Nchi ya Uturuki (Turkey)

Nchi ya Uturuki (Turkey)

martial arts

Senior Member
Joined
Jun 26, 2014
Posts
191
Reaction score
100
Habari wana jf!Ni matumaini yangu mu wazima wa afya.Kama title inavyojieleza hapo juu,ningependa kupata ufafanuzi au data kuhusu nchi hiyo ya UTURUKI kuanzia MAISHA,ELIMU,CHAKULA,na maswala mengine yote.Kwa yeyote mwenye nondo za kutosha anaweza kunishushia hapa!Natanguliza shukarani zangu.
e544a43d35506fd999b74e614871d870.jpg
 
Habari wana jf!Ni matumaini yangu mu wazima wa afya.Kama title inavyojieleza hapo juu,ningependa kupata ufafanuzi au data kuhusu nchi hiyo ya UTURUKI kuanzia MAISHA,ELIMU,CHAKULA,na maswala mengine yote.Kwa yeyote mwenye nondo za kutosha anaweza kunishushia hapa!Natanguliza shukarani zangu.
e544a43d35506fd999b74e614871d870.jpg
uturuki nimekaa kwa muda kidogo,instambul ni mji mzuri sana hasa barabara zqke na juu na chini,nilikuwa nanunua mahitaji yangu beyazit grand bazaar na chakula chao ni kizuri mno hasa nyama,machinga wa kisenegali na kiganda wapo mabarabarani wanauza kila kitu,mademu wanaojiuza wapo,baa za kila aina zipo,kuna wakati nilienda kwenye baa ya kiganda maeneo ya taksim,tulicheza mziki sana,kuna sehemu inaitwa mahmoud pashaa ndio kariakoo yao
 
uturuki nimekaa kwa muda kidogo,instambul ni mji mzuri sana hasa barabara zqke na juu na chini,nilikuwa nanunua mahitaji yangu beyazit grand bazaar na chakula chao ni kizuri mno hasa nyama,machinga wa kisenegali na kiganda wapo mabarabarani wanauza kila kitu,mademu wanaojiuza wapo,baa za kila aina zipo,kuna wakati nilienda kwenye baa ya kiganda maeneo ya taksim,tulicheza mziki sana,kuna sehemu inaitwa mahmoud pashaa ndio kariakoo yao
Unafikiri maelezo yako yatamsaidia?
 
mimi nimeishi Uturuki miaka almost 6 nimesoma chuo kinaitwa University of Instanbul. infact kwa Elimu wanajaitahidi sana ila kwa maisha pako very tight. kupata kazi za vibarua kama UK au States ni almost impossible njia rahisi ni uwe mmachinga. nchi ipo so crowded, Istanbul alone ina watu zaidi ya 20 milion. na hii inaifanya ajira kuwa ngumu kidogo. upande wa chakula wapo vzr wana aina nyingi sana za vyakula na wanajua haswa kupika. ubaguzi upo kiasi especially pembezoni mwa miji. kuna mabinti wazuri sana na wanapenda sana wanaume weusi ahida kaka zao wanakuwaga na wivu sana kwenye hili unaweza kupigwa. upande wa maisha yapo expensive kidogo kupangisha aprtment inabidi ujiweze sisi tulikuwa tunaishi wanne nyumba moja ila ofcourse tulikuwa wanafunzi. gharama za simu zipo juu nadhani ndio inaongoza dunia nzima. ukiwa mwanafunzi lakini unapeta kuna ofa kibao za mitandao yote. upande wa transportation kuna ferry boat inayotoka European side kwenda Asian side, kuna mabasi kama haya ya mwendokasi kule wanaita Metrobus, kuna Tram ambayo ni nzuri sana kuna mabasi ya kawaida na Metro ya underground. mavazi ni moja ya eneo ambalo wapo vzr sana wana nguo kali na bei ya chini. Industry hiyo kule nahisi ni one of the best in the World. vivutio vya utalii ni vingi kuna maeneo ambayo yametajwa kwenye Quran na Bible ya zama hizo. In general naiweka katika nchi ambazo unatakiwa utembelee kabla hujafa. Its a really interesting Country. Hope nimetoa information ulizokuwa unazihitaji. kama kuna la ziada utaniuliza.
 
