Nchi imekauka, mambo hayaendi...

Ugumu wa maisha

Mkorintho wa 6
 
wanaoshindwa kufanya biashara ni wale wanaofanya waliokuwa wakifanya biashara kiujanja ujanja kwa kukwepa kodi, nikiwa kama mwananchi mwema sijutii kuwapoteza wafanyabiasha wasio na faida kwa taifa langu.
Soon utampoteza mama yako ambaye hajui hata 'Dili'ni kitu gani!! Sisi pia hatutasikitika!! Unajua kwa nini? Kwa kuwa tutakuwa dhaifu sana kuweza kumsikitikia!!
 
Acha ujinga wewe, toka hapo kwa shemeji yako! Mimi nipo MWanza, nafuga kuku wa kienyeji, nina oda ya mayai ya kienyeji hadi wateja nawakimbia....kwasasa hivi nazalisha tray 2 tu kwa siku.(2 X 15,000 X 28) jibu unalo mwenyewe.
Kama utaweza njoo nikupe mitetea 3 na jogoo moja kisha baada ya miezi 6 urudi hapa jf uandike upuuzi wako.
 
Nilikuona,masela walisifia mzigo lakini hakuona aliyejitoa fahamu,kila mtu alikuwa na jero ya haisi,kila jua linaposogea anakagua kama bado ipo
 
Nikuache maana akili zako unazijua mwenyewe.Halafu hunijui sikujui mambo ya kunambia nakaa kwa shemeji pole sana,naweza kukulisha mwaka mzima wewe na familia yako na ukoo wako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huku mikoani tunakula na kusaza kabisa, tunalala sehemu yenye upepo mwanana,hakuna maharufu ya chembaz,

Mkiambiwa msikimbile dar hamtuelewi.

Kama yamekushinda rudi kijijini ukalime msimu wa mvua hii

Sent using Jamii Forums mobile app
hahaahha unakula ugali bado unafurahi huo ulaji wa kusaza

mikoani khali napo ni mbaya, mara 2-3 jamaa yangu yuko serikalini anajifanya kunistua saa 3-4 usiku et umeme umeisha ghafla namu m-pesa.

Najua khali ni mbaya kote mkuu tuwe wakweli
 
Mkuu Vp huyo ni fisiem au cdm?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa Dar unayoizungumzia:
1) Barabara ambazo hazikuwa gazipitiki zinafanyiwa ukarabati
2) Shule za Serikali ambazo kawaida ya watoto kusongamana, kukaa chini, walimu kufanyia kazi chini ya miti au chumba kimoja, hali inabadilika.
3) Hospitali, Vituo vya Afya, na Zahanati ambako kila aina ya uovu usiolingana na usafi wa afya ulionekana, mambo siyo hivyo tena.

Kwa Tanzania bakuri lilokuwa linatalembezwa kuomba misaada, sasa limesafishwa na kufungiwa kabatini.

AU unaishi nchi gani ambayo umetembelea mitaa hiyo?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aiseee
 
Huo ni ukweli usiopingika biashara zimekua ngum, nenda tu pale Oil Com Ubungo zile frame zilizokua na biashara kibao zimefungwa zimebak ATM tu pale na booking office, Nchi imeyumbaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi kijana unajielewa?,unalia lia na kulalamika mitandaoni kuwa mambo dar ni mabaya alafu huyo huyo unasema dar mambo mazuri na inachangia asilimia kubwa kwenye ngdp kwamba uchumi ni mzuri.

Hawa ndio wasomi wetu wa kukariri madesa na kujibu mitihani.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
hahaahha unakula ugali bado unafurahi huo ulaji wa kusaza

mikoani khali napo ni mbaya, mara 2-3 jamaa yangu yuko serikalini anajifanya kunistua saa 3-4 usiku et umeme umeisha ghafla namu m-pesa.

Najua khali ni mbaya kote mkuu tuwe wakweli
Mtoa mada atakuwa katumwa na red brigade ,sio buree kabisa, sisi green card mbona mambo mazuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…