mkuu hapo kwenye red iwaje wapokee kiuwazi halafu wapeleke kimnya kimnya kwani kuna agenda gani kupeleka kimnya kimnya mkuu!!halafu kumbe umesema ni mtu mzima mbona sasa unatumia makalio badala ya ubongo kufikiria??kwa hili natofautiana na chadema na nccr-mageuzi, hapa wanatafuta umaarufu kwa bei chee, hivi mnafahamu kiasi wanachokigomea? Posho ya kikao kwa taarifa yenu ni tshs70,000 kwa siku, kwanini wasigomee milioni90 za magari? Tusishabikie upuuzi nccr sasa wanaonyesha hawana mwelekeo hiyo hoja ya zitto ni ya kitoto sana, kama ana machungu na wananchi kwananini asigomee m90 au angechukua awapelekee. Au tatizo liko wapi angepokea posho za vikao na angezipeleka kwa wananchi? Kwa wabunge wakomavu(wengi wapo ccm). wanapokea hizo posho na wanawapelekea wananchi kimyakimya bila kujitangaza magazetini. hata hivyo simlaumu sana zito nasikia kiumri bado ni kijana mdogo sana hivyo watu wazima tunawajibika kumshauri
Sijakataa hilo, kinachotakiwa ni hoja ndugu yangu. hata wewe jichunguze hapa ni jukwaa la great thinkers kwa hii comment yako jipime kama unastahili kuwepo humu jamvini, maana hutoi hoja umekaa kishabiki zaidiWewe jamaa bana!! But anyhow, vyovyote iwavyo, CCM jueni tu kuwa mshapigwa bao 2015!!
Acha kuchanganya mambo million 90 unazosema si posho bali ni mkopo ambao mbunge anakopeshwa nahuwa anakatwa kwenye mshahara wake na posho wanayokataa ni pesa ambayo mbunge analipwa kwa kazi ileile aliyotumwa na wananchi nakulipwa mshahara nandio Zitto ameikataa
Wacha kuwa mjinga Tshs.70,000 x 350 =24,500,000.00 haziwezi kuleta mabadiliko hata kwenye wizara ya afya? nadhani na wewe ni mmoja wa hayo magamba na ndio maana umekuwa kipofu na kiziwi. pole zako fisadi wewe.
Kama hoja ya zitto ni ya kitoto toa yako ya kikubwa tuione na tuisikie.
Maisha mapya naunga mkono hoja yako ya magari kwa wabunge .asante.
Kama Kaposho kenyewe ni kadogo kihivyo, mbona Mheshimiwa sana Chiligati anapiga kelele mpaka mishipa ya shingo zote inamsimama huku mate yakiruka mdomoni kuzitetea asiondolewe!Kwa hili natofautiana na Chadema na NCCR-Mageuzi, hapa wanatafuta umaarufu kwa bei chee, hivi mnafahamu kiasi wanachokigomea? posho ya kikao kwa taarifa yenu ni Tshs70,000 kwa siku, kwanini wasigomee Milioni90 za magari? Tusishabikie upuuzi NCCR sasa wanaonyesha hawana mwelekeo hiyo hoja ya Zitto ni ya kitoto sana, kama ana machungu na wananchi kwananini asigomee M90 au angechukua awapelekee. au tatizo liko wapi angepokea posho za vikao na angezipeleka kwa wananchi? Kwa wabunge wakomavu(wengi wapo CCM). Wanapokea hizo posho na wanawapelekea wananchi kimyakimya bila kujitangaza magazetini. Hata hivyo simlaumu sana zito nasikia kiumri bado ni kijana mdogo sana hivyo watu wazima tunawajibika kumshauri
Elfu sabini ndogo? Unafahamu take home ya mshahara wa walimu?