uturuki nimekaa kwa muda kidogo,instambul ni mji mzuri sana hasa barabara zqke na juu na chini,nilikuwa nanunua mahitaji yangu beyazit grand bazaar na chakula chao ni kizuri mno hasa nyama,machinga wa kisenegali na kiganda wapo mabarabarani wanauza kila kitu,mademu wanaojiuza wapo,baa za kila aina zipo,kuna wakati nilienda kwenye baa ya kiganda maeneo ya taksim,tulicheza mziki sana,kuna sehemu inaitwa mahmoud pashaa ndio kariakoo yao
Shukrani Mkuu!
 
mimi nimeishi Uturuki miaka almost 6 nimesoma chuo kinaitwa University of Instanbul. infact kwa Elimu wanajaitahidi sana ila kwa maisha pako very tight. kupata kazi za vibarua kama UK au States ni almost impossible njia rahisi ni uwe mmachinga. nchi ipo so crowded, Istanbul alone ina watu zaidi ya 20 milion. na hii inaifanya ajira kuwa ngumu kidogo. upande wa chakula wapo vzr wana aina nyingi sana za vyakula na wanajua haswa kupika. ubaguzi upo kiasi especially pembezoni mwa miji. kuna mabinti wazuri sana na wanapenda sana wanaume weusi ahida kaka zao wanakuwaga na wivu sana kwenye hili unaweza kupigwa. upande wa maisha yapo expensive kidogo kupangisha aprtment inabidi ujiweze sisi tulikuwa tunaishi wanne nyumba moja ila ofcourse tulikuwa wanafunzi. gharama za simu zipo juu nadhani ndio inaongoza dunia nzima. ukiwa mwanafunzi lakini unapeta kuna ofa kibao za mitandao yote. upande wa transportation kuna ferry boat inayotoka European side kwenda Asian side, kuna mabasi kama haya ya mwendokasi kule wanaita Metrobus, kuna Tram ambayo ni nzuri sana kuna mabasi ya kawaida na Metro ya underground. mavazi ni moja ya eneo ambalo wapo vzr sana wana nguo kali na bei ya chini. Industry hiyo kule nahisi ni one of the best in the World. vivutio vya utalii ni vingi kuna maeneo ambayo yametajwa kwenye Quran na Bible ya zama hizo. In general naiweka katika nchi ambazo unatakiwa utembelee kabla hujafa. Its a really interesting Country. Hope nimetoa information ulizokuwa unazihitaji. kama kuna la ziada utaniuliza.
Naam Mkuu hapa umenifungua macho kidogo.Ulikua ukisoma kwa full funded scholarship?
 
