Emma.
JF-Expert Member
- Jun 25, 2012
- 19,932
- 5,570
View attachment 216421Chadema wameacha kupokea msaada kutoka chama cha siasa cha kikristo cha Ujerumani?
rudisheni pesa zetu kwanza
View attachment 216421Chadema wameacha kupokea msaada kutoka chama cha siasa cha kikristo cha Ujerumani?
ni kweli kabisa mwigulu anasema uwongo na wao wanaandika bila kumhoji huu ndo ujinga unawasumbua watu wengi habari nyingine wanazoziandika wanazitoa humu JF.Shida kubwa ni waandishi wa Tz, huwa hawaendi deep. Wao kazi yao kupokea taarifa yoyote bila kuhoji wala nini. Ndio maana rais Ben Mkapa alikuwa anawadharau sana..
kila nikimuona mugulu mchemba au nikimsikia nakumbuka bomu la soweto arusha kwa kweli aliyoyafanya mugulu lazima yatalipwa na serikali yeyote ile itakayochukua madaraka tofauti na ccm
Chadema wameacha kupokea msaada kutoka chama cha siasa cha kikristo cha Ujerumani?
Chadema wameacha kupokea msaada kutoka chama cha siasa cha kikristo cha Ujerumani?
akili ndogo we mda wote unawaza uchonganishi wa dini tu ??chadema wameacha kupokea msaada kutoka chama cha siasa cha kikristo cha ujerumani?
Sidhani kama fundisho hapa ni kujenga misingi ya kujitegemea...
Fundisho hapa ni viongozi wawe waadilifu na kuacha ufisadi... simple.
chadema wameacha kupokea msaada kutoka chama cha siasa cha kikristo cha ujerumani?
akili ndogo we mda wote unawaza uchonganishi wa dini tu ??
Alisema uamuzi uliochukuliwa na wahisani kusitisha misaada kwa Tanzania kwa muda ni fundisho kwamba kama nchi tunahitaji kuwa na matumizi mazuri ya fedha na kuwa na kujenga misingi ya kujitegemea. "Kama Taifa tuanze misingi ya kujitegemea, tumepata fundisho kupanga miradi ya maendeleo halafu unategemea fedha za wahisani ni tatizo," alisema.CHANZO: NIPASHE
Ni habari njema
Soma post #34 halafu ujibu na hilo, ushahidi kamili.
NARUDIA, Unaweza kusoma ulichoandika na kujitathmini kama mtazania ni namna gani usaidiwe ili uwe raia bora na timamu??
KUJIFUNZA MAADILI YA UONGOZI KUNA MAANA YA MTU HANA MAADILI????? HAPPY NEW YEAR!!!