Nchi ya Morocco imewa-prove wrong

Nchi ya Morocco imewa-prove wrong

mleta mada ni mpuuzi

watanzania tunatumia kiswahili na kingereza
wamorrocco wanatumia kiarabu na kifaransa
mfumo wa elimu morrocco ni copy and paste ya mfumo wa ufaransa

kama ishu ni lugha ya ughaibuni mbona morrocco wanayo ya ufaransa???
 
mleta mada ni mpuuzi

watanzania tunatumia kiswahili na kingereza
wamorrocco wanatumia kiarabu na kifaransa
mfumo wa elimu morrocco ni copy and paste ya mfumo wa ufaransa

kama ishu ni lugha ya ughaibuni mbona morrocco wanayo ya ufaransa???

Kwani wewe hii mada umeilewaje? Labda nikuulize hivyo kwanza!
 
China hayo masomo yote yanafundishwa kwa kichina na still wamepiga hatua kwenye hii inshu option zilikuwa mbili tu aidha kufundisha kwa kiingereza kuanzia vidudu mpk chuo kikuu au kutumia kiswahili kuanzia vidudu mpk chuo, nashukuru serikal imechagua moja maana ilikuwa mvurugano shule ya msingi miaka 7 unafundishwa kiswahili unaingia secondary unafundishwa kwa english.

Sijakataa mkuu, nataka kujua au una prove vipi kwamba maendeleo ya elimu yataletwa na kiswahili? Huoni kwamba tunazidi kujiweka mbali na ulimwengu.
 
Back
Top Bottom