mimi nimeishi Uturuki miaka almost 6 nimesoma chuo kinaitwa University of Instanbul. infact kwa Elimu wanajaitahidi sana ila kwa maisha pako very tight. kupata kazi za vibarua kama UK au States ni almost impossible njia rahisi ni uwe mmachinga. nchi ipo so crowded, Istanbul alone ina watu zaidi ya 20 milion. na hii inaifanya ajira kuwa ngumu kidogo. upande wa chakula wapo vzr wana aina nyingi sana za vyakula na wanajua haswa kupika. ubaguzi upo kiasi especially pembezoni mwa miji. kuna mabinti wazuri sana na wanapenda sana wanaume weusi ahida kaka zao wanakuwaga na wivu sana kwenye hili unaweza kupigwa. upande wa maisha yapo expensive kidogo kupangisha aprtment inabidi ujiweze sisi tulikuwa tunaishi wanne nyumba moja ila ofcourse tulikuwa wanafunzi. gharama za simu zipo juu nadhani ndio inaongoza dunia nzima. ukiwa mwanafunzi lakini unapeta kuna ofa kibao za mitandao yote. upande wa transportation kuna ferry boat inayotoka European side kwenda Asian side, kuna mabasi kama haya ya mwendokasi kule wanaita Metrobus, kuna Tram ambayo ni nzuri sana kuna mabasi ya kawaida na Metro ya underground. mavazi ni moja ya eneo ambalo wapo vzr sana wana nguo kali na bei ya chini. Industry hiyo kule nahisi ni one of the best in the World. vivutio vya utalii ni vingi kuna maeneo ambayo yametajwa kwenye Quran na Bible ya zama hizo. In general naiweka katika nchi ambazo unatakiwa utembelee kabla hujafa. Its a really interesting Country. Hope nimetoa information ulizokuwa unazihitaji. kama kuna la ziada utaniuliza.
Vipi kuhusu lugha pamoja na maisha ya wanafunzi kiujumla?
 
Vipi kuhusu lugha pamoja na maisha ya wanafunzi kiujumla?
yah.. nilikuwa under full scholarship. chuo nilichosoma kilikuwa ni 100% Turkish na ni cha Serikali. vipo vinavyofundisha kwa English, French na German. maisha ya wanafunzi kama utaishi Hostel ni very cheap na ni vema zaidi itasaidia kuijua lugha yao faster. pia vyuo vyote vina canteen ambayo msosi ni bei nafuu sana kuliko kula restaurant ya mtaani. hata kwenye transportation mwanafunzi analipa nauli nusu. na ukilipa nauli ya basi unaweza pia kutumia nauli hiyo hiyo ndani ya 1 hr kupanda kama ni metro au tram au hata ferryboat bila extra charges. na usafiri unafuata muda sana kama muda umefika hata kama abiria ni mmoja gari linatembea. ila hali ya hewa ndio changamoto lazima ukumbuke nyumbani. ikifika winter ni baridi ya kutisha barafu kila kona mpaka shule zinafungwa na kipindi hicho jua linazama saa 9 mchana. na ikifika summer ni joto Dar haioni ndani na jua linazama saa 2 usiku. kama kuna swali la ziada karibu
 
Nimeishi huko takribani mwaka mmoja ni sehemu nzuri mno.....changamoto ni pale utakapokutana na watu wasiojua kiingereza .itabidi ujifunze lugha yao. Safari njema mkuu
 
yah.. nilikuwa under full scholarship. chuo nilichosoma kilikuwa ni 100% Turkish na ni cha Serikali. vipo vinavyofundisha kwa English, French na German. maisha ya wanafunzi kama utaishi Hostel ni very cheap na ni vema zaidi itasaidia kuijua lugha yao faster. pia vyuo vyote vina canteen ambayo msosi ni bei nafuu sana kuliko kula restaurant ya mtaani. hata kwenye transportation mwanafunzi analipa nauli nusu. na ukilipa nauli ya basi unaweza pia kutumia nauli hiyo hiyo ndani ya 1 hr kupanda kama ni metro au tram au hata ferryboat bila extra charges. na usafiri unafuata muda sana kama muda umefika hata kama abiria ni mmoja gari linatembea. ila hali ya hewa ndio changamoto lazima ukumbuke nyumbani. ikifika winter ni baridi ya kutisha barafu kila kona mpaka shule zinafungwa na kipindi hicho jua linazama saa 9 mchana. na ikifika summer ni joto Dar haioni ndani na jua linazama saa 2 usiku. kama kuna swali la ziada karibu
Dah!kweli asee mkuu unanipa upeo mpana kuhusu life la turkey...so teaching language ni turkish? and itachukua mda gani kwa mtu mwenye uelewa mpana kujua turkish? Likizo kwa ajili ya kurudi nyumbani zipoje?
 
Back
Top Bottom