Nchi iko pagumu sana. Trust me, tunajipa moyo tu

kasanga70
Nimeona concern yako kwenye bandiko lako. I myself at your place, could possibly have argued along that same line. However, you would better hope for the better, if not the best. Just try maintaining a very positive outlook so that you ought see several future miraculous possibilities God has in store for you
Rais wa nchi kutwaliwa na Bwana si jambo dogo, ni kubwa muno, na hasa linapokuwa kama first experience kwa nchi husika kama iambavyo limekuwa kwa nchi yetu
Mimi ni muumini wa dini ya kikiristo, naamini sana katika matendo makubwa ya Mungu. Mungu ameridhia kumchukua Rais aliyetupatia mara ya kwanza na akaamua kuweka mwingine yeye mwenyewe. Kumbuka kuwa hajakushirikisha kwenye mchakato wa kumchukua aliyekuwepo, alimchukua tu halafu ndiyo akakushirikisha sasa kumpata huyu aliyepo kwa kutumia kitu kinachoitwa Katiba. Kwa hiyo Mungu bado yuko pamoja na sisi kwa kiwango kikubwa mno na cha ajabu muno. tuendelee kumuombea mama atafanya makubwa. Sasa hivi ni mapema mno, bado tuko kwenye ile after-shock ya kuondokewa na Rais wetu mpendwa
Kwenye ulimwengu wa roho, hii nchi iko hivi, huwa inakuwa several times, twisted na mwovu Ibilisi kuelekea kwenye negative edge na inapokuwa imetokea hivyo, kwa kipindi fulani huwa inaonyesha kukubali kabisa kuelekea kwenye upande huo, halafu tena ALL OF A SUDDEN baada ya hapo, inakuja restore back quickly kuelekea kwenye POSITIVE edge.Believe me! Tanzania iko hivyo kwenye ulimwengu wa roho
Huwa hai restore back to hivihivi,kuna watu wanakuwa wanaomba,wanaiombea nchi!
 
30k hapana siwezi kuuza kama hazitapanda bei nitasubiri mwakani nikilima nikipata zingine probably zitakuwa umepanda bei na mimi nitakuwa nao mwingi.
Mkuu tangu 2019 hadi leo bei haijawahi kupanda maana mpunga upo store na wakulima wanazidi kupanda tu na soko la ndani halina confidence ya kununua na nje huruhusiwi kupeleka kwa sababu za kisiasa ..ukiendelea kubali nao utaoza tu wewe chukua hiyo per gunia Mimi nifanyie biashara na wenye mashine
 
Mkuu tangu 2019 hadi leo bei haijawahi kupanda maana mpunga upo store na wakulima wanazidi kupanda tu na soko la ndani halina confidence ya kununua na nje huruhusiwi kupeleka kwa sababu za kisiasa ..ukiendelea kubali nao utaoza tu wewe chukua hiyo per gunia Mimi nifanyie biashara na wenye mashine
Hapana siwezi
 
Huwa hai restore back to hivihivi,kuna watu wanakuwa wanaomba,wanaiombea nchi!
Wewe uko kiroho zaidi, nafurahi sana kujua hilo. Hili ulilolisema hapa niliamua kuliacha hewani makusudi kukwepa kuzua mjadala mwingine nje ya mada iliyopo. Angalia post hii hapa kwa mfano #335 . Hapa duniani mtu akinyimwa hekima ya kumjua Mungu, anakuwa anatembea na tiketi ya kifo maisha yako yote, hata kama kwa bahati tu atafanikiwa kuishi miaka 120!
Mungu azidi kukubariki sana
 
Naelewa yanayokukuta na pole na mapambano.....

Hizo gunia chache sana, lazima uumie na usafiri maana huwezi hata tangaza tenda na kampuni za logistic na ufinyu wako wa elimu na connection kujua wapi upeleke mahindi.

Unatakiwa kujua kuwa wakati nchi inasema usitoe mahindi nje kuna wenzako wanajua namna ya kuyauza.... wewe unawatajirisha wao kwa kuwapa kwa bei nzuriiii ya faida. Sasa utafute hiyo elimu na ongeza production.
Hebu peleka upumbavu wako kule. Hivi hapa tunaongelea mkulima mdogo au mkulima mkubwa???
 
Kuna kipindi mahindi na mazao mengine bei ilikuwa juu sana.

Magufuli akaongea kwa ukali sana akasema kama unaona bei iko juu na wewe nenda kalime. Akaendelea kwamba wakulima ikiwezekana pandisheni tena bei, ni wakati wa wakulima nao kufaidi matunda ya kazi yao!

Aisee... Baada ya hii kauli chadema na kina Zitto na yale matahira yaliyokimbia nchi yalimtukana magufuli matusi yote unayoyajua.


Hitimisho:
Watz sisi ni watu wa ajabu sana! Hatujui tunataka nini, ndio maana kila siku nasema ukiwa kiongozi tekeleza wajibu wako ili siku zako za uongozi ziishe umuachie mwingine. Kwamba umeleta impact gani hiyo haikuhusu.
Kujaribu kuwapigania watz ni kujichosha bure.
Namshangaa sana hata Mbowe anapata tabu yote kisa nini? Kwa ajili ya hawa wajinga wa tz? Ambao mada yao kuuu ni simba na yanga?
Bashite move on ili.mradi uliambulia vile vichina vyako shukuru Mungu acha ngebe wewe magufuli kaenda zake
 
ndiyo maana vijana wanakimbia vijijini kilimo hakiwalipi wanakuja mjini kuwa wamachinga.

Imefika hatua mjini machinga ni wengi kuliko watembea kwa miguu kwasababu tuna sera mbovu ambazo hazimlindi mkulima.
Sera nyingi siyo shirikishi ndiyo maana hazifanikiwi 'wanaotunga Sera wanatumia muda mwingi na pesa kutengeneza hizo Sera ambazo mwisho wa siku hazina tija'
 
Back
Top Bottom