Nchi inaendeshwa Kisela sela sana

Nchi inaendeshwa Kisela sela sana

Megalodon

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
4,771
Reaction score
10,672
Viongozi wa dini wenye akili timamu kama TEC wameweka wazi MSIMAMO wao na tunaujua.

Hatuwezi kuwa na nchi ambayo watu ambao wanapaswa kuwa independent entities kumbe ni MAKADA; DG anaesimamia Uchahuzi
Ni Kada wa CCM ,

Hatuwezi kuwa na nchi ambayo Jaji Mkuu ni Kada wa CCM,

Hatuwezi kuwa na nchi ambayo IGP kama Siro ni kada wa CCM:

Hatuwezi kuwa na nchi ambayo Speaker ni Kada wa CCM ,

Hatuwezi kuwa na nchi ambayo kuna Mkuu wa Mkoa. mkuu wa Wilaya ni makada wa CCM and presidential appointments , Hizo ni nafasi zinapaswa kuwa za kiutumishi na kila Mtanzania mwenye sifa aweze kuzi access ….. badala yake ni nafasi za makada wa CCM kulinda vyeo vyao

Hatuwezi kuwa na nchi ambayo Rais Hawezi kushitakowa kwa Ufisadi alioufanya na kundi lake

Kauli za kuita katiba ni kijitabu tusinge sikia….. yaani kiongozi wa nchi Anachukulia poa KATIBA iliyosimamiwa kuhakikisha anakaa madarakani, inashangaza sana.

Katiba ndio inaleta amani na utulivu, sio Quran au Bible…. Ni kukosa uelewa wa mambo tu ;

Ndio maana kwenye kuapa aliapa kwa kusema nitailinda Tanzania kwa mujibu wa Katiba na sio kwa mujibu wa Quran au Biblia. Viongozi kabla ya kufika juu, wafundishwe kwanza somo la katiba. Unaongozaje nchi hujui thamani ya katiba, Strange!

Kulinusuru Taifa, CONSTITUTIONAL REFORMS ni mandatory tena ni ile KATIBA ya warioba and not otherwise

Heshima kubwa sana kwa CHADEMA, uchaguzi wa kisela umepitwa na wakati, sasa ni wakati wa reforms nchi itoke kwenye utawala wa drama drama na Usela huku wachache wakinenepeana kama vifurushi.
It is now or never

Dr Ndesaruo Mushi
Ottawa, Canada
 
Viongozi wa dini wenye akili timamu kama TEC wameweka wazi MSIMAMO wao na tunaujua.

Hatuwezi kuwa na nchi ambayo watu ambao wanapaswa kuwa independent entities kumbe ni MAKADA; DG anaesimamia Uchahuzi
Ni Kada wa CCM ,

Hatuwezi kuwa na nchi ambayo Jaji Mkuu ni Kada wa CCM,

Hatuwezi kuwa na nchi ambayo IGP kama Siro ni kada wa CCM:

Hatuwezi kuwa na nchi ambayo Speaker ni Kada wa CCM ,

Hatuwezi kuwa na nchi ambayo kuna Mkuu wa Mkoa. mkuu wa Wilaya ni makada wa CCM and presidential appointments , Hizo ni nafasi zinapaswa kuwa za kiutumishi na kila Mtanzania mwenye sifa aweze kuzi access ….. badala yake ni nafasi za makada wa CCM kulinda vyeo vyao

Hatuwezi kuwa na nchi ambayo Rais Hawezi kushitakowa kwa Ufisadi alioufanya na kundi lake

Kauli za kuita katiba ni kijitabu tusinge sikia….. yaani kiongozi wa nchi Anachukulia poa KATIBA iliyosimamiwa kuhakikisha anakaa madarakani, inashangaza sana.

Katiba ndio inaleta amani na utulivu, sio Quran au Bible…. Ni kukosa uelewa wa mambo tu ;

Ndio maana kwenye kuapa aliapa kwa kusema nitailinda Tanzania kwa mujibu wa Katiba na sio kwa mujibu wa Quran au Biblia. Viongozi kabla ya kufika juu, wafundishwe kwanza somo la katiba. Unaongozaje nchi hujui thamani ya katiba, Strange!

Kulinusuru Taifa, CONSTITUTIONAL REFORMS ni mandatory tena ni ile KATIBA ya warioba and not otherwise

Heshima kubwa sana kwa CHADEMA, uchaguzi wa kisela umepitwa na wakati, sasa ni wakati wa reforms nchi itoke kwenye utawala wa drama drama na Usela huku wachache wakinenepeana kama vifurushi.
It is now or never

Dr Ndesaruo Mushi
Ottawa, Canada
Father Kitima ana kadi ya CCM.
 
Ulimpa wewe?

