Hivi kuna haja gani ya Amani kama maisha yapo kama ya Tumbili.Nchi ambazo zimepigana vita mpaka majuzi,kimaendeleo zimeshatupiga bao.e.g Rwanda.Tena hadi ela yao ina thanani kuliko madafu yetu.Huku ni kulogwa,ccm walijisahau sana,ni kunenepesha vitambi vyao.Inabidi tuamke...