Kwa mujibu wa Ripoti iliochapishwa tarehe 8 Juni, 2016 na "the global think tank Institute for Economics and Peace" imeyatathmini mataifa kwa kuangalia viashiria 23 vya amani katika makundi matatu.Nayoni:-
1. Kiwango cha usalama
2. Mizozo ya kimataifa
3. Kurundikana kwa majeshi
Matokeo ya tathmini hiyo ni kama ifuatavyo
Je, hii ni propaganda za nchi za magharibi au tathmini inanukia ukweli?[/QUOTE
- 15. Nigeria
- 14. North Korea
- 13. Russia
- 12. Democratic Republic of the Congo
- 11. Pakistan
- 10. Libya
- 9. Sudan
- 8. Ukraine
- 7. Central African Republic
- 6. Yemen
- 5. Somalia
- 4. Afghanistan
- 3. Iraq
- 2. South Sudan
- 1. Syria
Burundi inakosekana vp hapo...!
Israel,Palestine, Burundi, Central Africa Republic. Zilitakiwa ziwepo kwenye orodha hiyo ila Russia haikustahili kuwepo.1.Israeli
Tanzania ni salama zaidi ya urusi haya ni maajabu ya karnehaya sema wewe katika hiyo orodha tutoe nchi gani ili tuingize TANZANIA
Hata Syria wenyewe hawatukutii kwa ukatili na unyanyasaji, wametudhulumishia nafasi yetu ya kwanza tulistahili tuwe sisi hapo. hawa wazungu wanatuonea wivu hadi nao wanaanza visa kuuana mfano USA & UK ili waingie kwenye orodhahaya sema wewe katika hiyo orodha tutoe nchi gani ili tuingize TANZANIA
Basi kaa ukijua hata wewe Mtanzania na umasikini wako,basi ni MAGHARIBI ndio wanaosababisha hayo.Baragash heshima yako mkuu..
Naomba niseme hivi, mara moja moja tunatakiwa tuuutazame ukweli jinsi ulivyo, sio kila kinachifanywa na nchi za magharibi ni propaganda.. Kuna nchi gani hapo iliyoonewa kuwa kwenye list??
Nashangaa tu nchi kama Burundi, Iraq, Afghanstan na Mexico zimekosaje kuwa kwenye hiyo list
Kwa mujibu wa Ripoti iliochapishwa tarehe 8 Juni, 2016 na "the global think tank Institute for Economics and Peace" imeyatathmini mataifa kwa kuangalia viashiria 23 vya amani katika makundi matatu.Nayoni:-
1. Kiwango cha usalama
2. Mizozo ya kimataifa
3. Kurundikana kwa majeshi
Matokeo ya tathmini hiyo ni kama ifuatavyo
Je, hii ni propaganda za nchi za magharibi au tathmini inanukia ukweli?
- 15. Nigeria
- 14. North Korea
- 13. Russia
- 12. Democratic Republic of the Congo
- 11. Pakistan
- 10. Libya
- 9. Sudan
- 8. Ukraine
- 7. Central African Republic
- 6. Yemen
- 5. Somalia
- 4. Afghanistan
- 3. Iraq
- 2. South Sudan
- 1. Syria
Hahaha!team kibanda bado tupo na machungu.Pamoja na kunyofoa kucha na kope bila ganzi eti ni nchi salama siamini
Eritrea na Burundi mbona hazimo kwenye orodha?