Nchi Sasa Imefilisika.

Nchi Sasa Imefilisika.

You need to be impartial yani usiwe unaegemea upande wowote...!Barbara ya Chalinze unafahamu pesa imetoka wapi...?je stahiki za watumishi ziko wapi yani malimbikizo ya mishahara na allowance zao....?je unafahamu hali ya uchumi wa nchi kwa sasa ukilinganisha na mwaka Jana........?je baa la njaa inayolinyemelea taifa kwa sasa serikali ikisema haina mpango kugawa chakula cha msaada....?au lands utakuwa umeamka usingizini.....?to be impartial is very dangerous utajikuta unaumiza hata ndugu zako pasipo wewe kujua.
Isitoshe Mkuu, hata wastaafu pia hela zao hawalipwi, vijana nao hawaajiriwi, mikopo shuleni hamna.
 
You need to be impartial yani usiwe unaegemea upande wowote...!Barbara ya Chalinze unafahamu pesa imetoka wapi...?je stahiki za watumishi ziko wapi yani malimbikizo ya mishahara na allowance zao....?je unafahamu hali ya uchumi wa nchi kwa sasa ukilinganisha na mwaka Jana........?je baa la njaa inayolinyemelea taifa kwa sasa serikali ikisema haina mpango kugawa chakula cha msaada....?au lands utakuwa umeamka usingizini.....?to be impartial is very dangerous utajikuta unaumiza hata ndugu zako pasipo wewe kujua.

Mkuu, hata kama hiyo pesa ya barabara ya Chalinze inatoka wapi, kwani anayenufaika ni nani si ni watanzania sisi jamani..!!
Stahiki za watumishi si zinalipwa kwa awamu baada kuhakiki kama ni AUTHENTIC. yaani wewe ulitaka pesa ilipwe tuu kiholela wakati hizi ni zama za wafanyakazi hewa.? yaani turudie makosa yale yale sio.?
Hiyo hali ya uchumi unayozungumza wewe ni ipi, wakati Waziri Mpango keshasema hali ya uchumi ni nzuri, au na wewe una wizara yako.? basi tuwekee hapa takwimu ya hali ya uchumi kwa mujibu wa ofisi yako.
Baa la njaa hilo ni janga la asili, au na lenyewe limesababishwa na serikali.?

Kukopa ni jambo la kawaida, unless hujui uchumi wa dunia unaendeshwa vipi. na ukiona tunakopa, ujue kama nchi bado tuna sifa ya kukopesheka.

Cha kuzingatia hapa ni kwamba, sisi ndio tunachagua nani atukopeshe, maana kuna wengine wapo tayari kutukopesha hata leo, ila hatutaki kwa sababu mikopo yao ina masharti magumu. mbona hivi ni vitu simpo kabisa na havihitaji kula ugali mgumu kuvielewa jamani, mnatumia nguvu nyingi mno kuilewa serikali ya JPM ndio maana mnalalamika kila siku, just be simpo dear brothers.
 
Mbona tunakwisha jamani, Ee Mungu Baba ingilia kati
 
Lizabon mpuuzi sana,utetea hata ujinga,wafanyakaz hawajaongezewa mshara wala kupandishwa daraja kwa kisingzio cha uhakiki na toka wazunguke tanzania nzma hawajaleta mrejesho kama wamekamilisha/malizau la zaid ya kutoa matamko,hv lizaboni hujapewa mpaka lei hata uras?
 
Mkuu, hata kama hiyo pesa ya barabara ya Chalinze inatoka wapi, kwani anayenufaika ni nani si ni watanzania sisi jamani..!!
Stahiki za watumishi si zinalipwa kwa awamu baada kuhakiki kama ni AUTHENTIC. yaani wewe ulitaka pesa ilipwe tuu kiholela wakati hizi ni zama za wafanyakazi hewa.? yaani turudie makosa yale yale sio.?
Hiyo hali ya uchumi unayozungumza wewe ni ipi, wakati Waziri Mpango keshasema hali ya uchumi ni nzuri, au na wewe una wizara yako.? basi tuwekee hapa takwimu ya hali ya uchumi kwa mujibu wa ofisi yako.
Baa la njaa hilo ni janga la asili, au na lenyewe limesababishwa na serikali.?

