sandy candy
JF-Expert Member
- Dec 5, 2014
- 490
- 89
Chadema wameacha kupokea msaada kutoka chama cha siasa cha kikristo cha Ujerumani?
Wewe kibibi cha magamba hueleweki...hapa mada inazungumzia escrow na wahisani walivyo sitisha misaada...badala ujikite kwenye mada, wewe unaongelea chadema ama kweli chadema ni kama maji usipoyanywa basi utayaoga dah...wewe kutwa kucha unaiwaza chadema dah...ni hatari