assuredly4
JF-Expert Member
- Nov 7, 2011
- 1,216
- 220
msipoidai nchi yenu watoto wenu watawahukumu
Nakumbuka ule wimbo " chombo kilipokumbwa na dhoruba nahodha kajitosa baharini".
Mambo!
JK yuko nje, Pinda yuko nje, Bilal naye yuko nje.
Hata baadhi ya mawaziri wako nje ya nchi, swali langu nani anaishikilia Tanzania kwa sasa?
Mambo!
JK yuko nje, Pinda yuko nje, Bilal naye yuko nje.
Hata baadhi ya mawaziri wako nje ya nchi, swali langu nani anaishikilia Tanzania kwa sasa?
Huyu naye yuko Marekani. Nchi hii haina haja ya kuendeshwa na mtu kwani inaendeshwa kwa mazingaombwe! Tena bora wasiwepo, maana wakiwepo ni ghasia tu barabarani, mara mmoja aende Pugu, mwingine Msoga na mwingine busy na Pugu Road akapande Tropical Air charter kwenda Zenji. Kwa safari zao hizo, ipo siku misafara yao itakuja kugongana, kama siyo hewani basi barabarani! Dhaifu bwana?
Mambo!
JK yuko nje, Pinda yuko nje, Bilal naye yuko nje.
Hata baadhi ya mawaziri wako nje ya nchi, swali langu nani anaishikilia Tanzania kwa sasa?
Mambo!
JK yuko nje, Pinda yuko nje, Bilal naye yuko nje.
Hata baadhi ya mawaziri wako nje ya nchi, swali langu nani anaishikilia Tanzania kwa sasa?
Ni kweli kiongozi. Kuna uzi ulitolewa humu ndani miaka ya nyuma kuwa nchi hii ina OMBWE la uongozi!mleta hoja kaleta idea ambayo wengi wetu hawaijui lakini be alerted from now.
Hii nchi viongozi wake wako busy na mambo yao kwa taarifa zenu na ukitafuta vizuri hapa jf kuna mabandiko mengi yanaongelea vizuri suala hili ....wanasema ni 'out piloting'. Na kwa hali hii ndio uamini hili.
Inakuwaje wote wasiwepo, ni kwa sababu hiyo hiyo ya kuwa hata wakiwepo hawaongezi wala kupunguza lolote!