Nchi iko kwenye auto-pilot

Nchi iko kwenye auto-pilot

Upekuzi101

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2020
Posts
477
Reaction score
1,017
Ni wazi kuwa nchi sasahivi inajiongoza tu automatic, kila mtumishi wa serikali analamba asali kama walivyolekezwa na kiongozi wa Chama Chao tawala, wakurugenzi wanapiga, wakuu wa wilaya na mikoa wanapiga, wakandarasi na mafundi kwenye miradi wanajipigia tu, tunachosubiri ni kuona tunapoenda kuangukia. Washauri wa Rais kuweni honest na mwambieni mama kuwa nchi imekuwa ya wapigaji, mafisadi na wezi na iyo ndo image ya Tanzania ya sasa aliyoitengeneza huko duniani. Kusafiri kila siku ulaya siyo kufungua nchi bali ni kutoa nafasi ya wahuni kufanya yao. Sijui Samia atawaambia nini wananchi uchaguzi utakapoanza.
 
Jamani kuweni tu wapole. Watu wanafidia magepu.
 
Solo Thang aliimba wimbo Unaitwa "miss Tanzania" akiifananisha Tanzania na Mwanamke malaya, mdangaji, cha Wote, chama la wana, Kila mtu anajipigia tu vile atakavyo, na hajui kusema hapana.




Hata maandiko yaliandika, wenye nacho wataongezewa ila maskini hata kile kidogo walichonacho watanyang'anywa.

Kuna watu wana enjoy the nation cake vilivyo.

A Grain of Wheat.

Sent from my Redmi Note 5 using JamiiForums mobile app
 
wazi kuwa nchi sasahivi inajiongoza tu automatic, kila mtumishi wa serikali analamba asali kama walivyolekezwa na kiongozi wa Chama Chao tawala, wakurugenzi wanapiga, wakuu wa wilaya na mikoa wanapiga, wakandarasi na mafundi kwenye miradi wanajipigia tu, tunachosubiri ni kuona tunapoenda kuangukia
Ni kweli, nimesikia watumishi jana wanasema speed ya kulipa salary tarehe 19-22 kila mwezi imegoma this time hali siyo shwari
 
Ni kweli, nimesikia watumishi jana wanasema speed ya kulipa salary tarehe 19-22 kila mwezi imegoma this time hali siyo shwari
🤣😂 Mama mpaka afike 2025 yatarudi yaleyale ukiweka CCM na mbuzi basi kura zitapigwa kwa mbuzi
 
images (2).jpeg
 
🤣😂 Mama mpaka afike 2025 yatarudi yaleyale ukiweka CCM na mbuzi basi kura zitapigwa kwa mbuzi
Mpaka afike au imeshafikia hiyo hatua?
Mimi personally Samia na Mbuzi bora mbuzi tutakunywa hata supu
 
Mikopo ya wanafunzi shida. Hakuna la maana. Mpaka leo ni masihara tu.
 
Watumishi wapo Tanga pale kwenye kitu kinaitwa SHIMIWI sijui, wanakula hela ya nchi mwezi mzima sasa eti michezo, wanafanya umalaya, kunywa mipombe kwa perdiem za wavuja jacho...

Taifa linahitaji ukombozi kuliokoa na upumbavu mwingi huku wanaogharamika ni masikini wengi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom