Nchi inakoelekea kunatisha

Na siku hizi anavyokunja sura sijui kafundishwa na nani, au anajihami kwa nini hajiamini?

Ajitahidi atafute amani ya moyo wake mapema kabla hajaanza kushamvuliwa na magonjwa ya moyo.
Hivi Tanzania tunauwezo wa kutengeza pacemaker
 
Bavicha si mnapumua nyie baada ya kuonewa sana kwa miaka 5?
 
Reactions: nao
Aliyeandika shairi unamfananisha na "Machinga"?😀 au umetumia neno hilo kutaka 'kudogosha ujumbe wa bwana Ghassani?!Ukipata muda msikilize pale Dw na ni Mzanzibari aliyekomaa kifikra!
Hizbu huyo....masalia ya itikadi za akina Sultan Jamshid.....
 
Lipeni Kodi kwa maendeleo ya nchi,oneni aibu kila siku kuomba wazungu
Kwani mwanzo walikuwa wanapata wapi hela yao?
Mbona makato yalikuwepo.
Yaani makampuni ya simu wanalipa Kodi,ukitoa hela unakatwa ada,
Hapo hapo inaingia" TOZO YA SERIKALI"
hata Kama kulipa Kodi huu ni uonevu.
CHUKUA UNACHOSTAHILI.
 
Moja ya vitu vinavyoniudhi ni hichi kinachoitwa "tozo ya serikali"
Huu NI wizi,utapeli,ujambazi na uharamia.
Serikali bila ya vyanzo vipya vya mapato itapata pesa kutoka mbinguni?!!!

Usakala huo
 
Na siku hizi anavyokunja sura sijui kafundishwa na nani, au anajihami kwa nini hajiamini?

Ajitahidi atafute amani ya moyo wake mapema kabla hajaanza kushamvuliwa na magonjwa ya moyo.
Hofu yako tuu
 
Na siku hizi anavyokunja sura sijui kafundishwa na nani, au anajihami kwa nini hajiamini?

Ajitahidi atafute amani ya moyo wake mapema kabla hajaanza kushamvuliwa na magonjwa ya moyo.
Mh.Rais SSH akitaka aongoze vyema akopi kidogo mfumo wa hayati JPM huku akichanganya na wa Marais wengine wastaafu.....

Watanzania huwa hawaendi kwa KUWACHEKEA.......

SIEMPRE JMT
 
Acha KUKURUPUKA na kuonyesha ujuha wako hadharani!!! Aliyeandika hayo nani kakudanganya ni Chadema? 😳😳😳

Inaelekea wapi? Sio kwamba wewe ndio unatishika? 😂😂 Chadomo kwa kujifariji hamjambo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…