Nchi Sasa Imefilisika.

Nchi Sasa Imefilisika.

Mkuu Nchi inapoomba mkopo, kitu kimoja kinachoangaliwa na Banks/Financial Institutions ni Current Economic Status ya nchi husika.
Tanzania kwa sasa deni letu lina approach 50Tril.
Hakuna Institution inayoweza ku risk kukopesha Nchi ya namna hii.
Ndio maana unaishiwa kupewa ma interest rate makubwa, utapewa muda mfupi wa kulipa huo mkopo etc Etc. Hiyo yote kukudiscourage usepe ukakope kwingine.
Mkuu unafahamu kwamba LIBOR imepanda?
 
Mpaka iishe hii miaka ikiyobaki, hakuna ranging wala miguno itakayobaki kuonekana na kusikika!
Watu jamii ya Lizaboni ni kati ya wale wanofikiri kwa kutumia ogani tofauti na inayotumiwa na wengine.
Hivi anatumia vigezo au indicators zipi kuupima uchumi wa nchi? Husafirishi bidhaa na wala huagizi au kupitisha ya wengine, masoko ya ndani yamedorora na baa la njaa lipo sebuleni. Bado unahitaji vigezo vingine?
 
Ingia kwenye mtandao wa IMF labda unaweza kupata kitu. Sasa hivi nasikia Tanzania tumeingia kwenye window ya ADF baada ya ku graduate kutoka ADB. Pia kwa upande wa WB tumepanda kutoka IDA na kwenda IBRD. Maana yake ni kwamba tunaweza kukopesheka zaidi.

Yaani kukopesheka zaidi sio kujitegemea?.

Bado nakumbuka hotuba iliyosema Tanzania ni Tajiri na inaweza kukopesha hata nchi za ulaya.
 
Mbona tuliambiwa nchi ni tajiri,,ina kila kitu tena tunaweza kutoa misaada kwa nchi zingine ..mara hii mmeanza kukopa tena...leo ndio nimeamini siasa mchezo mchafu
 
1. Barabara ya Dar Chalinze zabuni imetangazwa ili ujenzi uanze. Serikali imefilisika.
2. Serikali imeagiza ndege nne zaidi ambapo malipo ya awali ya ununuzi yameshalipwa. Serikali imefilisika
3. Watumishi wa umma wanalipwa mishahara kwa wakati. Serikali imefilisika
3. Hazina hakuna mishahara ya miezi 2,hela inasanywa ndi0 ilipwe.
 
Acha uchochezi wewe,"Serikali yangu ni tajiri ina pesa nyingi"magufuli voice.
 
Halafu mbaya kuliko baada ya kuwadhulumu bila aibu mtu anafunga safari kwenda kuwakejeli watu aliowadhulumu huku wakiwa katika hali mbaya. Dhambi sana! Malipo ni hapa hapa duniani mbinguni ni mahesabu tu!
Haha nmeipenda hiyo "malipo ni hapa hapa duniani, mbinguni mahesabu tu.
 
Ingia kwenye mtandao wa IMF labda unaweza kupata kitu. Sasa hivi nasikia Tanzania tumeingia kwenye window ya ADF baada ya ku graduate kutoka ADB. Pia kwa upande wa WB tumepanda kutoka IDA na kwenda IBRD. Maana yake ni kwamba tunaweza kukopesheka zaidi.

Unajua hii serikali ilipoingia madarakani tu ilikopa fasta usd bil 7.6 zaidi ya fedha za kitanzania trillioni 16 Kwa wachina kwa ajili ya ujenzi wa reli hapa majuzi tena tumekopa mabilioni tena hapo ADB. Labda hizo data za WB zinahusu pesa tulizokopa huko WB pekee yake.
Ingia kwenye mtandao wa IMF labda unaweza kupata kitu. Sasa hivi nasikia Tanzania tumeingia kwenye window ya ADF baada ya ku graduate kutoka ADB. Pia kwa upande wa WB tumepanda kutoka IDA na kwenda IBRD. Maana yake ni kwamba tunaweza kukopesheka zaidi.
 
Yaani kukopesheka zaidi sio kujitegemea?.

Bado nakumbuka hotuba iliyosema Tanzania ni Tajiri na inaweza kukopesha hata nchi za ulaya.
Binafsi sisapoti kukopa. Napenda tutumie utajiri wetu kujiletea maendeleo. Nilichokisema ni kwamba nchi inakopesheka
 
Yaani kukopesheka zaidi sio kujitegemea?.