Kukopa ni jambo la kawaida, unless hujui uchumi wa dunia unaendeshwa vipi. na ukiona tunakopa, ujue kama nchi bado tuna sifa ya kukopesheka.

Cha kuzingatia hapa ni kwamba, sisi ndio tunachagua nani atukopeshe, maana kuna wengine wapo tayari kutukopesha hata leo, ila hatutaki kwa sababu mikopo yao ina masharti magumu. mbona hivi ni vitu simpo kabisa na havihitaji kula ugali mgumu kuvielewa jamani, mnatumia nguvu nyingi mno kuilewa serikali ya JPM ndio maana mnalalamika kila siku, just be simpo dear brothers.
Zile milion 50 za kila kijiji zipo wap? Mbona wanafunzi hawapewi mikopo?ajira, tuwe na jicho la tatu
 
Zile milion 50 za kila kijiji zipo wap? Mbona wanafunzi hawapewi mikopo?ajira, tuwe na jicho la tatu

ha ha haaa.! Tanzania kwa kweli kazi ipo. kama upeo wetu wa kufikiri ndio huu, bora JPM aongeze ubabe tukae sawa, nahisi anatudekeza sana ndio maana hata kufikiria kwetu ni tabu.

anyways, JPM ana miaka 5, ndo kwanza kabakiza mi 3 na miezi kama 10 hivi. wasiwasi wako nini, hizo mil 50 utapewa tuu, tulia mkuu.

Umewauliza wanafunzi waliopo vyuoni sa'hv wakakuambia hawana mkopo.? au unazungumzia wale waliokosa sifa.? mkopo anapewa mwenye sifa.

Ajira subiri utaajiriwa tuu kama una sifa na kama nafasi zipo. usitake kulazimisha mambo yafanyike kwa kufuata matamanio yako wakati wewe huna mamlaka.

Ndio maana ukawa hapo ulipo, na wengine wakawa huko walipo, tunagawana majukumu mkuu.
 
Hua nasikia et ukwel una tabia ya kujilipiza kisasi, ngoja nipuuzie contents za hii thread nione km utanirudia
 
Vip na ile misaada ya kagera
ha ha haaa.! Tanzania kwa kweli kazi ipo. kama upeo wetu wa kufikiri ndio huu, bora JPM aongeze ubabe tukae sawa, nahisi anatudekeza sana ndio maana hata kufikiria kwetu ni tabu.

anyways, JPM ana miaka 5, ndo kwanza kabakiza mi 3 na miezi kama 10 hivi. wasiwasi wako nini, hizo mil 50 utapewa tuu, tulia mkuu.

Umewauliza wanafunzi waliopo vyuoni sa'hv wakakuambia hawana mkopo.? au unazungumzia wale waliokosa sifa.? mkopo anapewa mwenye sifa.

Ajira subiri utaajiriwa tuu kama una sifa na kama nafasi zipo. usitake kulazimisha mambo yafanyike kwa kufuata matamanio yako wakati wewe huna mamlaka.

Ndio maana ukawa hapo ulipo, na wengine wakawa huko walipo, tunagawana majukumu mkuu.
mmepele
ha ha haaa.! Tanzania kwa kweli kazi ipo. kama upeo wetu wa kufikiri ndio huu, bora JPM aongeze ubabe tukae sawa, nahisi anatudekeza sana ndio maana hata kufikiria kwetu ni tabu.

anyways, JPM ana miaka 5, ndo kwanza kabakiza mi 3 na miezi kama 10 hivi. wasiwasi wako nini, hizo mil 50 utapewa tuu, tulia mkuu.

Umewauliza wanafunzi waliopo vyuoni sa'hv wakakuambia hawana mkopo.? au unazungumzia wale waliokosa sifa.? mkopo anapewa mwenye sifa.

Ajira subiri utaajiriwa tuu kama una sifa na kama nafasi zipo. usitake kulazimisha mambo yafanyike kwa kufuata matamanio yako wakati wewe huna mamlaka.

Ndio maana ukawa hapo ulipo, na wengine wakawa huko walipo, tunagawana majukumu mkuu.
Mmepeleka wap,
 
Ingia kwenye mtandao wa IMF labda unaweza kupata kitu. Sasa hivi nasikia Tanzania tumeingia kwenye window ya ADF baada ya ku graduate kutoka ADB. Pia kwa upande wa WB tumepanda kutoka IDA na kwenda IBRD. Maana yake ni kwamba tunaweza kukopesheka zaidi.
ADF=?
ADB=?
IDA=?
IBRD=?
 
