Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,113
- 136,818
Watanzania hata Kiswahili hawajui.
Wanatafuta mchawi wakati tatizo lao uchafu.
Hata wakibadilisha mambo kwenda Kiswahili watajikuta hawakijui.
Then what?
Tubadilishe kwenda kwenye lugha za makabila?
Ndo hapo sasa.
Watu wengi wanadhani wanakijua Kiswahili wakati ujuzi wao ni mdogo sana.
Waweza mwambia mtu 'msalimie nyoko' ukaishia kununua ugomvi sababu ya ujinga wake.
Na ukimwambia mtu kuwa yeye ni 'mjinga' kuhusu jambo au kitu fulani mwenzako anaona umemtukana.
Uliza ni watu wangapi hata wana kamusi za Kiswahili-Kiswahili.....
Vyovyote vile sisi ni majanga tu na Kiingereza kisiwe kisingizio.