Bado nakumbuka hotuba iliyosema Tanzania ni Tajiri na inaweza kukopesha hata nchi za ulaya.
Mi siifikirii hotuba zaidi namfikiria aliyesema hayo maneno, is he mentally fit?
 
Binafsi sisapoti kukopa. Napenda tutumie utajiri wetu kujiletea maendeleo. Nilichokisema ni kwamba nchi inakopesheka
Utajiri gani mkuu?kama serikali inalipa mishahara kwa wafanyakazi wa serikali tu kwa almost bilioni 550 kwa mwezi na sisi tunakusanya almost bil 1000 kwa mwezi(na hii figure ya bil 1000 watu bado wanabisha kwamba siyo kweli ni pungufu ya hapo) Unadhani miujiza gani itatokea hapo ku survive kwa hiyo bil 450 inayobaki mkuu?
 
1. Barabara ya Dar Chalinze zabuni imetangazwa ili ujenzi uanze. Serikali imefilisika.

Acha kulaghai watu serikali inamtafuta mwekezaji atakayejenga kwa hela zake then utumike utaratibu wa Build-Operate-Transfer (BOT). Mlijinasibu kujenga kwa hela zawananchi leo hii mmeshindwa, mmepiga U-turn. Oneni aibu basi hata mnapotaka kupindisha ukweli ulio wazi.
 
1. Barabara ya Dar Chalinze zabuni imetangazwa ili ujenzi uanze. Serikali imefilisika.
2. Serikali imeagiza ndege nne zaidi ambapo malipo ya awali ya ununuzi yameshalipwa. Serikali imefilisika
3. Watumishi wa umma wanalipwa mishahara kwa wakati. Serikali imefilisika
You need to be impartial yani usiwe unaegemea upande wowote...!Barbara ya Chalinze unafahamu pesa imetoka wapi...?je stahiki za watumishi ziko wapi yani malimbikizo ya mishahara na allowance zao....?je unafahamu hali ya uchumi wa nchi kwa sasa ukilinganisha na mwaka Jana........?je baa la njaa inayolinyemelea taifa kwa sasa serikali ikisema haina mpango kugawa chakula cha msaada....?au lands utakuwa umeamka usingizini.....?to be impartial is very dangerous utajikuta unaumiza hata ndugu zako pasipo wewe kujua.
 
1. Barabara ya Dar Chalinze zabuni imetangazwa ili ujenzi uanze. Serikali imefilisika.
2. Serikali imeagiza ndege nne zaidi ambapo malipo ya awali ya ununuzi yameshalipwa. Serikali imefilisika
3. Watumishi wa umma wanalipwa mishahara kwa wakati. Serikali imefilisika
1-Nchi imeshindwa kuajiri watumishi wa kada mbalimbali tofauti na utaratibu uliokuwapo sababu cjui..!
2-Nchi imeshindwa kupandisha mishahara ya watumishi kinyume utaratibu wa mikataba ya ajira lakn zaidi hata madaraja yaani vyeo pia imeshindikana sababu nchi haijafilisika.
3-Deni LA taifa limekuwa kwa kasi sana ndani ya mwaka mmoja hadi nchi kushindwa kukopesheka na hivyo kuwekewa masharti magumu (Waziri wa fedha) sababu nchi tajiri na tuliahidi hatutakopa coz nchi in tajiri na tulitaja nchi nyingine zije zikope kwetu
 
Wewe ulisha ona tajiri anaomba mkopo?
Ukiona tajiri anaomba mkopo maana yake ni nini?

Barabara ya chalinze dar inajengwa kwa msaada.

Mapato yote ya serikal sasa yanaishia kulipa mishahara. Yani hand to mouth. Ukiona unachokipata unaishia kula kesho hujui utakula nini. Hii ndyo hali tz iliyonayo xx

duh.! kama ndio tunajadili na watu wenye daraja la kufikiria kama wewe, nahisi kuna shida mahali.

kwa hiyo wewe, mpaka unapata upeo wa kuchukua simu au kompyuta na kuandika, AKILI YAKO HAIJUI KAMA TAJIRI ANAWEZA KUKOPA.? dah.! Mwenyezi Tujaalie Uwezo Wetu wa kufikiri uongezeke. si ajabu tunahangaika kulalamika kumbe hata tunachokilalamikia hatukijui.
 
1. Barabara ya Dar Chalinze zabuni imetangazwa ili ujenzi uanze. Serikali imefilisika.
2. Serikali imeagiza ndege nne zaidi ambapo malipo ya awali ya ununuzi yameshalipwa. Serikali imefilisika
3. Watumishi wa umma wanalipwa mishahara kwa wakati. Serikali imefilisika
Bure wewe!
 
Back
Top Bottom