya mwendokasi kule wanaita Metrobus, kuna Tram ambayo ni nzuri sana kuna mabasi ya kawaida na Metro ya underground. mavazi ni moja ya eneo ambalo wapo vzr sana wana nguo kali na bei ya chini. Industry hiyo kule nahisi ni one of the best in the World. vivutio vya utalii ni vingi kuna maeneo ambayo yametajwa kwenye Quran na Bible ya zama hizo. In general naiweka katika nchi ambazo unatakiwa utembelee kabla hujafa. Its a really interesting Country. Hope nimetoa information ulizokuwa unazihitaji. kama kuna la ziada utaniuliza.
Mkuu umesahau kule ni kawaida kuona familia nzima wanavuta sigara baba mama hadi watoto wa kike. Nakumbuka mwaka fulani nilikuwa Ankara kwenye bustani moja, Bwana na Bi harusi walipomaliza kupiga picha kila mtu akawasha fegi yake wakiwa katika mavazi ya harusi !
 
mimi nimeishi Uturuki miaka almost 6 nimesoma chuo kinaitwa University of Instanbul. infact kwa Elimu wanajaitahidi sana ila kwa maisha pako very tight. kupata kazi za vibarua kama UK au States ni almost impossible njia rahisi ni uwe mmachinga. nchi ipo so crowded, Istanbul alone ina watu zaidi ya 20 milion. na hii inaifanya ajira kuwa ngumu kidogo. upande wa chakula wapo vzr wana aina nyingi sana za vyakula na wanajua haswa kupika. ubaguzi upo kiasi especially pembezoni mwa miji. kuna mabinti wazuri sana na wanapenda sana wanaume weusi ahida kaka zao wanakuwaga na wivu sana kwenye hili unaweza kupigwa. upande wa maisha yapo expensive kidogo kupangisha aprtment inabidi ujiweze sisi tulikuwa tunaishi wanne nyumba moja ila ofcourse tulikuwa wanafunzi. gharama za simu zipo juu nadhani ndio inaongoza dunia nzima. ukiwa mwanafunzi lakini unapeta kuna ofa kibao za mitandao yote. upande wa transportation kuna ferry boat inayotoka European side kwenda Asian side, kuna mabasi kama haya ya mwendokasi kule wanaita Metrobus, kuna Tram ambayo ni nzuri sana kuna mabasi ya kawaida na Metro ya underground. mavazi ni moja ya eneo ambalo wapo vzr sana wana nguo kali na bei ya chini. Industry hiyo kule nahisi ni one of the best in the World. vivutio vya utalii ni vingi kuna maeneo ambayo yametajwa kwenye Quran na Bible ya zama hizo. In general naiweka katika nchi ambazo unatakiwa utembelee kabla hujafa. Its a really interesting Country. Hope nimetoa information ulizokuwa unazihitaji. kama kuna la ziada utaniuliza.
mkuu ulishagegeda madem wangap hapo kwa Mr tayep edorgan
 
Back
Top Bottom