Kenya???
Rwanda!
Yaani acha kabisa!
RPF ni jeshi dogo sana lakini ni hataree kweli kweli, pamoja na udogo wao wameitawala DRC kwa miaka kadhaa, wamezitoa kamasi mi nchi mingi tuu inayoizunguka yenye jeshi kubwa mara 10 kuliko lao, yaani ni kama lilivyo jeshi la Israel vile, tehee tehee
Wakuu nina hoja fupi sana hapa, hivi kwa bara la Afrika ni nchi gani inamiliki jeshi hatari la ardhini lenye makomandoo hatari, silaha hatari, magari hatari ya kivita na ujuzi wa ajabu katika ground wars. Unafirikia itakua ni gani?
Karibuni
South Afrika
Misri
Algeria
Ethiopia
Kenya
Angola
Wakuu nina hoja fupi sana hapa, hivi kwa bara la Afrika ni nchi gani inamiliki jeshi hatari la ardhini lenye makomandoo hatari, silaha hatari, magari hatari ya kivita na ujuzi wa ajabu katika ground wars. Unafirikia itakua ni gani?
Karibuni
China wanatisha
Weee hujui kua China ina nchi zake Africa?? Miongoni mwazo ni pamoja na TZNi kwa bara la Africa mkuu.
Mightest Armies in Africa: (1) Egypt (2) Algeria (3) Ethiopia (4) South Africa (5) Nigeria. Kumbuka, Tanzania haimo kwenye majeshi kumi 10 bora Africa.
China wanatisha
sasa mbona mnawaogopa sana watu 3000 ambao hata viatu vya kuvaa jeshini hawana? halafu mnakosea sana kujilinganisha na israel, uwezo wa israeli upo kwenye uchumi zaidi na ndio unaojenga jeshi, pia waisrael wana umoja sana, wayahudi wana umoja sana sana na hakuna wayahudi nje ya israel ambao wanawindwa kuuawa kama walivyo wanyarwanda nje ya rwanda wanaotafutwa kuuawa. wayahudi wanayo makabila 14 lakini yote hayo yana umoja hakuna ukabila, rwanda kuna ukabila ndio maana hakutakuja kuwa na jeshi la umoja, jeshi lote limejaa watusi kwasababu wahutu wakiwa wengi rwanda itapinduliwa. yaani mnachekesha sana, nchi masikini kuliko zote africa mashariki (except burundi) halafu unasema mnao uwezo? natamani siku moja tz iingie iwape kipigo.Yaani acha kabisa!
RPF ni jeshi dogo sana lakini ni hataree kweli kweli, pamoja na udogo wao wameitawala DRC kwa miaka kadhaa, wamezitoa kamasi mi nchi mingi tuu inayoizunguka yenye jeshi kubwa mara 10 kuliko lao, yaani ni kama lilivyo jeshi la Israel vile, tehee tehee