Kwa hili natofautiana na Chadema na NCCR-Mageuzi, hapa wanatafuta umaarufu kwa bei chee, hivi mnafahamu kiasi wanachokigomea? posho ya kikao kwa taarifa yenu ni Tshs70,000 kwa siku, kwanini wasigomee Milioni90 za magari? Tusishabikie upuuzi NCCR sasa wanaonyesha hawana mwelekeo hiyo hoja ya Zitto ni ya kitoto sana, kama ana machungu na wananchi kwananini asigomee M90 au angechukua awapelekee. au tatizo liko wapi angepokea posho za vikao na angezipeleka kwa wananchi? Kwa wabunge wakomavu(wengi wapo CCM). Wanapokea hizo posho na wanawapelekea wananchi kimyakimya bila kujitangaza magazetini. Hata hivyo simlaumu sana zito nasikia kiumri bado ni kijana mdogo sana hivyo watu wazima tunawajibika kumshauri
Wewe kweli kilaza. Kwa taarifa yako 70,000 X Idadi ya wabunge ni 357 =24,990,000 (sawa na Mil25) kwa siku. Hesabu hii haijumlishi idadi ya watumishi wa bunge ambao nao hulipwa posho pamoja na kuwa Dodoma ni mahali pao pa kazi.
Unazungumzia Mil 90 za magari: Kwanza tuweke mambo sawasawa. Kuwa na usafiri kunmwezesha mbunge kuweza kuwafikia wapiga kura wake kwa urahisi. Hata hivyo wabunge wa upinzani walishasema kuwa haiihitajiki kununua magari ya gharama (landcruiser VX). Ila kwa kiburi cha serikali yetu wameendelea kununua magari hayo. Ikiwa Zitto kawaelekeza walipe pesa za posho kweye account ya KDI wamekataa, unafikiri wangesemaje kuhusu magari? Naomba kurudia: Usafiri si anasa - unamsaidia mbunge kuwafikia wananchi. Hoja tunayopaswa kuzungumza ni magari ya aina gani kwa bei nafuu kiasi gani.
Kwa hili natofautiana na Chadema na NCCR-Mageuzi, hapa wanatafuta umaarufu kwa bei chee, hivi mnafahamu kiasi wanachokigomea? posho ya kikao kwa taarifa yenu ni Tshs70,000 kwa siku, kwanini wasigomee Milioni90 za magari? Tusishabikie upuuzi NCCR sasa wanaonyesha hawana mwelekeo hiyo hoja ya Zitto ni ya kitoto sana, kama ana machungu na wananchi kwananini asigomee M90 au angechukua awapelekee. au tatizo liko wapi angepokea posho za vikao na angezipeleka kwa wananchi? Kwa wabunge wakomavu(wengi wapo CCM). Wanapokea hizo posho na wanawapelekea wananchi kimyakimya bila kujitangaza magazetini. Hata hivyo simlaumu sana zito nasikia kiumri bado ni kijana mdogo sana hivyo watu wazima tunawajibika kumshauri
mkuu hapo kwenye red iwaje wapokee kiuwazi halafu wapeleke kimnya kimnya kwani kuna agenda gani kupeleka kimnya kimnya mkuu!!halafu kumbe umesema ni mtu mzima mbona sasa unatumia makalio badala ya ubongo kufikiria??
