Hata mimi nimempenda kwanza yuko kama alivyo hajasuga weaving wala kuvaa wigi ili afanane na weupeNimempenda msomali, kutoka moyoni kabisa
Hata mimi nimempenda kwanza yuko kama alivyo hajasuga weaving wala kuvaa wigi ili afanane na weupeNimempenda msomali, kutoka moyoni kabisa
Nimempenda msomali, kutoka moyoni kabisa
Hata mimi nimempenda kwanza yuko kama alivyo hajasuga weaving wala kuvaa wigi ili afanane na weupe
somalia haiwezi kuwa ya kwanza hata iweje kuna wanawake wa ki-ethiopia+rwanda+egypt+cape verde ni WAZURI hadi MACHOZI YANAKUTOKA.
Wanapiga wanaume sana hawawez kuwepo!Kenya hakuna Wanwake Wazuri
ha ha ha
CC wakenya wote wa JF.
Tanzania ndio yenye wanawake wazuri zaidi hapa afrika mashariki sema hamjatembea Tanzania vizuri sababu ya ukubwa wake kijiografia na wingi wa makabila.somalia haiwezi kuwa ya kwanza hata iweje kuna wanawake wa ki-ethiopia+rwanda+egypt+cape verde ni WAZURI hadi MACHOZI YANAKUTOKA.
Tembea Tanzania dogo, wewe umewahi kuishi au kutembea wilaya mikoa gani Tanzania? Unaishi wapi?Wakuu tupeni picha zingine hebu za kutosha tushafishe macho.....
Manake natafuta hata kaproject huko Rwanda niende nikafanye yangu...
Achana na mchagga, Makabila yenye wanawake wazuri hayana promo mjini na ni makabila madogo madogo sana kama rangi, iraqw, sandawe, habesh, barbaig nk.Kwa wanawake wa Tanzania.aika na vanesa
Wapo nyeri kenyaKenya hakuna Wanwake Wazuri
Tanzania nimepiga nje ndani mkuu, naona wale wale .....Tembea Tanzania dogo, wewe umewahi kuishi au kutembea wilaya mikoa gani Tanzania? Unaishi wapi?
Tanzania Kubwa na hata makabila yake unayajua machache ndio maana nikakuuliza. Huko Rwanda ni watutsi tu ambao hata Burundi, uganda wapo, na nina hakika bado u mdogo au hujatembea sana Tanzania maana hao unaodhani ni wazuri sana wapo Tanzania, nenda kagera utawakuta huko.Tanzania nimepiga nje ndani mkuu, naona wale wale .....
Nataka nitext sukari ya majirani zetu sasa....
Halafu Waafrika tukiitwa niga na kutupiwa ndizi tunalia ubaguzi wakati sisi wenyewe tunajibagua, haya Mwanamke mzuri Afrika ni Mwarabu au yule mwenye ukaribu na Uarabu yaani uzuri kwetu ni chochote ambacho hakina asili au kilicho mbali na asili yetu ya Kiafrika!