Nchi nzima Ni CCM tu, vipi Maendeleo yakoje uko ulipo?

Nchi nzima Ni CCM tu, vipi Maendeleo yakoje uko ulipo?

Cathelin

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2018
Posts
2,071
Reaction score
3,998
Mwaka 2020, JPM alisema , wapinzani wanamkwamisha, hataki kachumbali so anataka Tanzania ya kijani.

Na kweli now kila mtaani, kitongoji, Bungeni ni kijani kitupu, je Maendeleo sahivi yakoje kwako uko ulipo we mwana jf.

Je 2025 tuendelee kuwa na kijani tu Tanzania nzima.

Zipi faida na hasara za kuwa na kijani tu, Bungeni

Welcome
 
Ulikuwa ni uamuzi wa kishenzi kuwahi kutokea duniani.

Ninaamini kama baadhi ya walioamua uamuzi ule, bado wapo hai. Wanajuta sana
 
Na kweli now kila mtaani, kitongoji, Bungeni ni kijani kitupu, je Maendeleo sahivi yakoje kwako uko ulipo we mwana jf.
Tulipata kijani kupitia wizi mkubwa wa Kura, nk, siyo Uchaguzi wa watu.
Wakubali tume huru ya Uchaguzi tuone kama kijani inatakiwa
 
Sasa kila mahali ni maendeleo tu.
Madarasa ya kumwaga
Mahospitali tele yakiwa yamejaa madawa na watumishi
Maji Kila nyumba mjini kwa vijijini
Mabalabala(??) ya lami Hadi vichochoroni
Wazabuni, wastaafu, watumishi hawadai tena
Wapinzani tupa kule
 
Sasa kila mahali ni maendeleo tu.
Madarasa ya kumwaga
Mahospitali tele yakiwa yamejaa madawa na watumishi
Maji Kila nyumba mjini kwa vijijini
Mabalabala(??) ya lami Hadi vichochoroni
Wazabuni, wastaafu, watumishi hawadai tena
Wapinzani tupa kule
Sawa kwangu ni majanga, vitu vimepanda Bei hatari, Barbara mbovu, umeme shida
 
Mwaka 2020, JPM alisema , wapinzani wanamkwamisha, hataki kachumbali so anataka Tanzania ya kijani.

Na kweli now kila mtaani, kitongoji, Bungeni ni kijani kitupu, je Maendeleo sahivi yakoje kwako uko ulipo we mwana jf.

Je 2025 tuendelee kuwa na kijani tu Tanzania nzima.

Zipi faida na hasara za kuwa na kijani tu, Bungeni

Welcome
Kila kukicha afadhali ya Jana.
 
Mwaka 2020, JPM alisema , wapinzani wanamkwamisha, hataki kachumbali so anataka Tanzania ya kijani.

Na kweli now kila mtaani, kitongoji, Bungeni ni kijani kitupu, je Maendeleo sahivi yakoje kwako uko ulipo we mwana jf.

Je 2025 tuendelee kuwa na kijani tu Tanzania nzima.

Zipi faida na hasara za kuwa na kijani tu, Bungeni

Welcome
Ccm ni kikundi cha matapeli na majizi ambacho kinaelekea kuwa kikundi dhalimu cha kigaidi huko peponi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwaka 2020, JPM alisema , wapinzani wanamkwamisha, hataki kachumbali so anataka Tanzania ya kijani.

Na kweli now kila mtaani, kitongoji, Bungeni ni kijani kitupu, je Maendeleo sahivi yakoje kwako uko ulipo we mwana jf.

Je 2025 tuendelee kuwa na kijani tu Tanzania nzima.

Zipi faida na hasara za kuwa na kijani tu, Bungeni

Welcome
Chadeni ndiyo mfumuko wa bei unawahusu,sisi mbogamboga tunaiahi kwaraha zetu na vitu tunayziwa kwa Bei Nafuu Sana.
 
Ndio maana kafa kibudu. Ametuharibia sana nchi yetu
 
Back
Top Bottom