Taja card #:yake,mtoto wa kiume unaandika kama umekalia kipande cha nyama ngumu bwana!
Namfahamu Fr. Dr. Kitima tangu 2005. Miaka 20 iliyopita enzi hizo anakaa kijiweni kwa mama mchoma mahindi pale jirani na SAUT MAIN CAMPUS ile ya zamani. Wakati huo akiwa Corporate wa SAUT. Unajua maana ya Corporate lakini?
 
Namfahamu Fr. Dr. Kitima tangu 2005. Miaka 20 iliyopita enzi hizo anakaa kijiweni kwa mama mchoma mahindi pale jirani na SAUT MAIN CAMPUS ile ya zamani. Wakati huo akiwa Corporate wa SAUT. Unajua maana ya Corporate lakini?
Acha maneno mengi,nimekuuliza hiyo kadi ya chama ccm ulimpa wewe?

Unaandika vitu usivyoweza kuvithibitisha mwisho utuone watu humu tunafanya uhuni.
 
Acha maneno mengi,nimekuuliza hiyo kadi ya chama ccm ulimpa wewe?

Unaandika vitu usivyoweza kuvithibitisha mwisho utuone watu humu tunafanya uhuni.
Hayo ni maswali ya kijinga kutoka kwa mtu mjinga.

Wewe unaweza kunijibu swali la Heche alipewa kadi ya Chadema na nani? PUMBAVU!!!
 
Hayo ni maswali ya kijinga kutoka kwa mtu mjinga.

Wewe unaweza kunijibu swali la Heche alipewa kadi ya Chadema na nani? PUMBAVU!!!
Tunajua Heche ni Chadema. Unaesema FR ni CCM leta ithibati
 
Namfahamu Fr. Dr. Kitima tangu 2005. Miaka 20 iliyopita enzi hizo anakaa kijiweni kwa mama mchoma mahindi pale jirani na SAUT MAIN CAMPUS ile ya zamani. Wakati huo akiwa Corporate wa SAUT. Unajua maana ya Corporate lakini?
Wenye akili
 

Attachments

  • IMG_5625.jpeg
    IMG_5625.jpeg
    268.3 KB · Views: 15
Ni ukweli mtupu ila Matumbo yetu ndio yanatuongoza sisi Watanzania,, Watu wanaweza pindisha chochote kwa Maslahi ya tumbo.
 
Ni ukweli mtupu ila Matumbo yetu ndio yanatuongoza sisi Watanzania,, Watu wanaweza pindisha chochote kwa Maslahi ya tumbo.
Rais ana boss wake , mmh kazi ipo
 

Attachments

  • v09025g40000d1kilm7og65v6goo6aqg.mp4
    10.9 MB
Viongozi wa dini wenye akili timamu kama TEC wameweka wazi MSIMAMO wao na tunaujua.

Hatuwezi kuwa na nchi ambayo watu ambao wanapaswa kuwa independent entities kumbe ni MAKADA; DG anaesimamia Uchahuzi
Ni Kada wa CCM ,

Hatuwezi kuwa na nchi ambayo Jaji Mkuu ni Kada wa CCM,

Hatuwezi kuwa na nchi ambayo IGP kama Siro ni kada wa CCM:

Hatuwezi kuwa na nchi ambayo Speaker ni Kada wa CCM ,

Hatuwezi kuwa na nchi ambayo kuna Mkuu wa Mkoa. mkuu wa Wilaya ni makada wa CCM and presidential appointments , Hizo ni nafasi zinapaswa kuwa za kiutumishi na kila Mtanzania mwenye sifa aweze kuzi access ….. badala yake ni nafasi za makada wa CCM kulinda vyeo vyao

Hatuwezi kuwa na nchi ambayo Rais Hawezi kushitakowa kwa Ufisadi alioufanya na kundi lake

Kauli za kuita katiba ni kijitabu tusinge sikia….. yaani kiongozi wa nchi Anachukulia poa KATIBA iliyosimamiwa kuhakikisha anakaa madarakani, inashangaza sana.

Katiba ndio inaleta amani na utulivu, sio Quran au Bible…. Ni kukosa uelewa wa mambo tu ;

Ndio maana kwenye kuapa aliapa kwa kusema nitailinda Tanzania kwa mujibu wa Katiba na sio kwa mujibu wa Quran au Biblia. Viongozi kabla ya kufika juu, wafundishwe kwanza somo la katiba. Unaongozaje nchi hujui thamani ya katiba, Strange!

Kulinusuru Taifa, CONSTITUTIONAL REFORMS ni mandatory tena ni ile KATIBA ya warioba and not otherwise

Heshima kubwa sana kwa CHADEMA, uchaguzi wa kisela umepitwa na wakati, sasa ni wakati wa reforms nchi itoke kwenye utawala wa drama drama na Usela huku wachache wakinenepeana kama vifurushi.
It is now or never

Dr Ndesaruo Mushi
Ottawa, Canada
Crap
 
Back
Top Bottom