Nchi gani Afrika ina JESHI hatari la ardhini?

Nchi gani Afrika ina JESHI hatari la ardhini?

Visiwa vya kopa kabana huko blazil mana hapa bongo tunaogopa panya book road
 
Asikudanganyeni mtu yeyote sisi Tz.tuko juu kijeshi.Jeshi imara ni lile lenye mipaka pande zote.
 
jwtz is the best ilimpiga amini na ikaweka serikali ya umoja wa kitaifa kitu ambacho imeshindwa
 
Nadhan miaka hii hatuwezi kusifia jeshi zuri ardhin la nchi, mi nadhani ungekuja na Uzi kuuliza kikundi gani cha waasi au magaidi wenye uwezo mkubwa wa kupigana vita vya ardhin wanao sumbua nchi zao na serikali yao wanaotumia ndege za kivita kuwapiga lakin bado mapambano yako pale pale.
 
Back
Top Bottom