NCCR na CUF bye bye kwenye siasa za Tanzania Bara baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2015

Mkuu umena kabisa hata huyo Mbatia jimbo la vunjo hapati maana wata gawana kura na Mrema halafu CCM itaibuka kidedea...

Chadema wamejaa ubinafsi mkubwa sana tena sana...yani Rais wanataka watoe wao na bado wanataka kila sehemu wasimamishe mgombea!

Kitu kingine wanacho shangaza ni kuwaibia wanachama pesa zao..Chadema wanajua fika majimbo watagawana na vyama vingine lakini wana wambia wanachama watangaze nia kila jimbo.
Endelea kuishi kwa matumaini,na siku hazigandi
 
11745873_404930006384565_2285983065804777621_n.jpg
 
Mletu Uzi naona umekuja na siasa za kujifinya na kujiliza mwenyewe, uchambuzi wako unaonyesha mapungufu mengi, msingi ya kile anachokiita hoja kimejengwa katika muktadha wa dhana ya uhalisia ajabu na siasa chonganishi.
 
Yakwenu yamewashinda mnajadili ya wenzenu. Kama kwenye tano bora waziri wenu mkuu hayumo wala makamu wa rais badala yake kuna makamba na asha migiro, chama kisicho na tija, aibu tupu
 
Wivu wa kike huo. Chama ambacho kina wabunge wawili tuu Tanzania bara kije kisimamishe mgombea wa urais!! Hata mimi nashangaa japo sio mwanachadema, Chadema wana haki kusimamisha mgombea, na akigombea mwingine, siendi hata kupiga kura. Umafia tuu
 
Lizaboni,

..unasahau kwamba tangu 2010 cdm wamejitahidi sana kukipeleka chama chao kwa wananchi.

..kinachoendelea cuf-bara na nccr ndiyo hali waliyokuwa nayo cdm kabla Dr.Slaa hajabeba jukumu la kufanya siasa na kuitambulisha cdm mikoani na vijijini.

..kudorora kwa nccr na cuf kumetokana na vyama hivyo kutokufanya siasa. Kwa miaka mingi cdm ilikuwa imedumaa na uwanja ulikuwa wazi kwa vyama vya nccr na cuf kujiimarisha.

..wanachotakiwa kufanya cuf na nccr ni kuchagua viongozi ambao wana WITO na HAMASA ya kufanya kazi za siasa na kujenga chama. Prof.lipumba siyo mwanasiasa, ni mchumi zaidi. Anahitaji msaada kuipeleka cuf kwa wananchi.

..kuhusu ACT future Yao inategemea uwezo wa Zitto kukitambulisha chama kwa wananchi huku vijijini. Tatizo ninaloliona ni Kama watakuwa na resources za kufanya hivyo.
 
Lizaboni,

..unasahau kwamba tangu 2010 cdm wamejitahidi sana kukipeleka chama chao kwa wananchi.

..kinachoendelea cuf-bara na nccr ndiyo hali waliyokuwa nayo cdm kabla Dr.Slaa hajabeba jukumu la kufanya siasa na kuitambulisha cdm mikoani na vijijini.

..wanachotakiwa kufanya cuf na nccr ni kuchagua viongozi ambao wana WITO na HAMASA ya kufanya kazi za siasa na kujenga chama. Prof.lipumba siyo mwanasiasa, ni mchumi zaidi. Anahitaji msaada kuipeleka cuf kwa wananchi.

..kuhusu ACT future Yao inategemea uwezo wa Zitto kukitambulisha chama kwa wananchi huku vijijini. Tatizo ninaloliona ni Kama watakuwa na resources za kufanya hivyo.
Tupo pamoja mkuu. Umewashauri vema hao CUF na NCCR
 
Tatizo mtoa post umechanganya habari,kwa Maelezo yako ni kama huo muungano umeshindikana Sasa kama ndivyo huwezi kuagua matokeo kwa jambo ambalo halipo
 
Back
Top Bottom