Acha kulaghai watu serikali inamtafuta mwekezaji atakayejenga kwa hela zake then utumike utaratibu wa Build-Operate-Transfer (BOT). Mlijinasibu kujenga kwa hela zawananchi leo hii mmeshindwa, mmepiga U-turn. Oneni aibu basi hata mnapotaka kupindisha ukweli ulio wazi.

Haya mkuu, tumeshaona aibu tayari. yameisha sio.?
Vip na ile misaada ya kagera
mmepele
Mmepeleka wap,

Jamani, ifike sehemu basi na nyie muwe mnaona aibu, sasa kila siku mnauliza swali hilohilo tu jamani.? mnataka kukariri jibu kwa ajiri ya mtihani.? Mwl kawaambia mtaulizwa kwenye Civics au.? Hili swali limeshajibiwa zaidi ya mara 1000, jaribu kuangalia kwenye Vitabu vya Nyangwine, Pamphlets, Reviews zile za NECTA kote huko tumeshalijibu hili swali.

Ongezea na Clip ya juzi JPM alipohutubia kagera, kama ukifeli mtihani, basi we ni kilaza*1000
 
Lizabon mpuuzi sana,utetea hata ujinga,wafanyakaz hawajaongezewa mshara wala kupandishwa daraja kwa kisingzio cha uhakiki na toka wazunguke tanzania nzma hawajaleta mrejesho kama wamekamilisha/malizau la zaid ya kutoa matamko,hv lizaboni hujapewa mpaka lei hata uras?
Wazee wetu wanajifia kwa bp kiinua mgongo HAKUNA.
 
1. Barabara ya Dar Chalinze zabuni imetangazwa ili ujenzi uanze. Serikali imefilisika.
2. Serikali imeagiza ndege nne zaidi ambapo malipo ya awali ya ununuzi yameshalipwa. Serikali imefilisika
3. Watumishi wa umma wanalipwa mishahara kwa wakati. Serikali imefilisika
Ni kutojua tu ndo kunakufanya usijue maana ya kufilisika kwa Serikali. Kama unasubiria ishindwe kulipa mpaka mishahara ya watumishi ndo uamini! Ikifikia kushindwa kulipa watumishi wake ujue uhai wa Swrikali hiyo ni karibu ya kaburi lake.
 
Haya mkuu, tumeshaona aibu tayari. yameisha sio.?


Jamani, ifike sehemu basi na nyie muwe mnaona aibu, sasa kila siku mnauliza swali hilohilo tu jamani.? mnataka kukariri jibu kwa ajiri ya mtihani.? Mwl kawaambia mtaulizwa kwenye Civics au.? Hili swali limeshajibiwa zaidi ya mara 1000, jaribu kuangalia kwenye Vitabu vya Nyangwine, Pamphlets, Reviews zile za NECTA kote huko tumeshalijibu hili swali.

Ongezea na Clip ya juzi JPM alipohutubia kagera, kama ukifeli mtihani, basi we ni kilaza*1000
Vip kuhusu wastaafu kutolipwa hela ya kustaafu, kula kona mzee usinipotezee Muda
 
Mkuu unafahamu kwamba LIBOR imepanda?
LIBOR=?
Acha kulaghai watu serikali inamtafuta mwekezaji atakayejenga kwa hela zake then utumike utaratibu wa Build-Operate-Transfer (BOT). Mlijinasibu kujenga kwa hela zawananchi leo hii mmeshindwa, mmepiga U-turn. Oneni aibu basi hata mnapotaka kupindisha ukweli ulio wazi.
Mkuu,samahani ningependa unisaidie kuelewa!
B.O.T=?
Waweza Kuilezea Vizuri!
 
Watumishi wanadai stahiki kibao wala haijulikani watalipwa lini alafu wewe unaleta ngonjera zako hapa.
Wamekwambia lini kuwa wanadai stahiki zao kibao????

Aidha, kudai hizo stahiki au madai kama hayo yameanza leo ili tuone kama ni kweli serikali inefilisika????
 
Back
Top Bottom