tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,672
- 19,187
Mkuu uko mkoa gani?mahindi yameshapanda bei sasa manyara ni 45 mpka 50 elfu...kma unaweza kuvumilia mpka mwezi dec utauza kwa bei nzuri fungia mzigo ghalaniNo body cares.....yaani ukimuuliza mtu anaejua kilimo. Kulima ekari 20 is not a joke.......gharama tu zilizotumika hadi unapata mazao nimechoka guys,...