Aventus
JF-Expert Member
- Mar 8, 2013
- 1,914
- 1,977
JPM: "Katika utawala wangu hakuna atakayepata mimba na kurudi shule. .., ni bora wakalime ili ile nguvu waliyoitumia kujifungua waitumie kulima."
Naibu Waziri TAMISEMI; "Ni marufuku mtoto wa kike kuolewa (Kufunga Ndoa) kama hana Cheti cha kidato cha nne"
_________________________________
Watoto wa kike msaada pekee ambao naweza kuwapa kwa sasa ni msaada wa maneno makavu kwamba; MTALIMA NA KUPIGA MBIZI KWENYE LAMI round hii..
Vituko vya nchi yenu; ili kuwa mbunge, RC, DC sifa ni ujue kusoma na kuandika tu, lakini binti ili ufanikiwe kuolewa lazima uwe na cheti cha kidato cha nne, (wonderful)
nchi haijawahi kuishiwa vituko hii.., hatujawahi kuacha kujishangaza..,we're the core authors of our very own misfortunes.
MMM
Naibu Waziri TAMISEMI; "Ni marufuku mtoto wa kike kuolewa (Kufunga Ndoa) kama hana Cheti cha kidato cha nne"
_________________________________
Watoto wa kike msaada pekee ambao naweza kuwapa kwa sasa ni msaada wa maneno makavu kwamba; MTALIMA NA KUPIGA MBIZI KWENYE LAMI round hii..
Vituko vya nchi yenu; ili kuwa mbunge, RC, DC sifa ni ujue kusoma na kuandika tu, lakini binti ili ufanikiwe kuolewa lazima uwe na cheti cha kidato cha nne, (wonderful)
nchi haijawahi kuishiwa vituko hii.., hatujawahi kuacha kujishangaza..,we're the core authors of our very own misfortunes.
MMM