Kwa hili natofautiana na Chadema na NCCR-Mageuzi, hapa wanatafuta umaarufu kwa bei chee, hivi mnafahamu kiasi wanachokigomea? posho ya kikao kwa taarifa yenu ni Tshs70,000 kwa siku, kwanini wasigomee Milioni90 za magari? Tusishabikie upuuzi NCCR sasa wanaonyesha hawana mwelekeo hiyo hoja ya Zitto ni ya kitoto sana, kama ana machungu na wananchi kwananini asigomee M90 au angechukua awapelekee. au tatizo liko wapi angepokea posho za vikao na angezipeleka kwa wananchi? Kwa wabunge wakomavu(wengi wapo CCM). Wanapokea hizo posho na wanawapelekea wananchi kimyakimya bila kujitangaza magazetini. Hata hivyo simlaumu sana zito nasikia kiumri bado ni kijana mdogo sana hivyo watu wazima tunawajibika kumshauri
milioni 90 sio posho ni mkopo,wewe unaweza kuchukua mkopo benki halafu ukaenda kulipa mahali?matumizi ya mkopo ni juu yake matumizi sio kweli wabunge wa ccm wanapeleka fedha hizo kimyakimy je unajua kama kuna mfuko wa mbunb=ge wa jimbo na fedha wanazitoa huko?usitake kutuaminisha vitu ambavyo havipo,zitto atabaki kuwa juu kwa sababu ni kijana anayekwenda na fikra za vijana wa sasa sio unakubali tu bila kuchuja,uzembe wa serkali ya ccm ndio unampa zitoo umaarufu na msipokuwa makini hili nalo litawavuruga watarudi kwa tz kuwaambia mnaona posho wanavyojilipa mtapona hapo?badilikeni jamani mbona unachanganya mambo zinazokataliwa ni perdieum,je piga 70,000 mara wabunge 300 mara siku ambazo watakuwa dodoma unapata vitanda vingapi wodini,gloves ,mseto box ngapi zitto kafanya opportunity cost anataka hizo fedha ziwe spent otherwise,kwa hili natofautiana na chadema na nccr-mageuzi, hapa wanatafuta umaarufu kwa bei chee, hivi mnafahamu kiasi wanachokigomea? Posho ya kikao kwa taarifa yenu ni tshs70,000 kwa siku, kwanini wasigomee milioni90 za magari? Tusishabikie upuuzi nccr sasa wanaonyesha hawana mwelekeo hiyo hoja ya zitto ni ya kitoto sana, kama ana machungu na wananchi kwananini asigomee m90 au angechukua awapelekee. Au tatizo liko wapi angepokea posho za vikao na angezipeleka kwa wananchi? Kwa wabunge wakomavu(wengi wapo ccm). Wanapokea hizo posho na wanawapelekea wananchi kimyakimya bila kujitangaza magazetini. Hata hivyo simlaumu sana zito nasikia kiumri bado ni kijana mdogo sana hivyo watu wazima tunawajibika kumshauri
Ah! Unataka kususa kwa hilo tu! Kwani katumwa na uongozi wa JF kukutukana? Hiyo ni mbinu ya wengi humu kutaka kukuondoa kwenye hoja unayoisimamia na hasa inapokuwa na ukweli unaoumiza.Naomba uthibitishe kwamba mimi natumia makalio kufikiri, usipofanya hivyo na usipopigwa Ban naachana rasmi na JF.
hakika wewe mwanaccm hutumii kichwa mimi nadhani unatumia uti wa mgongo kufikiri ndio maana huwezi kuchambua vitu kwa kina upuuuzi kama huu peleka facebook hapa tunataka mijadala ya maana sana,unapokurupuka ndio utapata majibu kama haya,usihame jf ila sio lazima upost thread unaweza kubaki kuwa msomaji tu.naomba uthibitishe kwamba mimi natumia makalio kufikiri, usipofanya hivyo na usipopigwa ban naachana rasmi na jf.
*Wabunge wake waandika barua nao wakatwe
*Chama cha NCCR-Mageuzi kimesema kuwa tayari kimeandaa barua ambazo kitaziwasilisha kwa waziri wa Fedha, Bw. Mustafa Mkulo kuelekeza posho za vikao kwa wabunge wanne wa chama hicho zipelekwe kwenye miradi ya maendeleo kwa mkoa wa Kigoma.
**Msimamo huo unaunga mkono hoja ya kambi rasmi ya upinzani bungeni inayoongozwa na Chadema ambayo tayari imeweka msimamo huo.
*Pia wanapendekeza posho zote zikatwe kodi ili kuongeza mapato ya ndani kwa ajiri ya miradi ya maendeleo.
Source: Majira Jumatatu juni 13 2011