Nchi 15 hatari zaidi kuishi duniani

Nchi 15 hatari zaidi kuishi duniani

Tanza
Kwa mujibu wa Ripoti iliochapishwa tarehe 8 Juni, 2016 na "the global think tank Institute for Economics and Peace" imeyatathmini mataifa kwa kuangalia viashiria 23 vya amani katika makundi matatu.Nayoni:-
1. Kiwango cha usalama
2. Mizozo ya kimataifa
3. Kurundikana kwa majeshi
Matokeo ya tathmini hiyo ni kama ifuatavyo
  • 15. Nigeria
  • 14. North Korea
  • 13. Russia
  • 12. Democratic Republic of the Congo
  • 11. Pakistan
  • 10. Libya
  • 9. Sudan
  • 8. Ukraine
  • 7. Central African Republic
  • 6. Yemen
  • 5. Somalia
  • 4. Afghanistan
  • 3. Iraq
  • 2. South Sudan
  • 1. Syria
Je, hii ni propaganda za nchi za magharibi au tathmini inanukia ukweli?
Tanzania hamna au we unaona ni salama?
Ni
 
kuna zingine hawajapigana/hawajaanza
ila wanaishi kama volcano hai, muda wowote kinaweza kunukishwa.
ndio maana wakasema nchi ambazo sio salama kwa sasa..
na haimaanishi mlizozitaja hazipo zipo hata kwenye top100
lakini hizo ni 15mbovu..
ndio maana wakaweka namba, kumaanisha kuwa kuna 16,17,18....
 
Hakuna hata nchi moja ya South America? Haya ni maajabu!!

Wamagharibi wameenda na kuvuruga amani iliyokuwepo Iraq,Afghanistan,Libya na Syria halafu leo wanatuambia eti hizi ni nchi hatari zaidi kuishi!

Kabla ya kuzivamia hizi nchi si walisema wanaenda kuwakomboa wananchi wa huko na udikteta na kulinda amani na demokrasia? Hiyo ndio amani na demokrasia iliyopatikana??!!

Sasa hayo ndio matokeo wanayotupa leo ya nchi walizozivamia?! Huu ni unafiki ulio wazi kabisa aisee!!
 
Ni kweli,kisiwa lazima kizungukwe na maji, lakini sio lazima ya bahari.Pengine tumezungukwa na maji baridi yaliosheneni Makambare yenye sharubu tu!

Uko sahihi mkuu. Ni kweli.

Hapo kwenye maji baridi yaliyozunguka kisiwa chetu yakiwa yamesheheni Makambale yenye sharubu, naona pia kuna viboko na mamba.

Kisiwa cha amani bado kimezungukwa na hatari...
 
Jamaa waongo kweli hapo kwa Russia wamepitiwa.
 
Libya itolewe kwa vile ilionewa.. waweke jumuiya ya nchi za magharibi NATO
 
Kwa mujibu wa Ripoti iliochapishwa tarehe 8 Juni, 2016 na "the global think tank Institute for Economics and Peace" imeyatathmini mataifa kwa kuangalia viashiria 23 vya amani katika makundi matatu.Nayoni:-
1. Kiwango cha usalama
2. Mizozo ya kimataifa
3. Kurundikana kwa majeshi
Matokeo ya tathmini hiyo ni kama ifuatavyo
  • 15. Nigeria
  • 14. North Korea
  • 13. Russia
  • 12. Democratic Republic of the Congo
  • 11. Pakistan
  • 10. Libya
  • 9. Sudan
  • 8. Ukraine
  • 7. Central African Republic
  • 6. Yemen
  • 5. Somalia
  • 4. Afghanistan
  • 3. Iraq
  • 2. South Sudan
  • 1. Syria
Je, hii ni propaganda za nchi za magharibi au tathmini inanukia ukweli?
. Misri nayo haifai siku hizi
. chad
. Palestina
 
Hii report haiakisi ukweli_tanzania haiwezekani iwe haipo katika list hii.
Watu wanavamia mpaka Graduation Ceremonies patakuwa pahala salama kweli hapo???????
 
Back
Top Bottom