TAWA
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 3,667
- 1,566
Kwani pengo ni mshauri wake bwana yule!!?mkuu.
umesikia matamko yake, analitia aibu kanisa.
pengne naye yupo ktk orodha ya walipwaji wa eskrow...
Kwani pengo ni mshauri wake bwana yule!!?mkuu.
umesikia matamko yake, analitia aibu kanisa.
pengne naye yupo ktk orodha ya walipwaji wa eskrow...
Kwani pengo ni mshauri wake bwana yule!!?
Hivoooo!!!hawa viongozi wa kiroho wanatumika ktk siasa...
Hivoooo!!!
Weeeeeeee!ktk mgao wa eskrow na maaskofu walikuwepo....
Wapo wapi kukemea yanayoendelea?Tz. tuna hazina ya wazee kibao kama vile;
- Mzee Mwinyi
- Kingunge
- Warioba
- Mohamed Salim
- Malecela na
- Butiku
Vijana wenyewe ndiyo hawa wa dot com. Suruali wanavalia chini ya kiuno na wengine kumbe hawana vyetiAlisema mwenyewe anataka vijana wazee waliifilisi nchi. Sisi wazee hatusikilizwi wacha vijana wachape kazi.
WamemchokaTz. tuna hazina ya wazee kibao kama vile;
- Mzee Mwinyi
- Kingunge
- Warioba
- Mohamed Salim
- Malecela na
- Butiku
Hahahah nimecheka sana1. Yule mzee mwenye kidoti kidevuni mlimchapa makofi
2. Yule aliyewahi kuwa katibu wa chama chenu na mkuu wa mkoa wa Dar, mwanae mmemnyima uwaziri mkuu
3. Yule mzee wa msoga, mlimsimanga sana kipindi cha uongozi wake, hivyo anataka muisome, kwanza yeye mwenyewe anamuogopa Sizonje
4. Wazee wote wa Zanzibar wapo bize kuijenga nchi yao changa, kwani yanayoendelea huku wao hayawahusu hata robo chembe.
5. Mzee 'ruksa' kama lilivyo jina lake maana yake kesharuhusu haya kutokea.
6. Mzee 'asiye na dini' kwa sasa yupo huku kwetu na ana hamu kweli Sizonje akosee
Yupo kwenye kampeniHivi huyu Lipumba yupo!?